victor moshi
JF-Expert Member
- Oct 17, 2014
- 829
- 1,059
Wakuu pita pita zangu kule Instagram nimekutana na post ya Dulla wa planet bongo akishukuru uongozi wa East Afrca kwa kumkabidhi gari aina ya marcediz benz hii ni baada ya kukitumikia kituo hicho miaka 12.
Je, hii ni mbinu mpya East Africa redio wamekujanayo baada yakuuona watangazaji wao wana sepaa kila kukichaa?
Je, hii inafuta ile minong'ono kwamba kituo hicho kimekua hakilipi mishahara wafanyakazi wake kwa kumkabithi Dulla gari kali?
Je, hii ni mbinu mpya East Africa redio wamekujanayo baada yakuuona watangazaji wao wana sepaa kila kukichaa?
Je, hii inafuta ile minong'ono kwamba kituo hicho kimekua hakilipi mishahara wafanyakazi wake kwa kumkabithi Dulla gari kali?