wanawake

Maendeleo Ya Wanawake Organisation (MYWO) is a women's NGO that deals with issues to do with women's rights and gender equity in Kenya. It was founded by Jemimah Gecaga in 1952 and has approximately 600,000 groups contributing to a total membership of about two million women. It is currently chaired by Rukia Subow and has various agendas in its mission statement, including maternal, child health and family planning and training women in leadership and development.Historically it was promoted by the British during their colonial rule over Kenya and helped provide services only for those against the Mau Mau anti-colonial uprising.Ruth Habwe served as secretary general of the organization from 1968 until 1971.

View More On Wikipedia.org
  1. A

    Mbona wanaoshangilia Viti Maalum vya CHADEMA ni CCM?

    Nimekua nikijiuliza, hivi kwanini CCM wanashangilia sana kuapa kwa wabunge wa Viti Maalum wa CHADEMA kuliko hata wanaCHADEMA wenyewe? Jibu lililowazi ni kuwa Uchaguzi wa October umefanya viongozi wateule kukosa uhalali wa uongozi ndani na nje ya nchi (haswa nchi za magharibi). Hili sio tatizo...
  2. R

    Hivi wanawake mnapofanya ngono huwa mnapata raha?

    Mimi kiukweli bado nina mashaka na hawa viumbe wanaitwa wanawake. Kuna maswali fikirishi mno na nahisi kuna nyakati ihuwa wanasikia maumivu ila hawasemi tu Maswali yangu ni haya 1. Kwanini wanawake hata mkiwa na mahusiano huwa hamuombi sex mnasubiri mwanaume ndio aombe? 2. Kwanini huwa...
  3. D

    Chama kikiwafukuza Wabunge Viti Maalum CHADEMA itakuwaje?

    Badala ya kulalamika na kutukana na vilevile waandishi wetu kuogopa na kukaa chini sisi...Tumefanya utafiti mdogo kwanini ghafla Bunge na mfumo mzima wa uongozi wa serkali ya Tanzania ghafla wanawahitaji hao wabunge wa CHADEMA. MASHARTI YA PESA TOKA NJE (DONORS) Kama mnaelewa bunge letu hakuna...
  4. M

    Kuwafukuza uanachama Wanawake mashujaa 19 ni kujipiga risasi mguuni

    Chonde chonde kamati kuu ya CHADEMA, huu mtego utegueni kwa hekima. Kuwafukuza wanawake 19, au 20, ambao Ndio Wanawake imara na wenye nguvu zaidi nchini kwa sasa, siyo tu kujipiga risasi mguuni, ni kumpa adui nafasi ya kujilinda na kukushambulia. Sisiemu wana pandikiza mapandikizi kila leo...
  5. figganigga

    Nimeamini, Wanawake wa Kipemba wanajua Mapenzi kuliko Wanawake wa Tanga

    Salaam, Kuna kitu nmesikia watu wakijisifia kwamba wanawake wa Tanga ndo mapenzi yalipozaliwa. Ila ila baada ya utafiti wangu wa kina, nimegundua Wanawake wa Zanzibar hasa Kisiwa cha Pemba wapo Vizuri kwenye Tasnia ya Mapenzi kwa Ujumla yake. Yaani wanajua kumhudumia Mwanaume. Nahisi...
  6. Jelavic

    Mnyika usiwe Katibu wa kwanza katika historia ya CHADEMA aliyeua Baraza la Wanawake (BAWACHA), thamini juhudi zao kukufikisheni mahali mlipo leo

    Unapozungumzia Viti maalum wa 2020 hawa 19 WALIOCHAGUANA unazungumzia ngome kongwe ya viongozi wa wanawake wa chadema (BAWACHA). Nakukumbusha katibu mkuu utendaji wako juu ya hili kundi sio tu unawaathiri wao kama viti maalum bali unaathiri mfumo mzima wa balaza lako la wanawake ambalo ndio...
  7. Analogia Malenga

    UN: Idadi ya mauaji ya wanawake ni sawa na wanaokufa vitani

    Mkurugenzi Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres ameandika kuwa kwenye baadhi ya maeneo duniani, kiwango cha mauaji ya wanawake ni sawa na wanaokufa katika uwanja wa vita. Aliandika hayo siku moja kabla ya Siku wa Kimataifa ya Kupunguza Ukatili dhidi ya Wanawake, ambayo huadhimishwa...
  8. J

    Mbowe: Natamani mrithi wangu kama Mwenyekiti Taifa atoke BAWACHA

    Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe amesema anatamani sana atakapostaafu kama mwenyekiti wa Chadema taifa basi mrithi wake atoke Bawacha. Source Tanzania Daima My take; Namuona Halima Mdee akiandaliwa fursa ya kuongoza Chadema Maendeleo hayana vyama!
  9. B

    Wanawake wa CHADEMA wamejitolea kuwatoa gerezani wanasiasa wasio na hatia

    Mbele yetu tunawaona akina mdee na wenzake kama wasaliti wa nafsi zetu lakini tunasau sisi ni wasaliti wa Kwanza kutokea. Toka uchaguzi umalizike tumekaa kimya tukiandika mitandaoni na kushangilia wanachofanya wanasiasa wa upinzani bila kutilia maanani kwamba wapo watu wapo gerezani kwa sababu...
  10. M

    Tetesi: Suala la Viti Maalum kuna usaliti unaotaka kufanywa na Wanawake wa CHADEMA

