Hata nakuru sio city jombaMoshi sio city jombaa
😀 mungiki magumashi sana,wese la kidumu mpaka kwenye chopper 😂
wese lazma lilitiwa maji! ☝️ 😛 😛 ☝️
Nani alikuambia nina shida ya kazi wewe mbumbumbu? Kumbe huwa unanifuatilia sana sikujua aise..Huyo ndivyo alivyo huwa anavamia majukwaa ya watu na kuwaharibia hoja zao, mfano hapo chini amevamia thread yetu ya manchester utd na kutukana watu mule mpk pale jamaa alipomuambia km anataka kazi aache matusi ndipo akapunguza matusi kwa sharti la kupatiwa kazi
View attachment 1604195View attachment 1604196View attachment 1604197View attachment 1604198![]()
Unajua maana ya exit we mzee jamaniZile Highway zetu! hii quality ya Lami ni Mungu anajua![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Unajua maana ya exit we mzee jamani
Kwn hyo barabara ina matatizo gani, hyo ni asphalt jomba kazi yake ni kuingiza na kutoa magari hapo thika highway..We fala kwa hiyo exit road inapaswa kuwa hivyo kwa vile si part of highway?
Electric trains are not modern as such. The came into existence even before diesel.Even if the price is higher than yours of which is not, you should remember this is not gari moshi and it has modern infrastructures apart from electricity itself
hvi ww huwezi kubali changamoto au?? mbona kila kitu unataka kubishana au ndio mazoea tena 😀😀😀😀Kwn hyo barabara ina matatizo gani, hyo ni asphalt jomba kazi yake ni kuingiza na kutoa magari hapo thika highway..
Lete za kwenu basi
@komora096 tupate wadhamini kidogo green shit flytoiletUnajua maana ya exit we mzee jamani