Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,778
Niliwawahi andika miaka hii haya mashindano ni ya kitapeli
Wapo waliodhihaki
Nenda mtandao wa salehe jembe usikie mwenyewe mshindi wa enzi hizo Kayumba na zawadi alizopata.
1) Anasema wazazi walipewa mil 2 tu
2) Aliletewa gari ambalo alikuwa jipya nakuwambiwa utakuwa ukitumia
3) Alipelekwa kwenye kiwanja kina msingi tu na kuambiwa utakimalizia mwenyewe (Kumbuka mpaka leo anasema kiwanja kile hajapewa hati na anazungushwa kila anapoenda)
4) Haya mambo nilisema yana muda wake. Madam Rita amevuna alichopanda
Katika mahojiano kikana anasema alikaa na uchungu moyoni bila kuyasema sababu alikuwa bado anapambana kupata hati ya kile kiwanja.
Mji mtamu huu. Nyie nendeni mikoani tunabaki hapahapa sisi.
Wapo waliodhihaki
Nenda mtandao wa salehe jembe usikie mwenyewe mshindi wa enzi hizo Kayumba na zawadi alizopata.
1) Anasema wazazi walipewa mil 2 tu
2) Aliletewa gari ambalo alikuwa jipya nakuwambiwa utakuwa ukitumia
3) Alipelekwa kwenye kiwanja kina msingi tu na kuambiwa utakimalizia mwenyewe (Kumbuka mpaka leo anasema kiwanja kile hajapewa hati na anazungushwa kila anapoenda)
4) Haya mambo nilisema yana muda wake. Madam Rita amevuna alichopanda
Katika mahojiano kikana anasema alikaa na uchungu moyoni bila kuyasema sababu alikuwa bado anapambana kupata hati ya kile kiwanja.
Mji mtamu huu. Nyie nendeni mikoani tunabaki hapahapa sisi.