Stanboy
JF-Expert Member
- Jul 4, 2013
- 1,115
- 1,300
Hello,
Nawasalimu kwa jina la MMU,
Ukiwa handsome kila mwanamke atakutaka,uwe na hela usiwe nazo poa...si wadada si wake za watu..si mtaani si kazini...utafuatwa hadi na mashoga..huko fb na insta utapata tabu..kaka nakufananisha..kaka mambo?naomba namba yako kuna kitu nataka unishauri😀
KIBAYA ZAIDI WANAWAKE HAWAPENDI KUKATALIWA huo ugomvi siyo wa nchi hii ni kama wapalestina na Israel...
Hivi kwanini wanawake hamtaki kukataliwa?mbona nyie mnawakataa wanaume?
Nawasilisha
Nawasalimu kwa jina la MMU,
Ukiwa handsome kila mwanamke atakutaka,uwe na hela usiwe nazo poa...si wadada si wake za watu..si mtaani si kazini...utafuatwa hadi na mashoga..huko fb na insta utapata tabu..kaka nakufananisha..kaka mambo?naomba namba yako kuna kitu nataka unishauri😀
KIBAYA ZAIDI WANAWAKE HAWAPENDI KUKATALIWA huo ugomvi siyo wa nchi hii ni kama wapalestina na Israel...
Hivi kwanini wanawake hamtaki kukataliwa?mbona nyie mnawakataa wanaume?
Nawasilisha