kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,301
- 12,600
Binafsi ninawapongeza Vodacom, KCB, TFF, wachezaji na wadau wote walioandaa na waliopata zawadi za VPL kwa msimu wa 2019/20.
Lakini sio vibaya pia sisi wadau watazamaji, wasikilizaji na wafuatiliaji wa mpira wetu nchini hasa VPL kuzijadili zawadi na kuwajadili waliozipata.
Je, waliopewa zawadi ndio waliostahili kupewa kweli?
Lakini sio vibaya pia sisi wadau watazamaji, wasikilizaji na wafuatiliaji wa mpira wetu nchini hasa VPL kuzijadili zawadi na kuwajadili waliozipata.
Je, waliopewa zawadi ndio waliostahili kupewa kweli?