Mwanakulipata
JF-Expert Member
- Jul 17, 2018
- 713
- 1,181
Unajua bhana sio kila mwanaume anapenda kuchezea hisia za mwanamke kuna sisi wengine tumembwa na roho ya huruma, kuliko kuchezea hisia za mtu ni heri umwambie ukweli tu kama haupendi ili kuepusha kupotezeana muda.
Hili ni kosa kwa mwanamke ukimwambia kama humtaki/humpendi atakuchukia milele. Sasa sijui hawa ndugu zetu wanapenda kuchezewa.
Sijui shida nini muwage waelewa tunawaepusha na mabalaa huko mbeleni.
Hili ni kosa kwa mwanamke ukimwambia kama humtaki/humpendi atakuchukia milele. Sasa sijui hawa ndugu zetu wanapenda kuchezewa.
Sijui shida nini muwage waelewa tunawaepusha na mabalaa huko mbeleni.