Wasenge tu nyinyi
Barabara kutoka Garsen hadi Lamu inazinduliwa sasa hivi tunavyozungumza.
Kajenga mvimba macho? Kwa mkopo?
My apology Tony254 naona hukunielewa ...Mshana sikujua kwamba pia wewe una wivu na Kenya. Nilidhania wewe ni mtu mngwana.
Huu mradi hadi kufikia sasa is 100% funded by the government of KenyaMy apology Tony254 naona hukunielewa ...
Kwanza sina hiyo tabia ya wivu kabisa naomba unielewe hivyo lakini kwa uzoefu wangu miradi mikubwa ya Afrika na sehemu kubwa ya dunia inajengwa na wachina na mara nyingi kwa mkopo.. Ndio maana nikauliza hivyo
Okay..hongera kwa serikaliHuu miradi hadi kufikia sasa is 100% funded by the government of Kenya
Hamna tatizo. Huu mradi umejengwa 100% kwa kutumia pesa za ndani. Hakuna mkopo uliotumika.My apology Tony254 naona hukunielewa ...
Kwanza sina hiyo tabia ya wivu kabisa naomba unielewe hivyo lakini kwa uzoefu wangu miradi mikubwa ya Afrika na sehemu kubwa ya dunia inajengwa na wachina na mara nyingi kwa mkopo.. Ndio maana nikauliza hivyo
Hamna tatizo. Huu mradi umejengwa 100% kwa kutumia pesa za ndani. Hakuna mkopo uliotumika.
Mshana Jr asanteOkay..hongera kwa serikali