jitombashisho
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 667
- 2,242
CCM bado ni chama imara ki-muundo na ki-mfumo pia.
Ukiangalia mpangalio wa vikao wa CCM hakika unajawa na haja ya kuwafuatilia na kuziheshimu sera na itifaki zao.
Pamoja na kulalamikiwa imekuwa ikitumia dola kubaki madarakani lakini bado chama hicho kinazo sifa na uwezo wa kuendelea kuongoza Nchi yetu kwa muda mrefu zaidi ya huo uliopita.
Vile vile,CCM na ukongwe wake bado kina hadhina kubwa ya Viongozi wa baadae.
Kidumu Chama cha Mapinduzi!
Ukiangalia mpangalio wa vikao wa CCM hakika unajawa na haja ya kuwafuatilia na kuziheshimu sera na itifaki zao.
Pamoja na kulalamikiwa imekuwa ikitumia dola kubaki madarakani lakini bado chama hicho kinazo sifa na uwezo wa kuendelea kuongoza Nchi yetu kwa muda mrefu zaidi ya huo uliopita.
Vile vile,CCM na ukongwe wake bado kina hadhina kubwa ya Viongozi wa baadae.
Kidumu Chama cha Mapinduzi!