wanawake

Maendeleo Ya Wanawake Organisation (MYWO) is a women's NGO that deals with issues to do with women's rights and gender equity in Kenya. It was founded by Jemimah Gecaga in 1952 and has approximately 600,000 groups contributing to a total membership of about two million women. It is currently chaired by Rukia Subow and has various agendas in its mission statement, including maternal, child health and family planning and training women in leadership and development.Historically it was promoted by the British during their colonial rule over Kenya and helped provide services only for those against the Mau Mau anti-colonial uprising.Ruth Habwe served as secretary general of the organization from 1968 until 1971.

View More On Wikipedia.org
  1. James Martin

    Hivi kweli wanawake wa bara hawajui mapenzi?

    Nimesikia mara kazaa kuwa wanawake wa bara wako nyuma kwenye mambo ya mapenzi. Binafsi nafikiri hili ni swali gumu kulijibu ingawa linaweza kuwa na ukweli ndani yake. Karibu ujana wangu mwingi nilikulia jijini Dar es salaam. Nikiwa jijini Dar nilipata fursa ya "kuwajua" wanawake mbalimbali...
  2. William Mshumbusi

    Naomba tumsaidie Joyce Kiria wa wanawake live. Anabomoa msingi wa taifa Bora

    Nasoma posti zake kupitia wanawake live fb. Anaposti kila uchwao story za wanawake wanasemekana kuteswa katika ndoa zao na kuamua kuachika kabisa. Pamoja na kubainisha malengo yake ni kupigania haki za wanawake, kuwainua kiuchumi nakuwatetea Ila anachofanya Sasa kinaonekana wazi NI kujenga...
  3. Chizi Maarifa

    Asilimia kubwa ya Wanawake huanza enjoy Mapenzi kuanzia kwa Mwanaume wa Tatu na kuendelea

    Utafiti huu nmeufanya kwa wanawake zaidi ya 100 wengi wanakiri hawakuwa waki enjoy mapenzi na their first boyfriends. Mpaka kuanzia wa tatu na kuendelea au wa pili. Kisaikolojia image ya tendo la siku ya kwanza hubaki kichwani na kuonesha hali ya maumivu kila wanapoingilia kimwil hujenga picha...
  4. Ligogoma

    Wanawake pia wana ndoto zao kimapenzi

    Wiki iliyopita nilishinda mkoa wa Manyara, katika shughuli ambayo ilitukutanisha watu si chini ya 50 kutoka sehemu mbalimbali Tanzania. Kama kawaida, couples zikajiunda ndani ya masaa kadhaa!! Sisi wazee tukabaki watazamaji tu. Kuna binti hakutaka kujiunga katika mkumbo wa wenzie!! Binti...
  5. Faith Luvanga

    GE2020 Twalib Kadege: Suala la unyanyasaji kwa Wanawake, adhabu ni Jela Miaka 25

    Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha UPDP amesema kuwa Serikali yake itaandaa Muswada punde baada ya kuingia Bungeni kwa ajili ya unyanyasaji na udhalilishaji wa Wanawake ambapo Mahakama itatoa adhabu ya miaka 25 jela ili kutoa funzo kwa wengine. "Tumejipanga...
  6. Faith Luvanga

    GE2020 Twalib Kadege: Nitaanzisha Wizara ya Mikopo itakayokopesha fedha kwa Wanawake na Vijana

    Akizungumza katika Mahojiano Maalum na JamiiForums, Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha UPDP, Twalib Kadege amesema iwapo Watanzania watampa ridhaa ya kuongoza, Serikali yake itahakikisha Watanzania wote wanakuwa na hali nzuri kimaisha. Ataanzisha Wizara ya Mikopo...
  7. Chizi Maarifa

    Siku ya Kwanza kabisa baada ya kuapishwa kuwa Rais naanza kushughulikia Masuala haya ya Wanawake

    Nikiapishwa tu siku hiyo haraka narudi Ikulu naagiza wamlete Sanchoka aje kwa week moja tujadiline naye changamoto mbalimbali zinazohusu wanawake hasa vijana wa Tanzania. Nataka nipate week moja nzima tunajadili kwa kina na kupeana semina elekezi. Ni mmoja ya wanawake wenye maumbo mazuri sana...
  8. Extrovert

    Wanawake this is the harsh reality

    Alot has been said multiple times ila imekuwa ni malumbano yasio na mwisho tu. Nimewaletea clip hii japo iwe funzo na muweze kuelewa kuwa nini hasa tunahitaji katika ndoa ili kujenga familia yenye amani na furaha. Ni life experience ya ndoa na funzo toka kwa mwanamke ambaye aliolewa akaachika...
  9. Matope

    Joyce Kiria, acha kulaumu wanaume muda wote. Anza sasa kufuatilia matatizo ya wanawake kwenye ndoa zao

    Habari, Nimekuwa nafatilia mada za huyu dada muda wote amekuwa mtu wa kulaumu wanawake kupigwa na waume zao je amewahi jiuliza changamoto ni nini Mpk wapate vipigo? Wakati flani wanawake wanakera na kuudhi sanaaa wapo wanaowanyanyasa sana waume zao walalamike wapi? Wanaume wasioweza kusema...
  10. D

