vitu

Vitus (), according to Christian legend, was a Christian saint from Sicily. He died as a martyr during the persecution of Christians by co-ruling Roman Emperors Diocletian and Maximian in 303. Vitus is counted as one of the Fourteen Holy Helpers of medieval Roman Catholicism.
Saint Vitus' Day is celebrated on 15 June. In places where the Julian Calendar is used, this date coincides, in the 20th and 21st centuries, with 28 June on the Gregorian Calendar.
In the late Middle Ages, people in Germany celebrated the feast of Vitus by dancing before his statue. This dancing became popular and the name "Saint Vitus Dance" was given to the neurological disorder Sydenham's chorea. It also led to Vitus being considered the patron saint of dancers and of entertainers in general.Vitus is considered the patron saint of actors, comedians, dancers, and epileptics, similarly to Genesius of Rome. He is also said to protect against lightning strikes, animal attacks and oversleeping. Vitus is the patron saint of the city of Rijeka in Croatia; the towns of Ciminna & Vita in Sicily, Forio on the Island of Ischia, in Campania, Italy; the contrada of San Vito, in Torella dei Lombardi, in Avellino, Italy; the town of Rapone, Italy; the town of Winschoten and the Gooi region in the Netherlands, the Italian colony of San Vito in Costa Rica, and the town of St. Vith located in Belgium.
Various places in Austria and Bavaria are named Sankt Veit in his honour.

View More On Wikipedia.org
  1. sky soldier

    Hawa wateja wanaoukuja kila mara dukani na kutuhangaisha muda mrefu bila kununua kitu tunadili nao vipi?

    Hawa ni watu ambao yani kila baada ya siku kadhaa wanakuja dukani ila hawanunui chochote zaidi ya kukuhangaisha. - Wanataka bidhaa za juu, utapanda ngazi -Utaenda hadi duka lingine kutafuta bidhaa wanayohitaji -Utapukuta vumbi bidhaa wanayoulizia -Kama ni Tv basi utaitoa kwenye boksi wao...
  2. kilamba lamba

    Ila kuna vitu vinakera sana

    Habarini wana jamvi wa MMU, natumai mu wazima humu. Daaaah, kiukweli kuna vitu vinakeraa sanah Ila ndo hvyo tu . haiwezekan unaamka unamtext MTU mamb umeamkaje anakujibu "P" tena ya herufi kubwa , unamwambia nakupenda yeye anajibu "sawa" tenah ya herufi ndogo . Imenikera sana , sawa dawa take...
  3. kijanamtanashati

    Mtoto wangu amerithi tabia yangu ya utotoni ananipa gharama kulipa vitu vya watu kila siku

    Nakumbuka mimi nilipokuwa na umri 6-13 nilikuwa mkorofi natukana sana watu sichagui mkubwa au mdogo, nilikuwa na matusi hatari na kupenda kurushia watu mawe, pale mtaani wakawa wanamwita mama yangu 'mama mawe'. Hadi watu wazima wakawa waniogopa kwa matusi. Mtu akinichokoza mbona ataisoma namba...
  4. MAMESHO

    Uzi wa vitu feki tulivyonunua. Tunataka wengine wasinunue. Tupia picha

    Habari wanajf. Nimeona nianzishe uzi huu ili kusaidia kuanika vitu feki. Karibu. Hivi karibuni nilinunua kimashine cha kukatia chips. Ni fake na hakifai
  5. Keynez

    Watanzania tuache tamaa tunapokuwa tunauza vitu tulivyotumia

    Kuna hili tatizo nimeliona na kulitafakari kwa muda mrefu. Ni huu mtindo na tabia waliyo nayo Watanzania wengi, pale wanapouza vitu walivyotumia mfano gari, simu, nk. kuuza kwa bei ya juu sana. Kitu ukishakitumia, thamani yake inashuka sana. Wataalamu wanasema hata gari brand new ukiinunua na...
  6. Crocodiletooth

    Vipo vitu huwa vinashangaza sana

    Qubhir Eraisa Baqoli Hiolia Isliac Raiaca Andika haya katika blocks kwa wino mweusi kwenye karatasi nyeupe weka pafyume kwa mbali weka mfukoni ingia kazini mwombe bosi nyongeza ya chochote put it in wallet and let it be there GIFT
  7. yuda75

    Ukiwa na gari, pesa na nyumba nzuri basi umemaliza. Mwanamke gani hapendi hivyo vitu?

    Kwa sasa mwenye kisu kikali ndio mla nyama mana maneno mengi ni sawa na miluzi mingi hupoteza mbwaa. Ni kweli pesa sabuni ya roho ingaawa ugonja wa moyo ni mapenzi. Vijana ongezeni nguvu ya kutafuta pesa kuliko kujichubua na kuvaa vizuri mkijua mtapendwa, mwanamke gani asie penda kukaa pazuri...
  8. Infantry Soldier

    Ipi ni njia sahihi ya kugawa mali/vitu vyako vya zamani kwa ndugu, jamaa au rafiki?

    Habari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa humu jamiiforums. Ndugu zangu watanzania; UTANGULIZI ===== Ndugu zangu, umasikini ni kitu kibaya sana. Umasikini unakatisha uhai wa watu wengi wangali wadogo sana kwa sababu tu wameshindwa kumudu gharama za matibabu. Umasikini ndio chanzo cha...
  9. sky soldier

    Ni vitu gani muhimu ambavyo watu wengi hawataki kuvitumia na hata wakiwa navyo huvipuuza?

