Makonda: Kufikia tarehe 01/03/2020 wanafunzi wote wa sekondari watakaa madarasani kila mmoja na dawati lake, wazazi hawatachangishwa!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,915
141,870
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Mh Makonda amesema jiji la Dar es Salaam lina upungufu wa madarasa 381 baada ya wanafunzi wengi kufaulu.

Hivyo mkoa utakamilisha ujenzi wa madarasa hayo kufikia tarehe 28/02/2020 na mnamo tarehe 01/03/2020 kila mwanafunzi atasomea darasani akiwa na kiti na meza yake.

Makonda amesema kila kitu kitagharamiwa na serikali ya mkoa na hakuna mzazi atakayechangishwa hata shilingi moja.

Makonda alikuwa akikagua ujenzi wa madarasa wilayani Temeke.

Source: Star Tv

Maendeleo hayana vyama!
 
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Mh Makonda amesema jiji la Dar es Salaam lina upungufu wa madarasa 381 baada ya wanafunzi wengi kufaulu. Hivyo mkoa utakamilisha ujenzi wa madarasa hayo kufikia tarehe 28/02/2020 na mnamo tarehe 01/03/2020 kila mwanafunzi atasomea darasani akiwa na kiti na meza yake.

Makonda amesema kila kitu kitagharamiwa na serikali ya mkoa na hakuna mzazi atakayechangishwa hata shilingi moja.

Makonda alikuwa akikagua ujenzi wa madarasa wilayani Temeke.

Source Star tv

Maendeleo hayana vyama!
Hivi umesikia vzr?!?! Ni madawati 381 au 3810??!?!?!!

Maana shule nkliyopeleka mwanangu pekee ina upungufu za wa zaidi ya mafawati 80.

Na hakuna namna, wazazi tusibweteke, tuwaache wanasiasa na siasa zao, Bali tujiongeze na tuseme shule hizi ni zetu, na yahutajika kwa hiyati kuzichangia. Mimi nimeamua kuchangia madawati 5.
 
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Mh Makonda amesema jiji la Dar es Salaam lina upungufu wa madarasa 381 baada ya wanafunzi wengi kufaulu. Hivyo mkoa utakamilisha ujenzi wa madarasa hayo kufikia tarehe 28/02/2020 na mnamo tarehe 01/03/2020 kila mwanafunzi atasomea darasani akiwa na kiti na meza yake.

Makonda amesema kila kitu kitagharamiwa na serikali ya mkoa na hakuna mzazi atakayechangishwa hata shilingi moja.

Makonda alikuwa akikagua ujenzi wa madarasa wilayani Temeke.

Source Star tv

Maendeleo hayana vyama!
Elimu ya kuwategemea wanasiasa hatuta fika popote .
 
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Mh Makonda amesema jiji la Dar es Salaam lina upungufu wa madarasa 381 baada ya wanafunzi wengi kufaulu. Hivyo mkoa utakamilisha ujenzi wa madarasa hayo kufikia tarehe 28/02/2020 na mnamo tarehe 01/03/2020 kila mwanafunzi atasomea darasani akiwa na kiti na meza yake.

Makonda amesema kila kitu kitagharamiwa na serikali ya mkoa na hakuna mzazi atakayechangishwa hata shilingi moja.

Makonda alikuwa akikagua ujenzi wa madarasa wilayani Temeke.

Source Star tv

Maendeleo hayana vyama!
Kashafufuka huyu mtu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi umesikia vzr?!?! Ni madawati 381 au 3810??!?!?!!

Maana shule nkliyopeleka mwanangu pekee ina upungufu za wa zaidi ya mafawati 80.

Na hakuna namna, wazazi tusibweteke, tuwaache wanasiasa na siasa zao, Bali tujiongeze na tuseme shule hizi ni zetu, na yahutajika kwa hiyati kuzichangia. Mimi nimeamua kuchangia madawati 5.
Madarasa 381 uwe unasoma na kuelewa bwashee!
 
Vyumba 381x20,000,000 approx. ni sawana 7.62 Billion ... Mkoa umetenga kiasi hicho?
 
Huyo hana issue tena maana kaktaliwa na taifa kubwa duniani kwa maovu ayatendayo
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Mh Makonda amesema jiji la Dar es Salaam lina upungufu wa madarasa 381 baada ya wanafunzi wengi kufaulu. Hivyo mkoa utakamilisha ujenzi wa madarasa hayo kufikia tarehe 28/02/2020 na mnamo tarehe 01/03/2020 kila mwanafunzi atasomea darasani akiwa na kiti na meza yake.

Makonda amesema kila kitu kitagharamiwa na serikali ya mkoa na hakuna mzazi atakayechangishwa hata shilingi moja.

Makonda alikuwa akikagua ujenzi wa madarasa wilayani Temeke.

Source Star tv

Maendeleo hayana vyama!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na kwa muda wa week 3 taratibu za curing ya zege, sakafu, finishes hasa rangi itakuwa imekauka kiasi isilete madhara kwa watumiaji?
 
Na kwa muda wa week 3 taratibu za curing ya zege, sakafu, finishes hasa rangi itakuwa imekauka kiasi isilete madhara kwa watumiaji?
China wamejenga hospitali kubwa kwa siku 8 tu.......hakuna kisichowezekana bwashee!
 
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Mh Makonda amesema jiji la Dar es Salaam lina upungufu wa madarasa 381 baada ya wanafunzi wengi kufaulu. Hivyo mkoa utakamilisha ujenzi wa madarasa hayo kufikia tarehe 28/02/2020 na mnamo tarehe 01/03/2020 kila mwanafunzi atasomea darasani akiwa na kiti na meza yake.

Makonda amesema kila kitu kitagharamiwa na serikali ya mkoa na hakuna mzazi atakayechangishwa hata shilingi moja.

Makonda alikuwa akikagua ujenzi wa madarasa wilayani Temeke.

Source Star tv

Maendeleo hayana vyama!
Hivi umesikia vzr?!?! Ni madawati 381 au 3810??!?!?!!

Maana shule nkliyopeleka mwanangu pekee ina upungufu za wa zaidi ya mafawati 80
Madarasa 381 uwe unasoma na kuelewa bwashee!
ndio maana nasema takwimu si sahihi kwani shule niliyopeleka Mimi mwanangu ina mapungufu ya madawati zaidi ya 80. Na shule ziko zaidi ya 50 za serikali dar. Ukigawa kwa madawati 300 yaliyobaki inamaana kila shule itapata madawati 6 tu.

Hapa wanasiasa hawajasema kweli,
 
Back
Top Bottom