Akielekea kuachia album yake mpya msanii wa kitambo Ali Saleh Gentamilan au Ali Kiba, amemdiss Mfalme wa Afro Pop duniani Diamond Platnumz.
Lakini wadau wameusisha diss yake na promotion ya album yake mpya.
Hata Mimi GENTAMYCINE na Uzee wangu huu wote wa sasa sifungwi Magoli ya Kizembe kama yale aliyofungwa leo Kipa wa JKT Tanzania.
Na kilichonishangaza zaidi ni kwamba pamoja na Kipa huyo wa JKT Tanzania Kufungwa leo Magoli yale Mawili na Yanga SC ukimuangalia Usoni wala haonyeshi ama Kusikitika...
Idara ya Mambo ya Ndani nchini Afrika Kusini imependekeza sheria mpya ambayo itawaruhusu Mwanamke kuolewa na mume zaidi ya mmoja (polyandry) kama ilivyo kwamba wanaume nao wanaruhusiwa kuoa zaidi ya mke mmoja.
===============
Polyandry is defined as a form of polygamy in which a woman has more...
Kama kuna Watu ambao ama hakika wamenifurahisha ni TFF kupitia Bodi ya Ligi hasa kwa Kumpanga Mwamuzi (Referee) Mwandembwa (Mwanangu kabisa) kutoka Arusha awe 'Pilato' wa Simba na Yanga Jumamosi tarehe 8 May, 2021.
Tafadhali naomba kila mwana Simba SC afanye upesi akakate Tiketi yake mapema...
Lengo langu ni kuhamasisha michezo nchini Tanzania na baada ya muda mfupi tutafika East and Central Africa , wadhamini wa ndani na nje ya nchi wamepatikana na mazungumzo yamefika pazuri .
Nakaribisha maoni ya namna nzuri ya kuendesha michuano hii ili kukidhi vigezo vya FIFA .
Karibuni
Hii ni tshet mpya inayotolewa na Chama cha Walimu Tanzania (CWT) baada ya ile ya awali kupingwa na wanachama na wadau mbalimbali.
Tshet ya hapo mwanzo ilikuwa ni hii hapa
Wadau vifaranga wangu wanaumwa midomo na macho! Inaanza kwa kutokea manundu manundu hadi yanaziba macho kama muonavyo! Naomba kujuzwa huo ni ugonjwa gani? Dawa za kuutibu ni zipi!
Heshima kwenu wakuu sana!
Niliwahi sikia kuna meli zilizo na shehena ya mafuta ya kupikia zimeingia na siku si nyingi bei ya mafuta ya kupikia itashuka kwa maana ya kurudi kama ilivyokuwa mwanzo. Baada ya kusubiri kwa miezi karibia miwili leo nimeenda kununua mafuta na cha ajabu bei imepanda...
Wadau wenzangu
PNC
The Icebreaker
Joseverest
King_Ngwaba
makaveli10
kilambimkwidu
Chukwu emeka
BAK
Anigrain
The Boss
Saint Ivuga
dingimtoto
Kanungila Karim
Van De Beek
FORTALEZA
tony92
Chaliifrancisco
adriz
Prince Kunta
OKW BOBAN SUNZU
DENLSON
Waterloo
Isanga family n.k
Wakuu na wadau wenzangu...
Leo wakati Mhe. Rais Samia Suluhu wakati anaawaapisha Makatibu/Manaibu na viongozi wa Utumishi alihutubia na kuzungumzia changamoto za baadhi ya Wizara alizungumzia kwa ufupi sana Changamoto za KILIMO.
Amesema kuna changamoto ya Nzige kwa majirani hili si TATIZO la MKULIMA wa Tanzania.
Amesema...
Wadau saivi
Ges imepanda bei
Vifurush vya simu vimepanda bei
Kodi ya ardhi majengo zimepanda bei
Vifaa vya ujenzi havishikiki tena
Mafuta ya kula yamepanda bei
Ngoja na mimi nianze kujishughulisha na CCM naweza pata neema...! Hakuna namna😁
Habari zenu wananzengo, mimini mgeni hapa kijijini JF. Naomba kupokelewa nanyi wakuu. Napenda mijadala ya Siasa, mambo ya kidini pamoja na michezo. Mimi ni shabiki wa Chelsea fc.
Naomba kuwasilisha.
Bodi ya Nyama Tanzania imepiga marufuku uuzaji wa nyama kwa mafungu katika maeneo ya nje ya machinjio ya vingunguti kwani inahatarisha afya ya mlaji.
.
Hayo yamesemwa na Kaimu Msajili wa bodi ya Nyama Tanzania Bw. Imani Sichalwe alipofanya ziara katika maeneo ya nje ya machinjio ya vingunguti na...
Habari wadau!
Kutokana na vyanzo mbalimbali vya vyombo vya habari inasemekana kikundi cha watu wajulikanao kama Al-shababu wamevamia mji wa Palma.
Lakini kuna nadharia mbalimbali zimeenea mitaani kwamba watu hao waliovamia Msumbiji au jamhuri ya watu wa Mozambique sio Al-shabab bali ni siasa...
Wadau msaada nitajieni app nzuri ya music ambayo ukiidownload inaplay music ya audio vizuri na hata video music sometimes inaichange kusikika kwny audio automatically nilikuwanayo niliifuta kimakosa jina nilikuwa silijui
Habari wadau, ndugu jamaa na marafiki. Naomba kuwasilisha changamoto hii mnaniambiaje katika hili.
Leo nilienda kijiji fulani nje ya mkoa wa Kanda ya Kati kulikua na shughuli ya ujazaji form za hati za viwanja.
Nilinunua shamba miaka kadhaa iliopita sasa mwaka jana wakaja Jiji kusaminisha na...
Jamani samahanini wadau naomba kuuliza kwa wale wakali wa QADIRIYA kuna yeyote anayeijua kwa ufasaha historia ya SAYYID OTHMAN BIN MUHAMMAD NUR wa Tunduni Mchangani Zanzibar?
Kama yupo tafadhali naomba atujuze maana nimeitafuta kila sehemu lakini sijaipata wala hakuna vitabu vinavyomuelezea...
Habari zenu wakuu,
Kuna jamaa mmoja analalamika ana uvimbe shingoni na homa. Alifanyiwa ultrasound ya shingo mwaka jana mwezi wa saba akaambiwa kitalaamu ana multiple cervicle limphnodes enlarged inayotokana na TB, akaanzishiwa dozi ya TB ambayo alimaliza mapema januari mwaka huu, lakini uvimbe...
Tuliambiwa kuwa anarudi kwa kasi ya ajabu kuja kuifufua taarabu iliyoonekana kupotea. Safari hii akitumia Safina na si Jahazi tena!
sijafanikiwa kusikia chochote mpaka muda huu.
Nimeona muda unaniacha au sipo sambamba na ya dunia ndo maana nimekuja kuuliza humu huweza nikasikia lolote. Sipendi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.