Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hakuna cha maana amefanya,all African presidents are now building good roads,railway and Airports,, so magufuli is not special,
Acha uongo nitajie kiongozi mwingine aliyefanya haya yote kwa miaka 5

- kununua ndege 11

- kujenga miundombinu ya umeme zaidi ya 2300MV (nyerere dam. kinyerezi 2, rusumo)

- kujunga reli ya umeme

- kujenga hospitali na zahanati 400

- kujenga madaraja marefu manne (Tanzanite, kigongo-busisi, wami)

- Barabara

- Kusomesha watoto bure (std 1 - form six)

- kuwalazimisha Barrick kurudi mezani kusign upya mikataba (BTW, unajuwa ni watu gani wanahisa kwenye kampuni hii?)


bado country iko ile number 10 in Africa,I will salute magufuli the the GDP itapita ya kenya

Matokeo ya anayoyafanya huwezi kuyaona sasa, subiri miaka 3 hivi ndo utaanza kuona.
 
Haya hapa makampuni yanatengeneza Locomotive huko South Korea.
Let start there
Screenshot_20201021-113841.png
 
Kuna hii review ya ITX-Saemaeul train. Speed yake huko South Korea ni 165 km/h. Ukilinganisha na design speed yetu ya 160km/h, hii model Ndio realistic zaidi kuletwa. But still, according to the review, the train is good and the amenities are also good therefore, it would be great if the gvt brings such locomotives.

The train was manufactured by Hyundai Rotem

 
Back
Top Bottom