wadau

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. T

    JamiiForums Tanzania Baada ya wadau kuilalamikia CWT kuiba fulana za TLP, sasa waja na muundo mwingine

    Hii ni tshet mpya inayotolewa na Chama cha Walimu Tanzania (CWT) baada ya ile ya awali kupingwa na wanachama na wadau mbalimbali. Tshet ya hapo mwanzo ilikuwa ni hii hapa
  2. U

    JamiiForums Tanzania Wadau huu ni ugonjwa gani wa Kuku na unatibiwaje?

    Wadau vifaranga wangu wanaumwa midomo na macho! Inaanza kwa kutokea manundu manundu hadi yanaziba macho kama muonavyo! Naomba kujuzwa huo ni ugonjwa gani? Dawa za kuutibu ni zipi!
  3. M

    JamiiForums Tanzania Wadau huko kwenu hali ya mafuta ya kupikia ikoje?

    Heshima kwenu wakuu sana! Niliwahi sikia kuna meli zilizo na shehena ya mafuta ya kupikia zimeingia na siku si nyingi bei ya mafuta ya kupikia itashuka kwa maana ya kurudi kama ilivyokuwa mwanzo. Baada ya kusubiri kwa miezi karibia miwili leo nimeenda kununua mafuta na cha ajabu bei imepanda...
  4. BlackPanther

    JamiiForums Tanzania Samahani wadau wenzangu kwa kuteleza, haikuwa makusudi

    Wadau wenzangu PNC The Icebreaker Joseverest King_Ngwaba makaveli10 kilambimkwidu Chukwu emeka BAK Anigrain The Boss Saint Ivuga dingimtoto Kanungila Karim Van De Beek FORTALEZA tony92 Chaliifrancisco adriz Prince Kunta OKW BOBAN SUNZU DENLSON Waterloo Isanga family n.k Wakuu na wadau wenzangu...
  5. MPUNGA MMOJA

    JamiiForums Tanzania Kwenye hili la pembejeo za kilimo, Rais kaongopewa na ni hatari kwa taifa

    Leo wakati Mhe. Rais Samia Suluhu wakati anaawaapisha Makatibu/Manaibu na viongozi wa Utumishi alihutubia na kuzungumzia changamoto za baadhi ya Wizara alizungumzia kwa ufupi sana Changamoto za KILIMO. Amesema kuna changamoto ya Nzige kwa majirani hili si TATIZO la MKULIMA wa Tanzania. Amesema...
  6. C

    JamiiForums Tanzania Maisha yanachanganya sana wadau kila kitu kinapanda bei

    Wadau saivi Ges imepanda bei Vifurush vya simu vimepanda bei Kodi ya ardhi majengo zimepanda bei Vifaa vya ujenzi havishikiki tena Mafuta ya kula yamepanda bei Ngoja na mimi nianze kujishughulisha na CCM naweza pata neema...! Hakuna namna😁
  7. M

    JamiiForums Tanzania Utambulisho kwa wadau

    Habari zenu wananzengo, mimini mgeni hapa kijijini JF. Naomba kupokelewa nanyi wakuu. Napenda mijadala ya Siasa, mambo ya kidini pamoja na michezo. Mimi ni shabiki wa Chelsea fc. Naomba kuwasilisha.
  8. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Bodi ya Nyama Tanzania yapiga marufuku uuzaji wa nyama za mafungu

    Bodi ya Nyama Tanzania imepiga marufuku uuzaji wa nyama kwa mafungu katika maeneo ya nje ya machinjio ya vingunguti kwani inahatarisha afya ya mlaji. . Hayo yamesemwa na Kaimu Msajili wa bodi ya Nyama Tanzania Bw. Imani Sichalwe alipofanya ziara katika maeneo ya nje ya machinjio ya vingunguti na...
  9. TheDreamer Thebeliever

    JamiiForums Tanzania Mna maoni gani kuhusu hili suala la uvamizi wa Al-Shababu hapa Palma?

    Habari wadau! Kutokana na vyanzo mbalimbali vya vyombo vya habari inasemekana kikundi cha watu wajulikanao kama Al-shababu wamevamia mji wa Palma. Lakini kuna nadharia mbalimbali zimeenea mitaani kwamba watu hao waliovamia Msumbiji au jamhuri ya watu wa Mozambique sio Al-shabab bali ni siasa...
  10. W

    JamiiForums Tanzania Msaada wa App nzuri ya muziki

    Wadau msaada nitajieni app nzuri ya music ambayo ukiidownload inaplay music ya audio vizuri na hata video music sometimes inaichange kusikika kwny audio automatically nilikuwanayo niliifuta kimakosa jina nilikuwa silijui
  11. C

    JamiiForums Tanzania Kwenye hili mnasemaje wadau?

