zawadi

  1. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kupewa zawadi siku yako ya kuzaliwa

    Hivi mwanamke unaemfukuzia kukuletea zawadi siku yako ya kuzaliwa na huku wewe mwenyewe haujui kama ndo siku hiyo, kisha ukimuomba mzigo anazingua na hataki kusikia kitu kama hicho inamaana gani? Kila ukijaribu kula mzigo kimasihara anachomoa, geto hatokei na hataki kusikia habari yoyote...
  2. Parabora

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Baba Mkwe kapanga kunipa zawadi ya nyumba, viwanja na pesa za mtaji kama zawadi nikimuoa binti yake. Tatizo nimepoteza hisia na binti yake

    Niko kwenye mahusiano na mdada mmoja ambaye tulikutana kwa mara ya kwanza masomoni UBELGIJI miaka 6 iliyopita, nilimpenda sana na kwa kweli tuliishi nae mda mrefu bila kukwichikwichi kutokana na misimamo yake... Huyu mdada kwetu anajulikana na kila ndugu wa karibu na hata kwao najulikana na wote...
  3. V

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wale ambao hawajawahi kununuliwa zawadi na wapenzi/wake zao karibuni tufarijiane

    Habari zenu wanajamvi. Sijui ni mimi tu au wapo wenzangu ambao tangia waanze kuwa na mahusiano hawajawahi kununuliwa hata peremendi tu na wenza wao. Mke wangu mimi ni house wife (though anajifundisha kazi za amali now) so simlaumu sana na yeye amewahi kuniambia anatamani kuninulia japo shati...
  4. H

    JamiiForums Tanzania Diamond apewa zawadi na FIFA

    Msanii wa Kimataifa kutoka Tanzania alipata nafasi kutembelea Museum ya FIFA pale Zurich. Msanii Diamond ametua Uswizi mahususi kwa ajili ya show yake ambayo ameipa jina European Tour. Baada ya kuingia Museum ya FIFA amepewa zawadi ya kikombe kidogo pamoja na jezi yenye jina lake Platnumz no 9...
  5. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Kutoa ni moyo : Mbunge wa Mbeya Mjini awakumbuka Wafungwa wenzake , atembelea gereza alilofungwa , amwaga zawadi

    Kwa sababu zilizokuwa nje ya uwezo wetu hakutakuwa na picha ya tukio
  6. lee Vladimir cleef

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni kweli unaweza kupewa penzi kwa kuonewa huruma au Kama zawadi?

    Ulishawahi kukutana na hali hii? Yaani unanmtongoza KE,anakukataa kwa maneno makali na kashfa,unajiondokea maeneo hayo kwa aibu na fedheha,inapita siku,wiki,mwezi na hata miaka.Anakua anakutazama tu huruma inamuijia,Inatokea siku moja anakukumbusha,anakupa penzi hii Ni baada kukuonea huruma.je...
  7. budebajr

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Zawadi ipi nzuri kwa mama mzazi wa Kitanzania?

    Zawadi gani inafaa kumpa mama Mzazi wa kitanzania kumshukuru kwa mchango wake mzuri kama mzazi. Nasubiri maoni yenu wakuu
  8. CalvinKimaro

    JamiiForums Tanzania Zawadi ya mlima Kilimanjaro ilipaswa tuichambue

    Historia inaonyesha mlima Kilimanjaro ulikuwa Kenya na Mombasa ilikuwa Tanganyika. Ila ukoo wa ufalme wa Uingereza ukapeana zawadi. Mlima ukaja Tanganyika na Bandari ya Mombasa ikaenda Kenya. La sivyo Kenya ingekuwa haina Bandari na Mlima Kilimanjaro na wachaga ungekuwa Kenya. Nasema...
  9. patience96

    JamiiForums Tanzania Je kujikuna ni zawadi itolewayo na ubongo?

    Je Kujikuna ni Zawadi Itolewayo na Ubongo? Je Ni Kwanini Unahisi Raha na Adha Unapojikuna? Salaam Wadau! Naomba niende moja kwa moja kwenye mada. Unapohisi muwasho kwenye mwili wako ni dhahiri kuwa utatamani ukune (scratch) sehemu husika. Hata wanyama wengine hufanya hivi pia...
  10. Avriel

    JamiiForums Tanzania Mbunge Lameck Airo agawa pipi na bazoka kwa wagonjwa wodini

    Video fupi ikumuonyesha mbunge Wa Rorya ndugu Lameck Airo ( Lakairo) akigawa jojo na pipi kwa wagonjwa. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Mzee aiba pesa na kuzitoa kama zawadi akisema 'Merry Christmas'

    Bwana mmoja mwenye ndevu nyeupe alifanya uvamizi wa benki siku mbili kabla ya Krismasi na kuzirusha juu kwa furaha na kuwatakia kheri ya siku kuu wapita njia, mashuhuda wameeleza. Polisi wamethibitisha "mwanaume mzee wa kizungu" alivamia benki ya Academy mjini Colorado Springs, Marekani siku ya...
  12. ahter

    JamiiForums Tanzania Zawadi kwa wanaJamiiForums wote

    hii ni kwa wote wanaopenda mesage, na kama unao ujumbe tuma nikutengenezee ikiwa ni zawadi special. zangu mimi kwenu ni hizi
  13. E

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Roho inasita kumpatia mpenzi wangu Zawadi

    Habari zenu, Kama kichwa cha habari kinavyosomeka ni miezi minne (4) sasa tangu tuanzishe mahusiano na huyu Kaka kuna zawadi nilinunua kumpatia tangu niinunue mpaka leo ninayo na sijampa na moyo wangu nikitaka kumpa hautaki kabisa tatizo sijui liko wapi? ila huyu kaka kunipenda ananipenda...
  14. Return Of Undertaker

    JamiiForums Tanzania Benjamin Mkapa: Natamani kuwe na Tume Huru ya Uchaguzi, Wapinzani wahusishwe kwenye kupiga na kuhesabu kura na kutangazwa mshindi

    Kama nakosea Mungu anisamehe. Nachoamini huyu Mkapa ndio alimpora Maalim Seif urais wa Zanzibar. Pili huyu ndio mwasisi wa ubavu ubavu na ubabe inakuwaje leo katoka madarakani na anaonekana kachoka ndio anatubu. Kwanini asiwambie aliowaweka madarakani watende haki? Kwanini alazimishe...
  15. fagix

    JamiiForums Tanzania Mkopo sio zawadi, 1st lazima mjue hilo

    Naamini muwazima wa afya, awali ya yote niwapongeze wote mliobahatika kupata mkopo kutoka Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB). Hiyo ni haki yenu kwani vigezo na sifa za kupata mkopo umevitimiza. Pia poleni kwa wote ambao hamjapata mkopo, pia nanyi vingezo na sifa naamini mnavyo...
Back
Top Bottom