wanawake

Maendeleo Ya Wanawake Organisation (MYWO) is a women's NGO that deals with issues to do with women's rights and gender equity in Kenya. It was founded by Jemimah Gecaga in 1952 and has approximately 600,000 groups contributing to a total membership of about two million women. It is currently chaired by Rukia Subow and has various agendas in its mission statement, including maternal, child health and family planning and training women in leadership and development.Historically it was promoted by the British during their colonial rule over Kenya and helped provide services only for those against the Mau Mau anti-colonial uprising.Ruth Habwe served as secretary general of the organization from 1968 until 1971.

View More On Wikipedia.org
  1. R

    Hivi wanawake ni wasahaulifu au huwa wanajisahaulisha

    Kuna vitu vingine huwa havimake sense kabisa mara kadhaa hivi unakuta mnaenda sehemu hata sio mbali kutoka kituo mlichoshukia na hamna kona nyingi wala nini Sasa ghafla sijui nyingine unampigia simu mkutane hapo weekend kidume unatangulia unaweka mambo sawa ghafla anafika anakupigia simu...
  2. M

    GE2020 Maoni Yangu: CHADEMA tukubali Wanawake waende Bungeni

    Kwanza kabisa sikubali mchakato wa Uchaguzi wala matokeo! Ule haukuwa Uchaguzi bali uteuzi Pamoja na hayo, nashauri chama changu pendwa CHADEMA tumuache mbunge wetu wa Nkasi, Idah, anendeleena ubunge. Pili Halima Mdee, Bulaya, na wanawake wote wa Viti Maalum waende Bungeni, kwa masilai ya taifa...
  3. Mcheza Karate

    Jinsi ya kumwita jini na kumuamrisha unavyotaka awe rafiki, mpenzi au msaidizi

    Naam, nimekuja tena kupamba jukwaa kwa aina ya pekee kabisa. Nadhani mmewahi kusikia juu ya hawa viumbe wanaoitwa MAJINI. Mmesikia stori mbalimbali kuwahusu lakini leo sio stori tena na vitendo. Hawa ni viumbe wanaoishi ktk ulimwengu wao wa majini. Kuna geti/lango kubwa sana linalotenganisha...
  4. M

    Zijue sababu 10 za wanawake walioolewa kuchepuka

    Ukweli ni kwamba wanawake wengi walioolewa huchepuka, na tafiti zinaonyesha 97 % ya wanawake waliopo kwenye mahusiano wamewahi kuchepuka. Sasa Leo nakuletea sababu za wake za watu kuchepuka 1: Kazi Wanawake wengi huingia katika tamaa ni kutokana utengano uliopo kati ya mume na mke...
  5. Carlos The Jackal

    Wasifieni Wanawake zenu...

    Chini ya Jua hamna mwanamke Anayejiamin iwe katika Uzuri wake wa sura na umbo, Upishi, Mavazi, ufanyi kazi wake uko kazin, majukum ya nyumban n.k .. Kwa haraka Ukimchukulia mwanamke kama kiumbe anayebeba Nyumba nzima, ni wazi kua nayeye hana hakika kama kila jambo kalifanya 100% inavyotakiwa...
  6. Miss Zomboko

    GE2020 Idadi ya Wagombea Wanawake katika nafasi ya Urais, Ubunge na Udiwani

    UCHAGUZI 2020: WAGOMBEA WANAWAKE KATIKA NAFASI YA URAIS, UDIWANI NA UBUNGE Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji Kaijage amesema Wagombea wanawake katika kiti cha Rais ni 2 kati ya 15 sawa na asilimia 13 na kwa Makamu wa Rais wanawake ni 5 kati ya 15 sawa na asilimia 33. Amesema kwa...
  7. Mag3

    GE2020 BAWACHA Kawe wako tayari kulinda heshima ya Jimbo lao

    Wanawake wa Kawe wameapa kulinda heshima ya Kawe kwa kutoruhusu hilo jimbo kuangukia mikononi mwa tapeli wa kimataifa aliyejivika ngozi ya udini. Wamemhakikishia Mwenyekiti wao wa Taifa, Mhe. Halima Mdee, kuwa kura zote za wakazi wa Kawe ni zake.
  8. Idd Ninga

    Tuungane kwa pamoja kupinga ukatili wa kimtandao dhidi ya wanawake

    Udalilishaji na ukatili wa kijinsia dhidi ya mwanamke umekua ukichukua nafasi katika jamii ya watumiaji wengi wa mtandao nchini Tanzania huku idadi ya wanawake na mabinti wakizidi kunyanyaswa kupitia mitandao ya kijamii. Picha na video za udhalilishaji wa mwanamke zimekua zikisambazwa na baadhi...
  9. James Martin

    Hivi kweli wanawake wa bara hawajui mapenzi?

