Mathanzua
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 16,007
- 20,923
Lukuvi ana-faa,ana integrity ya kuwa makamu wa Rais.Lukuvi vipi
Lukuvi ana-faa,ana integrity ya kuwa makamu wa Rais.Lukuvi vipi
Imagine mtu kama wewe ungekuwa umepewa uhuru wa kugawa pumzi hii ya uhai. MUNGU fundi sana.Yaani watu kama ninyi mnafaa kupigwa mawe mpaka mfe.Laiti ungekuwa karibu yangu!
Hewa ya uhai ningempa kila mtu,ila nisingevumilia ufisadi na uonevu wa kina yeyote.Imagine mtu kama wewe ungekuwa umepewa uhuru wa kugawa pumzi hii ya uhai. MUNGU fundi sana.
Ukishaua huna nafasi ya kusahihisha kama ulifanya makosa, na ww ni binadamu kukosea kupo.Hewa ya uhai ningempa kila mtu,ila nisingevumilia ufisadi na uonevu wa kina yeyote.
Kwa nini January Makamba anakuwa suggested sana na ni mtu wa ndani wa Wamarekani?Nadhani wanaotoa wazo la January ni makarai ya Wamarekani! Ila let me tell you this,acheni day dreaming,the establishment knows January,kwa hiyo hatapenya,msijisumbue.JANUARY MAKAMBA MAKAMU,DR CHARLES KIMEI AWE WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA NA KITAFUTWE KICHWA KWA AJILI YA KUSHUGHULIKIA MAHUSIANO YA KIMATAIFA Prof MIJICHO APIGWE CHINI
Makosa mengine ni human,ila mengine ni ya makusudi,tena for self gain,hayavumiliki.Ukishaua huna nafasi ya kusahihisha kama ulifanya makosa, na ww ni binadamu kukosea kupo.
Serekali ya magufuli ilikuwa na mawaziri na manaibu 10 wasukuma, hatukusema lolote, ilikuwa 90% dini moja na wengi walikuwa wa madhehebu ya Raisi, hatukulalamika, wengi tulisema bora ni watanzania na wachape kazi. Marehemu JOhn F Kennedy alipomchagua Mdogo wake Robert kuwa Mwanasheria mkuu, Robert alilamika kuwa watu watasema anampendelea ndugu yake. JFK alimjibu, Hata wewe tena mdogo wangu ni Mwananchi wa USA , mwenye haki sawa kama wengine kwenye nafasi yoyote, bora unazo shahada na ujuzi stahiki na una muelekeo wa kizalendo wa kupendeza.Rais Pwani na makamu wa Rais iwe Pwani tena?
Tatizo Mathias anasema amekaa sana ikulu, sasa anahitaji kumpumzikaMathias Chikawe anatosha
Sasa hapo ndipo Lukuvi anapopenya kirahisiiiiPale anapaswa kuwepo Mkristo, haiwezekani
-Rais Muislam
-Makamu wa Rais Muislam....
Ni kitu ambacho sikitarajii..maana Makamu Rais anaweza kuwa Raisa katika mazingira Kama haya yaliyotokea..so CCM watakubali hilo..endapo baadaye Samia naye akiaga..!?Nilitaman sanaa, Kwaajili ya Kuleta Nchi pamoja
Kuponya hali inayoendelea.
T.Lissu apewe umakamo.