ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
kama sio wazembe basi ni wajinga munaenda kuingia kwenye commercial loans kisa mzungu anataka ufate matakwa yao alaf leo unashangaa debt to gdp ratio imehara kabisa 😂😂👇👇👇Kwa hivyo? Hilo lilishabainika pindi janga lilipo jitokeza. Na usishtuke kuskia uchumi wetu ulikua wakati huu wa corona kwa sababu waKenya si wazembe kama nchi fulani. Mwishowe tunaelekea kuwa double kiuchumi na msipochunga tutawatriple mkiimba nyimbo za kuipiku Kenya 😹😹😹

