wanawake

Maendeleo Ya Wanawake Organisation (MYWO) is a women's NGO that deals with issues to do with women's rights and gender equity in Kenya. It was founded by Jemimah Gecaga in 1952 and has approximately 600,000 groups contributing to a total membership of about two million women. It is currently chaired by Rukia Subow and has various agendas in its mission statement, including maternal, child health and family planning and training women in leadership and development.Historically it was promoted by the British during their colonial rule over Kenya and helped provide services only for those against the Mau Mau anti-colonial uprising.Ruth Habwe served as secretary general of the organization from 1968 until 1971.

View More On Wikipedia.org
  1. E

    Kuwapa wanawake pesa ni kuwaendekeza ili wasifanye kazi

    Habari za leo wakuu. Wakuu hivi mmegundua kwamba taifa linaangamia na kupotea nguvu kazi ya kike inapotea kabisa wakuu. Hawataki kufanya kazi, wanasubili watongozwe ili waanze kuomba pesa za kujimudu kimaisha. Wao wanachowaza ni kuvaa mawigi, kukuza mahips, wakati huo huo hivyo vitu ni...
  2. R

    Wanaume ambao hamjawahi kupendwa mnapata tabu sana kuwajua wanawake matapeli

    Dah! Poleni sana kwa kweli nimesoma thread nyingi humu nakuta wanaume wanalalamika juu ya kudhulumiwa pesa zao na wanawake na mzigo hawajapewa Kuna mwingine nae pia kaanzisha uzi eti demu akisema amekumiss basi ww inabid umtumie pesa nikacheka sana ninajua kinachowasumbua hawa wanaume wa...
  3. Rodriquz

    Baadhi ya wanawake hawapo serious kabisa kwenye mahusiano

    Unamtongoza bi\dada anakukubalia siku hiyo hiyo lakini sasa kukupenda itakubidi ufanye kazi kubwa sana. Utasikia mimi nimeumizwa simwamini mwanaume, ngoja kwanza nikuchunguze halafu ndo nitakuonyesha mapenzi yangu. UNICHUNGUZEE? WE NI TAKUKURU? Kibaya zaidi mnakuwa mnapanga appoitiment anakuwa...
  4. Mr mgeni

    Dah! Nilivyomuacha tu kaolewa na tajiri

    Nilidhani atateseka ili awe na adabu cha ajabu kaolewa na jamaa tajiri mpaka roho inaniuma. Poa bwana ila freshi tu yote maisha.
  5. Q

    Hongera BAWACHA kwa kuhamasisha wanawake wengi kugombea majimboni, UWT wajifunze kwenu

    Baraza la Wanawake CHADEMA chini ya Mwenyekiti wake Halima Mdee sauti ya zege, limeweza kuhamasisha wanawake vijana wengi kugombea majimboni. Taarifa zinasema zaidi ya wanawake 60 wameteuliwa kugombea kwenye majimbo huku CCM ikiweka wanawake 12 tu majority wanangojea viti maalumu, Hongera Ummy...
  6. J

    Wanawake Bunda walalamika kufichiwa kadi za kupigia kura na waume zao, DC asema waachwe wachague mgombea wanayemtaka!

    Wanawake wa wilaya ya Bunda wamelalamikia mfumo dume ambapo wanaume huficha kadi za kupigia kura za wanawake. Wakizungumza katika semina iliyoandaliwa na taasisi isiyo ya kiserikali ya Kivulini akina mama wamesema wanaume wanawadhulumu haki yao ya msingi ya kuchagua na kuchaguliwa kwenye...
  7. Andie

    Wanawake ambao hawajaolewa wanakosea hapa

    Salaam wana jukwaa, Nijambo zuri kama tukiwa na jamii ya watu wenye furaha na kati ya vitu vinawakosesha furaha wanawake wengi zama hizi ni kutoolewa. Sasa katika "jitihada za kumsaka" mume kuna makosa makubwa wanzetu hawa wanayafanya. Ila kosa kubwa na linalotamalaki sana ni hili, wanawake...
  8. Nyanswe Nsame

    Serikali yatoa mamilioni kwa vijana, wanawake na walemavu bila riba kujikwamua kiuchumi

    Serikali yatoa mamilioni kwa vijana, wanawake na walemavu bila riba kujikwamua kiuchumi SERIKALI wilayani Bunda mkoani Mara imetoa mikopo kwa vikundi vya wajasiliamali kiasi cha zaidi ya Tsh. milioni 600 zinazotokana na fedha za makusanyo ya mapato ya halmashauri na Serikali kuu. Serikali...
  9. Superbug

    Kwanini kuchota maji usiku na wanawake kunaamsha hisia za ngono?