    Kuna habari zina-trend mitandaoni kuwa kuna kundi la wanawake wa CHADEMA lipo kwenye harakati za chini kwa chini kula njama za kwenda Dodoma kula kiapo cha kuingia bungeni kwa viti maalum. Kundi hilo linajumuisha wanawake wenye majina makubwa makubwa ndani ya chama hicho, waliojijengea heshima...
  11. 2019

    Wanaume wanaohonga ndiyo wanawaaribu wanawake

    Kwanza tukubaliane kuna tofauti kati ya kuhonga na kumpa mwanamke vitu. Ufafanuzi:👇👇 Kuhonga ni kutumia vitu kama pesa,vitu vizuri vya anasa kumshawishi mwanamke ili kutimiza lengo lako. Kumpa mwanamke kitu pale anapoomba hupaswi kutoa kitu ambacho kipo nje ya uwezo wako,yani toa kwa moyo wako...
  12. R

    Hivi wanawake ni wasahaulifu au huwa wanajisahaulisha

    Kuna vitu vingine huwa havimake sense kabisa mara kadhaa hivi unakuta mnaenda sehemu hata sio mbali kutoka kituo mlichoshukia na hamna kona nyingi wala nini Sasa ghafla sijui nyingine unampigia simu mkutane hapo weekend kidume unatangulia unaweka mambo sawa ghafla anafika anakupigia simu...
  13. M

    GE2020 Maoni Yangu: CHADEMA tukubali Wanawake waende Bungeni

    Kwanza kabisa sikubali mchakato wa Uchaguzi wala matokeo! Ule haukuwa Uchaguzi bali uteuzi Pamoja na hayo, nashauri chama changu pendwa CHADEMA tumuache mbunge wetu wa Nkasi, Idah, anendeleena ubunge. Pili Halima Mdee, Bulaya, na wanawake wote wa Viti Maalum waende Bungeni, kwa masilai ya taifa...
  14. Mcheza Karate

    Jinsi ya kumwita jini na kumuamrisha unavyotaka awe rafiki, mpenzi au msaidizi

    Naam, nimekuja tena kupamba jukwaa kwa aina ya pekee kabisa. Nadhani mmewahi kusikia juu ya hawa viumbe wanaoitwa MAJINI. Mmesikia stori mbalimbali kuwahusu lakini leo sio stori tena na vitendo. Hawa ni viumbe wanaoishi ktk ulimwengu wao wa majini. Kuna geti/lango kubwa sana linalotenganisha...
  15. M

    Zijue sababu 10 za wanawake walioolewa kuchepuka

    Ukweli ni kwamba wanawake wengi walioolewa huchepuka, na tafiti zinaonyesha 97 % ya wanawake waliopo kwenye mahusiano wamewahi kuchepuka. Sasa Leo nakuletea sababu za wake za watu kuchepuka 1: Kazi Wanawake wengi huingia katika tamaa ni kutokana utengano uliopo kati ya mume na mke...
  16. Carlos The Jackal

    Wasifieni Wanawake zenu...

    Chini ya Jua hamna mwanamke Anayejiamin iwe katika Uzuri wake wa sura na umbo, Upishi, Mavazi, ufanyi kazi wake uko kazin, majukum ya nyumban n.k .. Kwa haraka Ukimchukulia mwanamke kama kiumbe anayebeba Nyumba nzima, ni wazi kua nayeye hana hakika kama kila jambo kalifanya 100% inavyotakiwa...
  17. Miss Zomboko

    GE2020 Idadi ya Wagombea Wanawake katika nafasi ya Urais, Ubunge na Udiwani

    UCHAGUZI 2020: WAGOMBEA WANAWAKE KATIKA NAFASI YA URAIS, UDIWANI NA UBUNGE Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Kaijage amesema Wagombea wanawake katika kiti cha Rais ni 2 kati ya 15 sawa na asilimia 13 na kwa Makamu wa Rais wanawake ni 5 kati ya 15 sawa na asilimia 33. Amesema kwa...
  18. Mag3

    GE2020 BAWACHA Kawe wako tayari kulinda heshima ya Jimbo lao

    Wanawake wa Kawe wameapa kulinda heshima ya Kawe kwa kutoruhusu hilo jimbo kuangukia mikononi mwa tapeli wa kimataifa aliyejivika ngozi ya udini. Wamemhakikishia Mwenyekiti wao wa Taifa, Mhe. Halima Mdee, kuwa kura zote za wakazi wa Kawe ni zake.
  19. Idd Ninga

    Tuungane kwa pamoja kupinga ukatili wa kimtandao dhidi ya wanawake

    Udalilishaji na ukatili wa kijinsia dhidi ya mwanamke umekua ukichukua nafasi katika jamii ya watumiaji wengi wa mtandao nchini Tanzania huku idadi ya wanawake na mabinti wakizidi kunyanyaswa kupitia mitandao ya kijamii. Picha na video za udhalilishaji wa mwanamke zimekua zikisambazwa na baadhi...
  20. James Martin

    Hivi kweli wanawake wa bara hawajui mapenzi?

    Nimesikia mara kazaa kuwa wanawake wa bara wako nyuma kwenye mambo ya mapenzi. Binafsi nafikiri hili ni swali gumu kulijibu ingawa linaweza kuwa na ukweli ndani yake. Karibu ujana wangu mwingi nilikulia jijini Dar es salaam. Nikiwa jijini Dar nilipata fursa ya "kuwajua" wanawake mbalimbali...
Back
Top Bottom