    Habari wadau, ndugu jamaa na marafiki. Naomba kuwasilisha changamoto hii mnaniambiaje katika hili. Leo nilienda kijiji fulani nje ya mkoa wa Kanda ya Kati kulikua na shughuli ya ujazaji form za hati za viwanja. Nilinunua shamba miaka kadhaa iliopita sasa mwaka jana wakaja Jiji kusaminisha na...
  12. Grand Master Dulla

    JamiiForums Tanzania Anayeijua kwa ufasaha historia ya Sayyid Othman Bin Muhammad Nur

    Jamani samahanini wadau naomba kuuliza kwa wale wakali wa QADIRIYA kuna yeyote anayeijua kwa ufasaha historia ya SAYYID OTHMAN BIN MUHAMMAD NUR wa Tunduni Mchangani Zanzibar? Kama yupo tafadhali naomba atujuze maana nimeitafuta kila sehemu lakini sijaipata wala hakuna vitabu vinavyomuelezea...
  13. S

    JamiiForums Tanzania Watalaam, nini suluhisho la hili tatizo la uvimbe shingoni na homa?

    Habari zenu wakuu, Kuna jamaa mmoja analalamika ana uvimbe shingoni na homa. Alifanyiwa ultrasound ya shingo mwaka jana mwezi wa saba akaambiwa kitalaamu ana multiple cervicle limphnodes enlarged inayotokana na TB, akaanzishiwa dozi ya TB ambayo alimaliza mapema januari mwaka huu, lakini uvimbe...
  14. N

    JamiiForums Tanzania Tuliambiwa Mzee Yusuph anarudi kwa kasi ya ajabu, sijafanikiwa kusikia chochote hadi sasa

    Tuliambiwa kuwa anarudi kwa kasi ya ajabu kuja kuifufua taarabu iliyoonekana kupotea. Safari hii akitumia Safina na si Jahazi tena! sijafanikiwa kusikia chochote mpaka muda huu. Nimeona muda unaniacha au sipo sambamba na ya dunia ndo maana nimekuja kuuliza humu huweza nikasikia lolote. Sipendi...
  15. Research Solutions TZ

    JamiiForums Tanzania Kisichoeleweka kwa wadau kuhusu mbunge wa Morogoro Mjini, Abdulaziz Abood

    Jana Magufuli amemponda sana Mbunge Aziz Abood kwa kuua viwanda lakini kuna kauli haijaeleweka na wadau wa Morogoro wamekuwa kimya kuhusu baadhi ya kauli. Ninalazimika kuandika kuhusu kauli hizo na sababu ya CCM kumsimamisha kama mbunge huku wakijua ameua viwanda Abood amesimamishwa kwa mara...
  16. C

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada mwenye hii case ya Tanganyika Garage v. Marcel G. Mafuruki (1975) LRT 23 anisaidie facts na judgment yake

    Wadau naomba msaada mwenye hii case ya Tanganyikaganyika Garage v. Marcel G. Mafuruki (1975) LRT 23 anisaidie facts na judgment yake.
  17. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Aka kambwa toka nikanunue hakabweki kabisa! sijui Tatizo litakua nini wadau

    Aka kambwa toka nikanunue hakabweki kabisa! sijui Tatizo litakua nini wadau
  18. Tanzania Railways Corp

    JamiiForums Tanzania Tangazo: Kongamano la wadau kujadili fursa katika mradi wa SGR

    Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Shirika la Reli Tanzania (TRC) kwa Kushirikiana na Taasisi ya Sekta Binafsi (TPSF) inapenda kuwaalika wafanyabiashara, watoa huduma, wakandarasi, wasafirishaji wa mizigo na wadau wote katika Kongamano la wadau utakaofanyika jijini Mwanza katika...
  19. Leak

    JamiiForums Tanzania Baba Levo: Natamani nife wa kwanza kabla ya Diamond, akitaka lolote ntamfanyia. Wadau wamfananisha Baba Levo na Gigy Money

    Wasalaam Wana jamvi. Msanii Baba Levo ameweka wazi kuwa anatamani Mungu amchukue hata leo ili watoto wake walelewe na Diamond. Baba Levo amesema hayo akieleza hisia zake baada ya Diamond kumlipia ada za watoto wake wawili wanao soma TUSIME SEC. Baba Levo anasema anatamani Mungu amchukue hata...
  20. ommytk

    JamiiForums Tanzania Wenye connection biashara ya dhahabu wadau

    Wadau Jf habari za mihangaiko wakuu mimi nipo Dar kwa sasa ila natembelea sana Geita nimekuwa interested sana na biashara ya dhahabu sasa natamani sana kupata connection ya hizi biashara.
Back
Top Bottom