    Jamani leo niko wilaya ya Kilosa nimepanga nyumba nzima ya peke yangu hapa Kilosa mjini mtaa wa Uhindini. Sasa maji yanatoka nje hapa kwangu usiku huu na kuna wanawake wawili wanachota maji kwa zamu mmoja anaenda mmoja anabaki, tena nje ya dirisha langu ndio kuna bomba. Sasa namsikia kabisa...
  10. beth

    UTAFITI: Marais Wanawake waongoza kudhibiti maambukizi ya COVID19 duniani

    Tofauti na matarajio ya wengi, utafiti uliofanywa na Shirika la Centre for Economic Policy Research na Jarida la World Economic Forum umebaini kuwa mataifa yanayoongozwa na wanawake yana kiwango kidogo cha maambukizi na athari zinazotokana na ugonjwa wa homa kali ya mapafu, COVID-19...
  11. Moto wa volcano

    Biashara za wanawake kujiuza zimehamia kwenye Saloon za kiume

    Juzi Kati baada ya kumaliza mizunguko yangu ya kazi nikaona nitafute Barbershop ya kisasa inayoeleweka nifanye usafi wa ngozi. Mjini Kati nikaona Barbershop matata Full Brand ikabidi nizame ndani nikakutana na vinyozi tukala story mbili tatu baada ya hapo akatokea Dada akanikaribisha katika...
  12. katoto kazuri

    Wanawake wengine sijui mkoje?

    Dear Mama wa kambo, Tokea uje kwetu maisha yetu yamekuwa mabaya kwa maana umekuwa unatunyanyasa unatufanyia visa juzi mdogo wangu umempiga na ufagio mpaka akazimia alipozinduka kwa juhudi zetu. Ulimnyima chakula ukamwamrisha asilale kitandani alale chini ya sakafu tena bila huruma . Tunaumri...
  13. Miss Zomboko

    Kejeli na matusi husababisha wanawake wengi wasijitokeze kuwania nafasi za uongozi

    Mgombea Ubunge Jimbo la Tarime Mjini,Esther Matiko wa Chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) ametaja baadhi ya kasumba zinazokwamisha wanawake kujitokeza kugombea nyadhifa za uongozi kuwa ni kejeli na matusi kwa wanawake. Mgombea huyo alibainisha jana wakati akizindua mkutano wa kampeni za...
  14. Joyce joyce

    GE2020 Mama Maria Nyerere: Nimelazimishwa kuja kuongea, niliwaambia nimekuja kuongeza wingi wa watu, Mkutano wa CCM Musoma

    Wakuu mama Nyerere alipoamushwa kuja kuzungumza kwenye mkutano wa Ccm, katoa Kari ya Mwaka, kasema kuwa yeye hana LA kuongea Kwa sababu amelazimishwa kuja kwenye mkutano huu. "Mimi kwa bahati nzuri pamoja na Wanamara wenzangu sisi ni kundi lile tulilokuja tuongeze idadi ya watu, vichwa...
  15. yuda75

    Wanawake na mawazo mgando ya kuhudumiwa

    Habarini wadau, Jamani dada zetu au wanawake siku hizi wamebadilika sana wengi wao wanawaza kupata mwanamme wa kumtimizia mahitaji yake haswa ya kimaisha. Wao wanawaza kupendeza na kuvaa vizuri kuliko kujishughulisha katika vitu vya maendeleo ndio chanzo cha kuangukia kuwa malaya na kujiuza...
  16. Kurzweil

    Brazil kuanza kulipa sawa kati ya wanasoka Wanaume na Wanawake

    Shirikisho la Mpira wa Miguu la Nchini, Brazil limetangaza sera mpya ya malipo na posho kwa wanasoka Wanawake na Wanaume Sera hiyo itafawanya wanasoka Wanawake na Wanaume wawe wanalipwa kiwango sawa. CBF, imeeleza kuwa Wachezaji wa Timu za Taifa(Wanaume na Wanawake) za Brazil kwa ngazi zote...
  17. M2WAWA2

    Mike Oliver, Mzungu mtalii aliyetembea na wanawake 300 nchini Kenya

    Mike Oliver mzungu toka UK, ni mtalii aliyetembelea nchini Kenya tangu mwaka mmoja uliopita. Mpaka jana 24 August 2020 baharia amethibitisha kutembea na wanawake 300 huko Kenya. Ametoa uthibitisho huo kwa kutoa na kuchapisha picha za hao wanawake wakiwemo wake za watu, wachumba, watu wazima...
  18. Tuttyfruity

    Wanawake tunapitia mengi jamani

    Nimekaa nimetafakari nimegundua wanawake tunapitia mambo mengi ya ajabu sana. Yani unakutana na huyu ana kitambi kama gunia , kibamia, ukienda kwa mwingine ana muhogo wa jang'ombe lakini dakika moja wazungu hao. Unakutana na mwanaume romantic ana six packs lakini sex kwake ni kama anatwanga...
  19. M

    Mtazamo wa Mkulu na wanawake weupe

    Pamoja na kumuunga mkono Mkulu wetu kwa kiasi kikubwa katika maamuzi yake mengi, upenzi wangu haunizuii kuyasemea madhaifu yake kadhaa. Mara kadha Mkulu akimtambulisha msaidizi wake (Makamu) amekuwa akimsifia kwa "weupe na uzuri". Kwangu hilo linanichefua kwani kwa hadhi na nafasi yake akitoa...
  20. Determinantor

    GE2020 Baada ya kuishiwa pumzi, CCM wawaita Wanawake ni Malaya

    Kama kuna mambo yanakera na kuumiza ni kumuita mwanamke Malaya! Ndugu zetu wa CCM baada ya kuzidiwa points wameamua kuhamia kwenye matusi. Huyu ni Mwakilishi wa CCM ngazi ya Wilaya huko Tarime akimuita Esther Matiko kama Malaya, kwakua huyu ni Mwenyekiti wa CCM Wilaya tunaamini anachoongea ndio...
Back
Top Bottom