Hivi mwanamke unaemfukuzia kukuletea zawadi siku yako ya kuzaliwa na huku wewe mwenyewe haujui kama ndo siku hiyo, kisha ukimuomba mzigo anazingua na hataki kusikia kitu kama hicho inamaana gani?
Kila ukijaribu kula mzigo kimasihara anachomoa, geto hatokei na hataki kusikia habari yoyote kuhusiana na mtoko wowote wenye kiashiria cha kuliwa hii ina maana gani kwenu nyie wanawake.
Kila ukijaribu kula mzigo kimasihara anachomoa, geto hatokei na hataki kusikia habari yoyote kuhusiana na mtoko wowote wenye kiashiria cha kuliwa hii ina maana gani kwenu nyie wanawake.