Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hapi ni hyundai rotem bro
So kama ni hyundai rotem let constraint kuangalia bidhaa wanazotengeneza.
Hizi hapa ni baadhi ya projects walizo Fanya
Railway Vehicles-EMUs

Screenshot_20201021-120240.png
 
Kuna hii review ya ITX-Saemaeul train. Speed yake huko South Korea ni 165 km/h. Ukilinganisha na design speed yetu ya 160km/h, hii model Ndio realistic zaidi kuletwa. But still, according to the review, the train is good and the amenities are also good therefore, it would be great if the gvt brings such locomotives.

The train was manufactured by Hyundai Rotem


ITX hio 👇👇👇👇
39768CE1-D8B7-4F6B-9008-83BDBEC44E69.jpeg
 
Kuna hii review ya ITX-Saemaeul train. Speed yake huko South Korea ni 165 km/h. Ukilinganisha na design speed yetu ya 160km/h, hii model Ndio realistic zaidi kuletwa. But still, according to the review, the train is good and the amenities are also good therefore, it would be great if the gvt brings such locomotives.

The train was manufactured by Hyundai Rotem

Hii mm nahisi ndio haswa yenyew sabab top speed yake ni 167km per hour...
 
Kuna hii review ya ITX-Saemaeul train. Speed yake huko South Korea ni 165 km/h. Ukilinganisha na design speed yetu ya 160km/h, hii model Ndio realistic zaidi kuletwa. But still, according to the review, the train is good and the amenities are also good therefore, it would be great if the gvt brings such locomotives.

The train was manufactured by Hyundai Rotem



naandika kama utani hapa ila,nawahakikishia hii train itasababisha maandamano makubwa sana inchi ya jirani.
 
lakini niliwah kuskia zitaenda mpaka over 200km/hr usishangae zikawa hzo bro
Kweli, me mwenyewe nilimsikia Makame kipindi kile yupo ujenzi akisisitiza hilo na akasema, kutoka Dodoma kuelekea Mwanza ndio train itaenda kwa speed kubwa zaidi sababu eneo lipo tambarare sana na halina kona kona na milima kama Morogoro
 
Ngoja wewe na mwezio Teargass niwaonesha kasoro iliyopo ya nadharia ya kuweka nchi zote kwenye kapu moja la umaskini kwa kigezo cha kupata chini ya $1.90 kwa siku.

Kama dhumuni la pesa ni kununua, swali la kujiuliza ni je, hiyo $1.90 inaweza kununua nini?

kama kuna nchi 'A' ambayo $0.99 inanunua milo miwili ya siku na nchi 'B' $3 haiwezi hata kununua mlo mmoja, utamuitaje mtu wa nchi 'A' masikini wakati anaweza kupata chakula kwa $0.99? Utatumiaje kigezo cha $1.90 kuelezea umaskini wa nchi zote mbili? Je, hamuoni kuwa yule wa nchi 'B' asiyeweza kula kwa $3 ndiyo masikini kwasababu inabidi apate msaada wa chakula?
Still poor
JamiiForums679651582.jpg
 
Back
Top Bottom