IJIGHA NDIO HOME
JF-Expert Member
- Jul 13, 2019
- 748
- 771
Salam wakuu, hivi yule binti aliepoteza wazazi na wadogo zake kwa ajali alipokua akijiandaa na mitihani ya kidato cha nne, nani anajua matokeo yake alifaulu?
====
Sent using Jamii Forums mobile app
====
ALIYEFIWA NA WAZAZI, NDUGU WATATU, APATA DIVISION 1.
Mwanafunzi Anna Zambi aliyefiwa na wazazi wake na wadogo zake watatu siku chache kabla ya mtihani wa kidato cha nne amefaulu kwa kupata 'Division 1' .
.
Mwanafunzi Mwanafunzi huyo aliyemaliza shule ya Sekondari Mother Theresia Of Calcuta, Kilimanjaro aliwaliza wananchi baada ya kupata taarifa ya vifo vya wazazi na ndugu zake, Novemba 16 mwaka jana baada ya kumaliza mitihani
View attachment 1318216
View attachment 1318217
Sent using Jamii Forums mobile app