    Huku Zanzibar kuna mambo ya ajabu sana

    Mgeni akifika Zanzibar, watu wa huku ukiwatizama wanazuga kama hawana tyme nae! Lakini lazima huwa wanamfuatilia nyuma nyuma kuona anaelekea wapi na ni mgeni wa nani! Wakishajiridhisha mahala ulipofikia wakikuona tena!! Utawasikia " Huyu si aishi pale kwa Ariiiiii!!" (Yaani mgeni wa Ally)...
  11. Research Solutions TZ

    Ndoa na Mirathi inawaumiza Wanawake

    Ipo hivi watu wakifunga ndoa hutangazwa kuwa ni Mwili mmoja, au kitu kimoja, kwa maana maamuzi sasa yanataka concer ya wote wawili. Lakini mwanamke akifa kwenye ndoa, na mwanaume akiwa hai, hakutakuwa na ugomvi wa mali, kwa kuwa mali hazitakuwa na mpango wa kuganywa. Lakini akifa mwanaume basi...
  12. R

    Wanawake bwana! Usipojibu SMS zao utasikia yule kaka ana dharau ila za kwetu wasipojibu wanaona poa tu

    Ni Jumamosi nyingine wadai nimekutana na hili balaa wanawake viumbe wa ajabu sana Nimekutana na hili balaa wandugu nikaona bora nishare na nyiny ipo hv kuna wanawake kadhaa tumepata kufahamiana lkn nimegundua jambo moja wanawake ni viumbe wanaopenda wananekana watu wa matawi fulan sasa...
  13. Miss Zomboko

    Wanawake huongoza kudhalilishwa mitandaoni kutokana na kupiga picha zenye utata

    TCRA yataja sababu Wanawake kuongoza kudhalilishwa mtandaoni MAMLAKA ya Mawasiliano (TCRA), imesema wanawake wanaongoza kwa kudhalilishwa mitandaoni kutokana na kuwa na tabia za kupiga picha zenye utata na kuzituma mitandaoni pamoja na kutumia simu za wapenzi wao kupiga picha za utupu. Mkuu wa...
  14. B

    GE2020 Mwenyekiti wa BAWACHA , Wanawake katika maamuzi ya Kitaifa

    17 October 2020 Halima Mdee : Wanawake ni Jeshi Kubwa, Wanaweza Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa CHADEMA (BAWACHA) Bi. Halima James Mdee azungumzia umuhimu wa wanawake ktk Taifa kushirikishwa katika maamuzi ngazi zote ili kuwa na Taifa bora kijamii , kisiasa na kiuchumi Hapa Tanzania...
  15. GENTAMYCINE

    Kama huu 'Utafiti' wa 'Kisayansi' ni kweli basi nashauri Wanaume wote tuanze Kudai 'Pesa' zetu tulizokuwa 'tukiwahonga' Wanawake

    Wanasayansi na Wabobezi wa 'Kungonoka' wamedai ya kwamba katika ufanyaji wa 'Ngono' Mwanamke huwa anasikia 'Utamu Kunoga' kwa 65% na Mwanaume kwa 35% tu. Na ili kuonyesha kuwa hawa 'Wataalam' wamedhamiria katika kutuelezea ukweli wao hii 65% ya 'Utamu Kunoga' wanaopata Wanawake wameigawanya...
  16. Carleen

    Wanawake, Wanawake, Wanawake! Nimewaita mara 3

    Hi guys, Sijawasalimu siku nyingi wacha tu Leo niwasalimu, Naomba tu nisichokwe, kuna vijitabia kwenye jamii wengine hatuwezi vifumbia macho, wahusika nawasema vizuri tu na wengine humu wenye vijitabia hivyo nawakumbusha tu aiseeh' waachane navyo maana vinaboaa! Kuna hii tabia hasa naona hawa...
  17. Bajeti ya kunguru

    Mambo matatu yanayofanywa na wanawake chumbani ambayo huchangia sana kuniondoa kwenye mood ya kuendelea nao

    Habari zenu humu wana jamvi. Leo nimeamua kuweka wazi humu mambo ambayo wanawake huyafanya tinapokuwa ndani ya mahusiano ya kimapenzi ambayo kimsingi huwa yanachangia pakubwa sana kwa mimi kuamua kuyavunja mahusiano yetu. Kifupi yananikera huwa nina asilimia kama 2% tu ya kuweza kuvumulia...
  18. Nazjaz

    Wanawake tuna nini lakini?

    Hi haijakawa sawa hata kidogo. Una masumbuko yako, unaamua kwenda kuombewa. Unamkuta mchungaji ofisini kwake, unalia, unamuelezea matatizo yako weeee. Gafla unaanguka miguuni pake namna hi... Halafu hicho kinguo kilivyo chepesi, kinaangaza, ndani hujavaa kitu. Mchungaji wa watu unamuweka...
  19. Khantwe

    Wanawake weusi tar 28 October tuna jambo letu

    Tukutane hapa tupange mikakati...tusifanye makosa
  20. D

    GE2020 Leila Sheikh: Marekani wana kizabinazabina kwa matamko yao kuhusu uchaguzi wa Tanzania

    Leila Sheikh mwanahabari na mtetezi wa haki za wanawake, wakati akishiriki mjadala wa waandishi wa habari uliotayarishwa na radio DW Kiswahili leo mchana ametoa matamko ambayo hata NEC wala viongozi wa CCM hawawezi kutamka moja kwa moja kuishambulia Marekani kwa kuitaja kwa jina zaidi ya kuishia...
Back
Top Bottom