    Nimesikia mara kazaa kuwa wanawake wa bara wako nyuma kwenye mambo ya mapenzi. Binafsi nafikiri hili ni swali gumu kulijibu ingawa linaweza kuwa na ukweli ndani yake. Karibu ujana wangu mwingi nilikulia jijini Dar es salaam. Nikiwa jijini Dar nilipata fursa ya "kuwajua" wanawake mbalimbali...
  10. William Mshumbusi

    Naomba tumsaidie Joyce Kiria wa wanawake live. Anabomoa msingi wa taifa Bora

    Nasoma posti zake kupitia wanawake live fb. Anaposti kila uchwao story za wanawake wanasemekana kuteswa katika ndoa zao na kuamua kuachika kabisa. Pamoja na kubainisha malengo yake ni kupigania haki za wanawake, kuwainua kiuchumi nakuwatetea Ila anachofanya Sasa kinaonekana wazi NI kujenga...
  11. Chizi Maarifa

    Asilimia kubwa ya Wanawake huanza enjoy Mapenzi kuanzia kwa Mwanaume wa Tatu na kuendelea

    Utafiti huu nmeufanya kwa wanawake zaidi ya 100 wengi wanakiri hawakuwa waki enjoy mapenzi na their first boyfriends. Mpaka kuanzia wa tatu na kuendelea au wa pili. Kisaikolojia image ya tendo la siku ya kwanza hubaki kichwani na kuonesha hali ya maumivu kila wanapoingilia kimwil hujenga picha...
  12. Ligogoma

    Wanawake pia wana ndoto zao kimapenzi

    Wiki iliyopita nilishinda mkoa wa Manyara, katika shughuli ambayo ilitukutanisha watu si chini ya 50 kutoka sehemu mbalimbali Tanzania. Kama kawaida, couples zikajiunda ndani ya masaa kadhaa!! Sisi wazee tukabaki watazamaji tu. Kuna binti hakutaka kujiunga katika mkumbo wa wenzie!! Binti...
  13. Faith Luvanga

    GE2020 Twalib Kadege: Suala la unyanyasaji kwa Wanawake, adhabu ni Jela Miaka 25

    Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha UPDP amesema kuwa Serikali yake itaandaa Muswada punde baada ya kuingia Bungeni kwa ajili ya unyanyasaji na udhalilishaji wa Wanawake ambapo Mahakama itatoa adhabu ya miaka 25 jela ili kutoa funzo kwa wengine. "Tumejipanga...
  14. Faith Luvanga

    GE2020 Twalib Kadege: Nitaanzisha Wizara ya Mikopo itakayokopesha fedha kwa Wanawake na Vijana

    Akizungumza katika Mahojiano Maalum na JamiiForums, Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha UPDP, Twalib Kadege amesema iwapo Watanzania watampa ridhaa ya kuongoza, Serikali yake itahakikisha Watanzania wote wanakuwa na hali nzuri kimaisha. Ataanzisha Wizara ya Mikopo...
  15. Chizi Maarifa

    Siku ya Kwanza kabisa baada ya kuapishwa kuwa Rais naanza kushughulikia Masuala haya ya Wanawake

    Nikiapishwa tu siku hiyo haraka narudi Ikulu naagiza wamlete Sanchoka aje kwa week moja tujadiline naye changamoto mbalimbali zinazohusu wanawake hasa vijana wa Tanzania. Nataka nipate week moja nzima tunajadili kwa kina na kupeana semina elekezi. Ni mmoja ya wanawake wenye maumbo mazuri sana...
  16. Extrovert

    Wanawake this is the harsh reality

    Alot has been said multiple times ila imekuwa ni malumbano yasio na mwisho tu. Nimewaletea clip hii japo iwe funzo na muweze kuelewa kuwa nini hasa tunahitaji katika ndoa ili kujenga familia yenye amani na furaha. Ni life experience ya ndoa na funzo toka kwa mwanamke ambaye aliolewa akaachika...
  17. Matope

    Joyce Kiria, acha kulaumu wanaume muda wote. Anza sasa kufuatilia matatizo ya wanawake kwenye ndoa zao

    Habari, Nimekuwa nafatilia mada za huyu dada muda wote amekuwa mtu wa kulaumu wanawake kupigwa na waume zao je amewahi jiuliza changamoto ni nini Mpk wapate vipigo? Wakati flani wanawake wanakera na kuudhi sanaaa wapo wanaowanyanyasa sana waume zao walalamike wapi? Wanaume wasioweza kusema...
  18. D

    Huku Zanzibar kuna mambo ya ajabu sana

    Mgeni akifika Zanzibar, watu wa huku ukiwatizama wanazuga kama hawana tyme nae! Lakini lazima huwa wanamfuatilia nyuma nyuma kuona anaelekea wapi na ni mgeni wa nani! Wakishajiridhisha mahala ulipofikia wakikuona tena!! Utawasikia " Huyu si aishi pale kwa Ariiiiii!!" (Yaani mgeni wa Ally)...
  19. Research Solutions TZ

    Ndoa na Mirathi inawaumiza Wanawake

    Ipo hivi watu wakifunga ndoa hutangazwa kuwa ni Mwili mmoja, au kitu kimoja, kwa maana maamuzi sasa yanataka concer ya wote wawili. Lakini mwanamke akifa kwenye ndoa, na mwanaume akiwa hai, hakutakuwa na ugomvi wa mali, kwa kuwa mali hazitakuwa na mpango wa kuganywa. Lakini akifa mwanaume basi...
  20. R

    Wanawake bwana! Usipojibu SMS zao utasikia yule kaka ana dharau ila za kwetu wasipojibu wanaona poa tu

    Ni Jumamosi nyingine wadai nimekutana na hili balaa wanawake viumbe wa ajabu sana Nimekutana na hili balaa wandugu nikaona bora nishare na nyiny ipo hv kuna wanawake kadhaa tumepata kufahamiana lkn nimegundua jambo moja wanawake ni viumbe wanaopenda wananekana watu wa matawi fulan sasa...
Back
Top Bottom