Kwa siku nyingine tena tupo gizani baada ya umeme kukatwa. Hakuna ratiba yoyote ya siku ya wiki wala saa. Umeme unakatwa na kurudishwa na Wahusika wakiamua au tuseme kama wapendavyo na bila taarifa. Hakuna tamko lolote kuhusu hali hii kutoka kwa kiongozu wa nchi, na imeishia wateuøe wake kila kuchao wanakuja na matamko mbalimbali kinzani ya lini adha hii itafikia tamati. Kee hii nchi Rais kweli yupo na anafahamu uhalisia wa maisha haya ya mateso matupu kwa Raia wake? Huyu Rais kama kweli yupo kwanini anajificha na haonyeshi kuguswa wala kujali?
 
Kwa siku nyingine tena tupo gizani baada ya umeme kukatwa. Hakuna ratiba yoyote ya siku ya wiki wala saa. Umeme unakatwa na kurudishwa na Wahusika wakiamua au tuseme kama wapendavyo na bila taarifa. Hakuna tamko lolote kuhusu hali hii kutoka kwa kiongozu wa nchi, na imeishia wateuøe wake kila kuchao wanakuja na matamko mbalimbali kinzani ya lini adha hii itafikia tamati. Kee hii nchi Rais kweli yupo na anafahamu uhalisia wa maisha haya ya mateso matupu kwa Raia wake? Huyu Rais kama kweli yupo kwanini anajificha na haonyeshi kuguswa wala kujali?
Ndugu yangu, Rais wa Nchi hii alifariki. Kwa sasa Nchi hii haina Rais. Kungekuwa na Rais angesikia kilio cha watanzania kuhusu uhaba wa umeme.
 
Mkuu tunamlaumu bure yule mama, hakutegemea kuvaa viatu alivyonavyosasa, urais unahitaji watu waliojipanga, wakasukwa wakaiva.

Sasa kwa mama umekuja kwa bahati, pia nchi kwasasa mahaba mengi, hana maamuzi maana hajui afanye nn
Kwa hiyo 2025 ndio atakuwa kajipanga
 
Kwa siku nyingine tena tupo gizani baada ya umeme kukatwa. Hakuna ratiba yoyote ya siku ya wiki wala saa. Umeme unakatwa na kurudishwa na Wahusika wakiamua au tuseme kama wapendavyo na bila taarifa. Hakuna tamko lolote kuhusu hali hii kutoka kwa kiongozu wa nchi, na imeishia wateuøe wake kila kuchao wanakuja na matamko mbalimbali kinzani ya lini adha hii itafikia tamati. Kee hii nchi Rais kweli yupo na anafahamu uhalisia wa maisha haya ya mateso matupu kwa Raia wake? Huyu Rais kama kweli yupo kwanini anajificha na haonyeshi kuguswa wala kujali?
Nchi haipo mikononi mwake na sidhani kama ana uwezo wa kuiendesha.

Maana ndo maana wengi wanajiuliza endapo JK alifahamu kuwa atakuja kuwa rais ndo maana akamkataa EL?

Na sijasema kwamba ana uhusika wowote kwenye kifo cha mwendazake.

But lots of things are possible.
 
Nchi haipo mikononi mwake na sidhani kama ana uwezo wa kuindesha.

Maana ndo maana wengi wanajiuliza endapo JK alifahamu kuwa atakuja kuwa rais ndo maana akamkataa EL?

Na sijasema kwamba ana uhusika wowote kwenye kifo cha mwendazake.

But lots of things are possible.
SAMIA Hamna kitu, Kigoma Umeme wa gereneta Lakini Lakini Kila Siku Umeme Hamna... SAMIA Please Acha Hayo MADARAKA
 
Nchi haipo mikononi mwake na sidhani kama ana uwezo wa kuiendesha.

Maana ndo maana wengi wanajiuliza endapo JK alifahamu kuwa atakuja kuwa rais ndo maana akamkataa EL?

Na sijasema kwamba ana uhusika wowote kwenye kifo cha mwendazake.

But lots of things are possible.
Mmh
 
Mkuu tunamlaumu bure yule mama, hakutegemea kuvaa viatu alivyonavyosasa, urais unahitaji watu waliojipanga, wakasukwa wakaiva.

Sasa kwa mama umekuja kwa bahati, pia nchi kwasasa mahaba mengi, hana maamuzi maana hajui afanye nn
Ni sahihi. Hana ajualo yule Ajuza wa kizanzibar zaidi ya kuturembulia macho tu.
 
Nchi haipo mikononi mwake na sidhani kama ana uwezo wa kuiendesha.

Maana ndo maana wengi wanajiuliza endapo JK alifahamu kuwa atakuja kuwa rais ndo maana akamkataa EL?

Na sijasema kwamba ana uhusika wowote kwenye kifo cha mwendazake.

But lots of things are possible.
Janabigiftedhands did
 
Mkuu tunamlaumu bure yule mama, hakutegemea kuvaa viatu alivyonavyosasa, urais unahitaji watu waliojipanga, wakasukwa wakaiva.

Sasa kwa mama umekuja kwa bahati, pia nchi kwasasa mahaba mengi, hana maamuzi maana hajui afanye nn
Aachiee ngazi kama viatu hamtoshi
 
Nilikua kwenye kikao flani,Jamaaa anapihechiDi Ati likasifiaa...Dah! Nikawaza ivi Dr.za Bongo ni sawa na Israel kweli....🤣
 
Back
Top Bottom