imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 46,678
- 71,030
Hatuendi kutambika tunaangalia uwezo wa Individual.Biteko sio msukuma?!
Hatuendi kutambika tunaangalia uwezo wa Individual.Biteko sio msukuma?!
Wataje na sisi tuwafahamuMawaziri kibao wapo wapo tu hapo kumharibia Rais
Mlemle kabisa mkuuGamboshi ni kwetu?
Sylvester!!!!
Kusoma na kuelewa ni tatizo kubwa sana miongoni mwetu,!Chuki sio hisia nzuri ya kuendekeza, Mama ana mema yake pia.. mchunguze utayaona, hii chuki inaonyesha ni namna gani huna usawaziko wa akili, saa zingine hata kama we unapata hasara kama wenzio wanafaidika mshukuru Mungu kwa hilo, hata akifanya vyote unavyovitaka una uhakika utaridhika??
Learn to see a positivity in any situation Mkuu, its for your own good
Umewahi kumuona mtoto wa shetani,?Lazima utakuwa mwana wa shetani alielaaniwa.
Basi subiri kuona I'll utamanilo siku yako ya kufa.
Mama yupo saana. Na atashinda yote yaliyo mbele yake. Allah Al Mutakbar, na amjaalie kujuwa mazuri ya kutufanyia.
Tupo milioni 60 wateule tu ndio wanaokipata sisi wengine tutakosoa tuuWe kijana! hutaki kibuyu cha asali?
PhD ya mchongoKwa huyo bora hata Kalemani, Msukuma alikuwa anawapotosha Watanzania kwa kujifukiza hadharani.
Sawa,nakubaliFungua ubongo ndigu. Sasa hivi ajira zimejaa kila Kona kwa sababu wawekezaji wameingia nchini kwa wingi. Vijana waliokuwa wanalanda land mtaani bila kazi kwa miaka mitano ya jpm sasa Wana Cha kufanya. Wafanyakazi wameongezeka mishahara kinyume na jpm ambaye miaka yake yote hajaongeza. Demokrasia imepanuka. Wakulima now wanaweza kupata masoko ya uhakika nje na ndani ya nchi
Mungu ni wa woteNikiuliza nipewe sababu mhimu ya Kwa nini bei ya bidhaa imepanda Kwa kiasi kikubwa hiko hakuna sababu ya maana!
Hiyo ni moja ya dalili za kushindwa! Kwa nini mgao wa umeme, sababu hazijitosherezi, Kwa nini kipindi cha nyuma gharama ya kuingiziwa umemw ilikuwa 27000, na sasa 300000+ hakuna sababu ya msingi!
Kwa nini tumeongeza tozo lakini zimefanya nini, labda kuna jambo jipya ambalo halikuwa likifanywa kipindi cha nyuma tozo imefanya, napo hakuna!
Hizo ndizo dalili za kishindwa!
Na sababu Moja wapo ya yeye kushindwa, amekaa kirafiki sana hata mahali pasipostahili kukaa kipendwa kama Amiri Jeshi mkuu wa Tanzania
Urafiki katika kazi sio mmbaya, ila wateule wanapoharibu na kumharibia, urafiki wa nini hapo?
Kwa nini kuwa na urafiki na mtu anayeharibu kazi yake?
Mawaziri kibao wapo wapo tu hapo kumharibia Rais, Kwa nini urafiki nao.?
Badala yake sasa tunaanza kuungana nao kuombea kila kitu kisifanikiwe chini yake Kwa sababu yeye Mh anataka hivyo,
Kwani watu wazuri, wazalendo, wachapakazi na wasomi wameisha kwenye Taifa hili ili hali kila kitu kinaenda ndivyo sivyo?
Mleta mada ashindwe na alegeeHicho kichwa cha Habari huo Uchawi.
Kura yako si haki yako, mpe usimpe yeye tayari kaisha ipata.Mama Samia achana na cheap popularity haitakusaidia lolote unatakiwa usiwe muongeaji sana maana naona unaanza kutoboa matundu ya hela wakati huo ukiwa umewekwa kwenye mtego mgumu na mzito sana wa ilani yenye kurasa 300 ya kutekeleza miradi yote iliyoko kwenye ilani.
Yaani kumbuka sasa hivi hauko kwenye meli mpya uko kwenye meli ileile sema tu imepata mawimbi katikati ya safari.
Mama nimekushangaa sana unaposema kuna miradi mingine iko kwenye makaratasi wakati wewe na Hayati Magufuli ndio mliotembea nchi nzima kuinadi kwa hiyo tunataka ahadi zilizoko kwenye ilani ya Chama cha Mapinduzi.
Tofauti na hapo hatutakuelewa tutanyima kura 2025 kama ukitaka kuomba ridhaa ya kugombea tena.
Jitahidi sana kwenye suala la kodi usiwalaumu tu TRA waonye hata wafanyabiashara pia maana ni wakorofi.
Upo sahihi hakuna aliyempigia kura ya kuwa rais Hivyo ni RAIS wa KATIBAKwanza kabisa huyu mama hana uchungu hata na madaraka aliyonayo coz ameyapata kwa bahati mbaya tu hajui hata uchungu wa kura za wananchi so hana haya na anayoyafanya wananchi huko wanalia ni mwanamke mzima lakini hata kutubembeleza hawezi hajui kuwa watu wanasubiri utatuzi wake.
Tukija kwenye uchaguzi unaofata Mama samia kura hana za wananchi ila atapata kura za wana ccm tunaoogopa kuwapa Chadema madaraka because they the worst maybe be ikitokea option nyingne lakini kwa mwana ccm damu hawezi kuwa Chadema madaraka kisa viongozi wake wameenda ndivyo sivyo.
hao wananchi ulikutana nao wapi wakakwambia?Kwanza kabisa huyu mama hana uchungu hata na madaraka aliyonayo coz ameyapata kwa bahati mbaya tu hajui hata uchungu wa kura za wananchi so hana haya na anayoyafanya wananchi huko wanalia ni mwanamke mzima lakini hata kutubembeleza hawezi hajui kuwa watu wanasubiri utatuzi wake.
Tukija kwenye uchaguzi unaofata Mama samia kura hana za wananchi ila atapata kura za wana ccm tunaoogopa kuwapa Chadema madaraka because they the worst maybe be ikitokea option nyingne lakini kwa mwana ccm damu hawezi kuwa Chadema madaraka kisa viongozi wake wameenda ndivyo sivyo.