Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Wananwake wengi wa kibongo wanaamini sana ndumba ili kuimalisha mapenzi yao. Na wanapopata ndumba kali huwafanya mabwana zao kuwa mabwege na hapo huanza kuchepuka nje, kuwa dharau na kujiona wao ni kila kitu. Matokeo yake baada ya ndumba kuishiwa nguvu huwa wanamwagwa kama vile lori linamwaga mchanga na kutimuliwa kama wezi.
Hii ni kweli au sio kweli?
Hii ni kweli au sio kweli?