Joe Kangaroo aliokolewa katika moto huko Australia

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,595
215,272
1578391984296.jpeg


Joe ana majeraha machache lakini amepoteza wazazi wote wawili. Sasa hivi amelazwa kwa ni mgonjwa wa kulazwa kwa daktari wa wanyama.
 
Haha anatia huruma kweli! Ningependa kujua hilo ni jina lake toka zamani au amebatizwa sasa?
 
Hivi mbona bongo sijawahi kusikia moto mkubwa kama huo au sisi misitu yetu midogo?
 
Nashindwa wanashindwaje kuukontrol huo moto, kuna kitu wanaopanda miti kinaitwa fireline, hata uwe na shamba la eakri 300, lazima uligawe vipande ili ikotokea moto ukitoka kiapande kimoja usifike kipande cha pili. Sasa wanajua moto unapotoka na unapoelekea , hapo ni kuchukua magreda yote australia nikutengeneza firaline ya ukubwa hata mita 20.
 
kizaizai, Mkuu hiyo njia yako haiwezi kufua dafu kwa sababu ule moto unasambaa kwa kasi sana kwa sababu ya upepo mkali na joto kali.
Halafu kunakua na zaidi ya moto 200 inaunguza sehemu mbali mbali.
kama sasa hivi hali ya hewa imekuwa nzuri kidogo kwahiyo inakuwa rahisi kwao kuudhibiti.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
JE NI BORA KUWA KANGAROO AUSTRALIA???
Akili za watu kama ww ni hasara kabisa ni bora kukuweka kwenye kundi la nguruwe ili ufugwe...
Inafikia binadamu unataman uwe mnyama lakn unashindwa kufikiria kuwa hapo walipofikia wenzako walipambana kwa kila hali lakn ww unataka kila kitu kiwe bwelele. Ndio maana vijana Wa kiume mnaamua kuolewa yote haya ni kutoumiza akili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom