MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Kuna Dada Mmoja wa Mtaani Yeye alibahatika sana kupata Watoto wa Jinsia ya Kiume tena Wawili kabisa.
Huyu Dada baadae akawa anatamani mno kupata Mtoto wa Kike na akawa anahangaika kwenda Kanisani Kuliombea hilo na kuna muda hadi kwa Waganga alishaenda vile vile.
Kilichotokea ni kweli alibeba hiyo Mimba kama alivyotaka na kama kawaida Mungu huwa hapangiwi akajifungua tena Mtoto wa Kiume.
Mtoto huyo ameshakuwa na sasa anachotushangaza Watu ( Majirani ) wote ni kwamba Mtoto ana mambo ya Kike Kike tupu, anaongea kama Msichana na mpaka Michezo yake nayo ni ya Kike Kike tupu tu na anapenda sana Kuchagamana na Watoto wa Kike au na Wanawake.
Watu wengi wanasema kuwa huenda Mtoto huyu wa Kiume ( japo ana tabia zote za Kike ) amekuwa hivi baada ya Mwenyezi Mungu kuchukizwa na tabia za huyu Mama Kumpangia huku akienda pia kwa Waganga hivyo kamfanya hivi huyu Mwanae ili akome na liwe Fundisho kwa Wanawake wengine.
Na Generalist kila nikimuona huyu Mtoto naona kabisa anaenda kuwa Shoga ( Bwabwa ) tena mapema hivyo natamani hata nimwambie Baba yake Mzazi ili aanze Kumnyoosha ila naogopa asije labda Kunihisi vibaya na hivi nimekulia sana Pwani ndiyo itakuwa balaa kabisa.
Huyu Dada baadae akawa anatamani mno kupata Mtoto wa Kike na akawa anahangaika kwenda Kanisani Kuliombea hilo na kuna muda hadi kwa Waganga alishaenda vile vile.
Kilichotokea ni kweli alibeba hiyo Mimba kama alivyotaka na kama kawaida Mungu huwa hapangiwi akajifungua tena Mtoto wa Kiume.
Mtoto huyo ameshakuwa na sasa anachotushangaza Watu ( Majirani ) wote ni kwamba Mtoto ana mambo ya Kike Kike tupu, anaongea kama Msichana na mpaka Michezo yake nayo ni ya Kike Kike tupu tu na anapenda sana Kuchagamana na Watoto wa Kike au na Wanawake.
Watu wengi wanasema kuwa huenda Mtoto huyu wa Kiume ( japo ana tabia zote za Kike ) amekuwa hivi baada ya Mwenyezi Mungu kuchukizwa na tabia za huyu Mama Kumpangia huku akienda pia kwa Waganga hivyo kamfanya hivi huyu Mwanae ili akome na liwe Fundisho kwa Wanawake wengine.
Na Generalist kila nikimuona huyu Mtoto naona kabisa anaenda kuwa Shoga ( Bwabwa ) tena mapema hivyo natamani hata nimwambie Baba yake Mzazi ili aanze Kumnyoosha ila naogopa asije labda Kunihisi vibaya na hivi nimekulia sana Pwani ndiyo itakuwa balaa kabisa.