Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Usijali madeni sio shida tutalipa...sisi we r banking on the growth of our economy.

Our past record yaonyesha twaeza...nyinyi jaribuni kukopa kama sisi tuone terms ambazo mtapewa🀣
Hivi ninyi mna total debt of 7 trillion hamna chochote ambacho hakipo Tanzania, sisi wenye total debt la 2 trillion tulio na mengi makubwa msio nayo ninyi tukisema tukope angalau mpaka 4 trillion, hivi mtakaa kweli mtufukie?
 
Hahaha Hatuwezi uliskia wapi? Sisi hatukurupuki. Ni rahisi sana ku upgrade reli yetu to electric standards sababu KUU ni kuwa hii ni Chinese Class 1 standards. Wachina pia waliupgrade zao vivyo hivyo. Au hutaki kuskia hayo? Wivu ni ya nini? Usipandwe na presha Buda, utakufa bureee
Tunabishana na watu ambao ujenzi imewashindaπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hawana pesa, ni kudanganywa eti wamejenga kwa pesa za ndani huku behind the scenes wanakimbiza bakuli from Turkey to China 😹😹

Hii uchina wanaodharau ndio wanawakopesha lakini MATAGA ni nani?
Si hizo treni na reli trc wanazotumia ni za uchina?

Mataga hunimalizaπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hivi ninyi mna total debt of 7 trillion hamna chochote ambacho hakipo Tanzania, sisi wenye total debt la 2 trillion tulio na mengi makubwa msio nayo ninyi tukisema tukope angalau mpaka 4 trillion, hivi mtakaa kweli mtufukie?
Ata ikifika 20 Trillion ni yetu.Nyie mnashindwa kulipa tu deni la mkulima.Hamufai ata kuongea
 
Usijali madeni sio shida tutalipa...sisi we r banking on the growth of our economy.

Our past record yaonyesha twaeza...nyinyi jaribuni kukopa kama sisi tuone terms ambazo mtapewa🀣
In fact na ujinga wao hawajui nusu ya deni letu inamilikiwa na benki za Kenya. Internal borrowing is far much better than external na ndio maana JAPAN debt to GDP ratio yao ni karibia asilimia 200.

Wanashangaa profits za benki zetu huishia wapi. Wao hata mabenki haziwezi kopesha GoT 😹😹

Lanes bana! LANES.

Ati battle.. WHAT BATTLE? HAHAHAHA
 
Tukitaka tutapitisha hadi trilioni 18 na hakuna kitu mtafanya 😹😹
Ndiyo nashindwa deni zetu zawasumbulia ya nini?

Hatushughuliki na ya kwao... kwa sababu mwapenda kushughulika na ya wengine?Deni ya ethiopia ngapi
 
Tukitaka tutapitisha hadi trilioni 18 na hakuna kitu mtafanya 😹😹
nani atawakopa sasa hvi kila mmoja anawakimbia mchina kashawachinja baharini kilichobakia sasa hvi ni kuuza nchi kwa ppp projects πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
In fact na ujinga wao hawajui nusu ya deni letu inamilikiwa na benki za Kenya. Internal borrowing is far much better than external na ndio maana JAPAN debt to GDP ratio yao ni karibia asilimia 200.

Wanashangaa profits za benki zetu huishia wapi. Wao hata mabenki haziwezi kopesha GoT 😹😹

Lanes bana! LANES.

Ati battle.. WHAT BATTLE? HAHAHAHA
Hahahaha Japan inakopa kwenye central bank of Japan, ninyi Bank of Kenya haina hata pesa ya kununua officepins ndio iwe na pesa ya kukopesha serikali? 😁😁😁
 
In fact na ujinga wao hawajui nusu ya deni letu inamilikiwa na benki za Kenya. Internal borrowing is far much better than external na ndio maana JAPAN debt to GDP ratio yao ni karibia asilimia 200.

Wanashangaa profits za benki zetu huishia wapi. Wao hata mabenki haziwezi kopesha GoT 😹😹

Lanes bana! LANES.

Ati battle.. WHAT BATTLE? HAHAHAHA
Next naona wakikopa kutoka benki zetuπŸ˜‚
 
Ukweli unauma ahahahaa! Kibera boy sometimes learn to accept the truth coz it will make you free. A low speed (80kph) SGR kama yenu ni sawa na upgraded MGR yetu ambayo speed ni almost the same. Treni na Mabehewa ya hiyo SGR yenu ni sawa kabisa ya MGR yetu tena nadhani baadhi ya mabehewa ya MGR yetu ni mazuri zaidi. Pia SGR train zinazotumia dizeli katika karne hii ni sawa tu na MGR ya karne ya 20. By those facts you should humbly kneel down and accept the bitter truth you idiot!
Ulemavu wa kiakili ...tena hadharani
 
In fact na ujinga wao hawajui nusu ya deni letu inamilikiwa na benki za Kenya. Internal borrowing is far much better than external na ndio maana JAPAN debt to GDP ratio yao ni karibia asilimia 200.

Wanashangaa profits za benki zetu huishia wapi. Wao hata mabenki haziwezi kopesha GoT 😹😹

Lanes bana! LANES.

Ati battle.. WHAT BATTLE? HAHAHAHA
so now adays u compare developed country and developing country πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Back
Top Bottom