GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,516
- 108,791
Kama kuna Watu ambao ama hakika wamenifurahisha ni TFF kupitia Bodi ya Ligi hasa kwa Kumpanga Mwamuzi (Referee) Mwandembwa (Mwanangu kabisa) kutoka Arusha awe 'Pilato' wa Simba na Yanga Jumamosi tarehe 8 May, 2021.
Tafadhali naomba kila mwana Simba SC afanye upesi akakate Tiketi yake mapema kwani huenda kuna Watu Siku hiyo 'Wakauana' wao kwa wao pale 'Kwa Mkapa' Jumamosi.
Mwamuzi Mwandembwa baada ya Mechi yako tafadhali pitia Kijiweni Kwetu pale (unapajua) kuna Zawadi zako za Kuku 'Jogoo' na Mbuzi 'mnono' tu ukachinje na ule na Familia yako hasa kuelekea katika Siku Kuu hii Kubwa ijayo ya Eid el Fitr.
Uzuri wa Mwamuzi (Referee) Mimi GENTAMYCINE namjua fika kuwa hana cha sijui Usimba Wala Uyanga na ni Mkweli na mpenda Haki hivyo kwa Uchezeshaji wake ulio makini na kwa jinsi pia Timu yangu ya Simba SC ilivyo makini nauona 'Ushindi' mapema mno tu.
Huyu ndiyo Referee bora sasa Tanzania.
Tafadhali naomba kila mwana Simba SC afanye upesi akakate Tiketi yake mapema kwani huenda kuna Watu Siku hiyo 'Wakauana' wao kwa wao pale 'Kwa Mkapa' Jumamosi.
Mwamuzi Mwandembwa baada ya Mechi yako tafadhali pitia Kijiweni Kwetu pale (unapajua) kuna Zawadi zako za Kuku 'Jogoo' na Mbuzi 'mnono' tu ukachinje na ule na Familia yako hasa kuelekea katika Siku Kuu hii Kubwa ijayo ya Eid el Fitr.
Uzuri wa Mwamuzi (Referee) Mimi GENTAMYCINE namjua fika kuwa hana cha sijui Usimba Wala Uyanga na ni Mkweli na mpenda Haki hivyo kwa Uchezeshaji wake ulio makini na kwa jinsi pia Timu yangu ya Simba SC ilivyo makini nauona 'Ushindi' mapema mno tu.
Huyu ndiyo Referee bora sasa Tanzania.