Nahisi zilishaagizwa muda..most likely hili ni tangazo tu..labda baada ya kumaliza malipo ya 60$milWadau izo treni zimeagizwa ndio waanze kutengeneza Au zipo tayari unanunua tu?
Base on your poor knowledgeStill poorView attachment 1607152
Nakumbuka ...ngoja tuone itakuwaje....inanipeleka kasi sanayakwetu inatakiwa iende mpaka 200km/hr according to waziri mbarawa
Nadhani zitakuwa zilianzwa kutengenenzwa ila ziko mwishoni , sabab kama tunategemea february kupokea bunch ya kwanza manak zilisha kuwa kwenye process ya kuundwaWadau izo treni zimeagizwa ndio waanze kutengeneza Au zipo tayari unanunua tu?
BravoNadhani zitakuwa zilianzwa kutengenenzwa ila ziko mwishoni , sabab kama tunategemea february kupokea bunch ya kwanza manak zilisha kuwa kwenye process ya kuundwa
Poa broNahisi zilishaagizwa muda..most likely hili ni tangazo tu..labda baada ya kumaliza malipo ya 60$mil
Mbona maswali ya kipoyoyo yako mengi? Hizi treni unaweka order kama ndege! Hizi si gari unaenda showroom unanunua labda kama unachukua secondhand kama Kenya juzi huko Spain! Ina maana wewe Bwn tuusan hukusoma maelezo ya Masanja the Citizen?Wadau izo treni zimeagizwa ndio waanze kutengeneza Au zipo tayari unanunua tu?
[emoji23] [emoji23] okMbona maswali ya kipoyoyo yako mengi? Hizi treni unaweka order kama ndege! Hizi si gari unaenda showroom unanunua labda kama unachukua secondhand kama Kenya juzi huko Spain!
Still poorView attachment 1607152
Wewe leta link, unajua kwa nini wamewithdraw hiyo news?Still poorView attachment 1607152
BRT za Nigeria zimetiwa moto.
Hiyo interchange bado haijaisha,wamejenga zile barabara mbili za juu,sasa hivi wanajenga barabara ile chini..huna hoja,morogoro road haijawahi kuwa bila ya sidewalks,neverBado inajengwa??? 😂 😂
so the only thing hawajajenga ni sidewalk?? What an excuse!
Mna mendeleo gani ninyi,nyie ni masikini tu kama nchi nyingine za africa,mji mzima umevimbiwa kwa slum tu kila kona,unaletewa treni za teknolojia ya 1970 leo hii,mandeleo ya kupewa misaada ya chakula hadi state house...nyie masikini tu hamna cha ajabu kilichobaki ni kusifiwa ujinga na wazungu ili waendelee kuwagonga tu kila upandeTanzania gani mmejenga nyinyi masikini?....daraja mbili flyover mbili na tower tatu ndio zinafanyamuone kama tunatoshana kimaendeleo?
Ebu tutajie vitu 4 ambavyo viko nairobi,dar es salaam hakunaDar iko Mbele ya NAIROBI kwa kipi? Hebu tusimulie tupate uhondo.
Dooh, JF ni raha sana kwa vichekesho. Yaani hakuna haja ya kulipa subscriptions za Netflix hataa 😹
Wewe ni mvivu wa kufikiriHahaha nashangaa leo hii mmeathirika na corona ila mlikua humu mkiwika hamna corona. Sasa mmeathirika vipi kwa chanzo msichokijua? Halafu bado mkapeleka bakuli msaidiwe? 😹😹 JF rahaa yaani.
Hilo sasa ni povu...ndege zenyewe mmekodi sasa hapo ndo msherehekee nini,hamna cha kusherehekea..Hatuna ulimbukeni kama nyie. Si ni nyinyi mlikimbia kulaki mindege yenu airport? 😹😹😹
Kenya hatuna ulemavu wa kiakili. Sisi vitu huundwa, tunahoji na maisha yanaendelea ki kawaida tu. Nyinyi hadi mnasherekea kuwa na mabilionea wengi kuliko nchi nyingine ni kama pesa za hao mabilionea ni pesa ya kijamii. Ushoshalisti uliwadumaa akili kiukweli.
Nairobi Commuter Rail service almost ready to be launched👌
Hapa yafanyiwa tests
Mataga wa Ccm, sisi twangoja zile zenu kutoka South Korea ziingie nchini
Duh yaani ile reli yenu ni chinese class 1??!!!!..aaah wachina sio watu wazuri,sasa kama huo mtungi ni class 1 na ile ya guangzhou tuiite class gani...!!Hahaha Hatuwezi uliskia wapi? Sisi hatukurupuki. Ni rahisi sana ku upgrade reli yetu to electric standards sababu KUU ni kuwa hii ni Chinese Class 1 standards. Wachina pia waliupgrade zao vivyo hivyo. Au hutaki kuskia hayo? Wivu ni ya nini? Usipandwe na presha Buda, utakufa bureee