Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,345
- 24,238
Hayo maji yaliletwa na Awamu ipi?
Hayo maji yaliletwa na Awamu ipi?
Mpiga mwingi katufikisha hapo tulipoHayo maji yaliletwa na Awamu ipi?
Sasa Samia akishindwa wanaoumia ni Watanzania wakati yeye mafao yako palepaleHicho kichwa cha Habari huo Uchawi.
True.Sasa Samia akishindwa wanaoumia ni Watanzania wakati yeye mafao yako palepale
Akishindwa utampiga risasi kama Lawring alivyofanya Ghana mpaka gazeti la Times wakati ule likasema Lawring broom????. Aliua marais karibu wanne waliomtangulia ili kusafisha nchi na alifanikiwa ingawa leo baada yeye kutoka madarakani na kufariki ni yaleyale ya Afrika Huru. Uhuru uhuru bila elimu elimu elimu ni bure kabisa.Nikiuliza nipewe sababu mhimu ya Kwa nini bei ya bidhaa imepanda Kwa kiasi kikubwa hiko hakuna sababu ya maana!
Hiyo ni moja ya dalili za kushindwa! Kwa nini mgao wa umeme, sababu hazijitosherezi, Kwa nini kipindi cha nyuma gharama ya kuingiziwa umemw ilikuwa 27000, na sasa 300000+ hakuna sababu ya msingi!
Kwa nini tumeongeza tozo lakini zimefanya nini, labda kuna jambo jipya ambalo halikuwa likifanywa kipindi cha nyuma tozo imefanya, napo hakuna!
Hizo ndizo dalili za kishindwa!
Na sababu Moja wapo ya yeye kushindwa, amekaa kirafiki sana hata mahali pasipostahili kukaa kipendwa kama Amiri Jeshi mkuu wa Tanzania
Urafiki katika kazi sio mmbaya, ila wateule wanapoharibu na kumharibia, urafiki wa nini hapo?
Kwa nini kuwa na urafiki na mtu anayeharibu kazi yake?
Mawaziri kibao wapo wapo tu hapo kumharibia Rais, Kwa nini urafiki nao.?
Badala yake sasa tunaanza kuungana nao kuombea kila kitu kisifanikiwe chini yake Kwa sababu yeye Mh anataka hivyo,
Kwani watu wazuri, wazalendo, wachapakazi na wasomi wameisha kwenye Taifa hili ili hali kila kitu kinaenda ndivyo sivyo?
Hii Picha sio Tanzania kwanza huyo aliyevaa tisheti ya Bluu hiyo Kapelo ina rangi za Kenya au South Sudan.
imhotep: ni wapi unadhani!? Na Kwa nini isiwe Tanzania?Hii Picha sio Tanzania.
Ngoja tuipeleke Jamii check halafu naleta mrejesho.imhotep: ni wapi unadhani!? Na Kwa nini isiwe Tanzania?
Very unfortunately umeshachelewa,mengi ya uliyoandika Ni uzushi wa kijinga tuu.Nikiuliza nipewe sababu mhimu ya Kwa nini bei ya bidhaa imepanda Kwa kiasi kikubwa hiko hakuna sababu ya maana!
Hiyo ni moja ya dalili za kushindwa! Kwa nini mgao wa umeme, sababu hazijitosherezi, Kwa nini kipindi cha nyuma gharama ya kuingiziwa umemw ilikuwa 27000, na sasa 300000+ hakuna sababu ya msingi!
Kwa nini tumeongeza tozo lakini zimefanya nini, labda kuna jambo jipya ambalo halikuwa likifanywa kipindi cha nyuma tozo imefanya, napo hakuna!
Hizo ndizo dalili za kishindwa!
Na sababu Moja wapo ya yeye kushindwa, amekaa kirafiki sana hata mahali pasipostahili kukaa kipendwa kama Amiri Jeshi mkuu wa Tanzania
Urafiki katika kazi sio mmbaya, ila wateule wanapoharibu na kumharibia, urafiki wa nini hapo?
Kwa nini kuwa na urafiki na mtu anayeharibu kazi yake?
Mawaziri kibao wapo wapo tu hapo kumharibia Rais, Kwa nini urafiki nao.?
Badala yake sasa tunaanza kuungana nao kuombea kila kitu kisifanikiwe chini yake Kwa sababu yeye Mh anataka hivyo,
Kwani watu wazuri, wazalendo, wachapakazi na wasomi wameisha kwenye Taifa hili ili hali kila kitu kinaenda ndivyo sivyo?
Mimi nadhani ni Northern Kenya na haswa Turkana au South Sudan.imhotep: ni wapi unadhani!? Na Kwa nini isiwe Tanzania?
Uko sawa mkuuMwandishi nahisi ni msukuma sio kwa mawazo hayo ya kishirikina.Bila shaka ametokea gamboshi.
Lazima utakuwa mwana wa shetani alielaaniwa.Nikiuliza nipewe sababu mhimu ya Kwa nini bei ya bidhaa imepanda Kwa kiasi kikubwa hiko hakuna sababu ya maana!
Hiyo ni moja ya dalili za kushindwa! Kwa nini mgao wa umeme, sababu hazijitosherezi, Kwa nini kipindi cha nyuma gharama ya kuingiziwa umemw ilikuwa 27000, na sasa 300000+ hakuna sababu ya msingi!
Kwa nini tumeongeza tozo lakini zimefanya nini, labda kuna jambo jipya ambalo halikuwa likifanywa kipindi cha nyuma tozo imefanya, napo hakuna!
Hizo ndizo dalili za kishindwa!
Na sababu Moja wapo ya yeye kushindwa, amekaa kirafiki sana hata mahali pasipostahili kukaa kipendwa kama Amiri Jeshi mkuu wa Tanzania
Urafiki katika kazi sio mmbaya, ila wateule wanapoharibu na kumharibia, urafiki wa nini hapo?
Kwa nini kuwa na urafiki na mtu anayeharibu kazi yake?
Mawaziri kibao wapo wapo tu hapo kumharibia Rais, Kwa nini urafiki nao.?
Badala yake sasa tunaanza kuungana nao kuombea kila kitu kisifanikiwe chini yake Kwa sababu yeye Mh anataka hivyo,
Kwani watu wazuri, wazalendo, wachapakazi na wasomi wameisha kwenye Taifa hili ili hali kila kitu kinaenda ndivyo sivyo?
Gamboshi ni kwetu?Mwandishi nahisi ni msukuma sio kwa mawazo hayo ya kishirikina.Bila shaka ametokea gamboshi.
Biteko sio msukuma?!Ndio nimependekeza ni bora amchukue Dotto Biteko kwenye Uwaziri Mkuu.
Hatuendi kutambika tunaangalia uwezo wa Individual.Biteko sio msukuma?!
Wataje na sisi tuwafahamuMawaziri kibao wapo wapo tu hapo kumharibia Rais