FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 35,847
- 40,437
Napendekeza nyumba zote za Manzese zifanyiwe tathmini na wamiliki wake walipwe fidia ili kupisha uboreshaji wa mandhari ya jiji, ile takataka inayoitwa Manzese haivumiliki, no way!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata gari za taka kuingia mitaani kukusanya taka zinashindwa kutokana na ufinyu wa mitaa, hii haivumilikiUkiachana na mpangilio, usafi ni changamoto. Aliyepo akiondoka bila kuweka mpangokazi wa usafi hata miundombinu itakuwa majalala.
Fanyia kazi kama uko katika nafasi hiyo, panatia kichefu chefu pale
Jiwe angeanzisha mchakato mzuri kama huo, mimi binafsi imani yangu kwake ingefika 30%.Napendekeza nyumba zote za Manzese zifanyiwe tathmini na wamiliki wake walipwe fidia ili kupisha uboreshaji wa mandhari ya jiji, ile takataka inayoitwa Manzese haivumiliki, no way!
Huku kwetu zenji Dk Shein tayari ameanza kuvunja mitaa ya hovyo na kujenga make majengo ya kisasaJiwe angeanzisha mchakato mzuri kama huo, mimi binafsi imani yangu kwake ingefika 30%.
Mitaa ifuatayo ingefanyiwa hvyo ingependeza
Mazense
Temeke( Aziz ally ,mtongani tandika)
Tandale
Kigogo
Mburahati
Tabata t.o.t
Vingunguti
Kinondoni mkwajuni
Magomeni yote
Mwananyamala
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiangalia topographic maps za zamani, sehemu kubwa ilikuwa ziwa - Lake Manzese. Ziwa likiambatana na njia au vyanzo vya maji kuingia na kutoka hapo.Napendekeza nyumba zote za Manzese zifanyiwe tathmini na wamiliki wake walipwe fidia ili kupisha uboreshaji wa mandhari ya jiji, ile takataka inayoitwa Manzese haivumiliki, no way!
View attachment 1320572
Ilipimwa Magomeni na kuacha Manzese makusudi kabisa. Walijua ni eneo la maji maana kulikuwa na Lake Manzese miaka hiyo.Magomeni asilimia kubwa imepimwa
Ni kipande kidogo tu
Yes dar eneo kubwa Lina maji..Ilipimwa Magomeni na kuacha Manzese makusudi kabisa. Walijua ni eneo la maji maana kulikuwa na Lake Manzese miaka hiyo.
Hawatakiwi kulipwa fidia badale yake serikali ijenge majengo ya ghorofa Kuanzia 6 mpaka 10.Napendekeza nyumba zote za Manzese zifanyiwe tathmini na wamiliki wake walipwe fidia ili kupisha uboreshaji wa mandhari ya jiji, ile takataka inayoitwa Manzese haivumiliki, no way!
View attachment 1320572
Yes unapotaka kutibu tatizo lazima uitokomeze mizizi yote kwanza.Vipi kuhusu kuwapatia kazi kwanza kabla ya kuwatimua? Mawazo yako hayana tofauti na wanaoleta gari kusomba omba omba mijini na kuwafungia wakati wakipata ugeni kutoka nje, ...
GoodHawatakiwi kulipwa fidia badale yake serikali ijenge majengo ya ghorofa Kuanzia 6 mpaka 10.
Mfano jengo moja lichukue familia 20 hadi 30, then majengo 10 kuna familia kati ya 200 hadi 300,
Kwa style hii kuna maeneo yatabaki wazi na serikali inaweza kufanya vitu vingine kama recreational parks na uwekezaji mwingine.
Ukiwapa fidia wataenda kutengeneza manzese nyingine huko waendeko.