    Kwangu mimi 1. Mikanda ya kwenye gari - ajali zikitokea huwa inasaidia sana, Cha ajabu nguvu kunwa inatumika kukumbusha watu kutumia mikanda lakini wao hawana muda na mikanda 2. Condom - watu wameumiza vichwa sana walianza na utumbo wa mnyama mpaka kufikia hizi condom, lakini ajabu watu...
  10. R

    Hakuna kitu naogopa kama kumgharamikia Mwanamke vitu vya gharama

    Habari za Jumapili wana JamiiForums km kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu mimi hakuna kitu naogopa kama kumgharamia mwanamke vitu ghali Kuna mwaka mmoja niliwah kutana na msichana mmoja jina kapunj huyu dada alikuwa bikra kabisa na niliitoa mm sasa siunajua maneno ya mtaan oooh bikra...
  11. Its Pancho

    Je, ni wapi salama kuweka vitu kwenye disc gani kwenye laptop?

    Wakuu binafsi nna disk moja tu local disk c. Na vitu nimeviweka hapo lakini naskia sku window ikizingua ukirepair kila kitu kinaenda je ni wapi salama?nizihamishe? Mwanzo nilikuwa nmeweka kwenye folder la desktop, ila nikaambiwa ni hatari.
  12. A

    Tafadhali nahitaji kufundishwa namna ya ku operate 3d vacuum sublimation machine

    Habari wadau! Tafadhali nahitaji kufundishwa namna ya ku operate 3D VACUUM SUBLIMATION MACHINE pamoja na mambo yote ya msingi yanayotakikana katika ujasiriamali huu! Tafadhali mjuzi wa mambo hizi aliyepo hapa Dar anicheki PM kwa mawasiliano.Asante
  13. Red Giant

    Ukitengeneza Mobile App halafu watu wawe wananunua vitu humo ndani, unatumia njia gani hapa Tanzania?

    Unaweza kuwa umetengeneza Application ya Mjziki, Michoro, Ramani za Nyumba, Vitabu, Video au chochote kile. Ku access hivyo vitu mtu inabidi alipie. Unatumia njia gani watu wafanye malipo kirahisi? Ukizingatia kuwa watanzania pesa zao nyingi zipo kwenye simu (M-Pesa etc).
  14. GENTAMYCINE

    Je, ukichukua Vitu hivi katika Ndege pale ikitua tu unakoenda unakuwa Umeiba au Umechukua kile ambacho Umekilipia katika Nauli?

    Nikipanda Ndege ( japo niweke tu wazi sijawahi Kupanda zaidi ya kuziona tu Angani zikipaa ) halafu nikitua kule niendako iwe ni hapa Afrika Kwetu au Mamtoni ( Ulaya ) kisha nikashuka na ile Mito ya Kuegemea iliyoko katika Siti, nikabeba pia na Headphones, Mataulo, Sabuni, Toilet Paper na...
  15. Myahudi Jr II

    Baada ya kufunguliwa Dashbord kuna vitu havifanyi kazi

    Wandugu habari za Usiku Hii ni Gari mpya Nissan Nilipeleka gari kufanyiwa Interior Design ikiwemo na dashbord Ila imerudi Taa ya Airbag inablink tuu, nimeuliza nikaambiwa kwa kua iliguswa itazima yenyewe, nimebaki nimeduwaa 2. Gari ilikua na system kwamba kama hujatoa handbrake basi...
  16. fungi06

    Vitu vya kufurahisha kuusu kobe wa majini (kasa)

    Hivi ndivyo mdomo wake ulivyo kwa ndani Picha na buzzfeed Watu wengi wamekua wakijiuliza sana kuusu mdomo wake unavyotisha Ukiingia kwenye account ya ig kwa brykim official kwa kutumia biology na illustrator ameelezea vyema kuusiana na mdomo wa kasa Izo miba za mdomo kwa kasa humsaidi...
  17. TheChoji

    Vitu vya uongo tunavyoonyeshwa kwenye muvi za kizungu

    Wengi hua tunadhani muvi za bongo tu ndio zina vitu vya hovyo. Kiukweli muvi za kizungu pia zina maujinga mengi yasiyo na uhalisia. Hivi ni kati ya vitu vya uongo na vinavyokera hasa kwenye muvi za kizugu. 1. Bunduki kutokuisha risasi. Ushawahi ona kwenye muvi mtu ana ki bastola au SMG anamwaga...
  18. Red Giant

    Kuamini Sana uchawi huwa kunaambatana na ujinga

    Ukikaa na watu wanaoamini uchawi na kupiga stori za uchawi huwa Kuna mambo ya kushangaza Sana. 1. Mmoja anasimulia eti Kuna mzee alikamatwa na radi ameiweka kwenye mfuko wa salfeti. polisi kumuuliza akasema huwa anaiuza. 2.Mwingine anasema eti radi ikipiga sehemu huwa inataga yai . Basi...
  19. Deogratias Mutungi

    Dkt. Mwinyi na dhana ya uchumi wa watu na vitu

    Nawasalimu wana JF, Nimekuwa mfatiliaji wa karibu sana wa siasa za upande wa Tanzania Visiwani kwa maana ya Zanzibar, nimegundua falsafa na maono makubwa ya Dkt. Hussein Mwinyi juu ya mipango yake ya uendeshaji wa serikali ya SMZ katika nadharia ya "Uchumi wa watu na vitu" Nimegundua Dkt...
  20. James Martin

    Korea ya Kaskazini ina maendeleo ya vitu lakini watu hawana uhuru

    Moja ya mdahalo unaondelea kwenye kampeni za urais ni kati ya maendeleo ya watu na maendeleo ya vitu. Mimi nakubaliana na Tundu Lissu kwa kuchagua maendeleo ya vyote! UHURU, KAZI NA MAENDELEO maana yake ni maendeleo ya vyote! Kwa mfano, Korea ya Kaskazini wana majengo mazuri, miundombinu na...
Back
Top Bottom