Habari wadau,
Nimepokea kwa masikiriko taarifa za diwani wa chadema pale Hai kuachiwa huru baada ya kubambikiwa kesi amebaka na amempa mimba msichana sasa toto limezaliwa DNA sio zake jamaa kashinda kesi kilaini kabisa; sasa najiuliza upande wa pili wa shiling kwanini wanawake watumike kisiasa namba hii.
Mimi ushauri wangu huyo msichana na genge lake lilioshiriki kuyengeneza io kesi washatakiwe na walipe fidia ili ipunguze haya matukio
Wanaume haki zetu zinabinywa tuamke shwain.
Nimepokea kwa masikiriko taarifa za diwani wa chadema pale Hai kuachiwa huru baada ya kubambikiwa kesi amebaka na amempa mimba msichana sasa toto limezaliwa DNA sio zake jamaa kashinda kesi kilaini kabisa; sasa najiuliza upande wa pili wa shiling kwanini wanawake watumike kisiasa namba hii.
Mimi ushauri wangu huyo msichana na genge lake lilioshiriki kuyengeneza io kesi washatakiwe na walipe fidia ili ipunguze haya matukio
Wanaume haki zetu zinabinywa tuamke shwain.