Ni vitu gani hivi?

Troll JF

JF-Expert Member
Feb 6, 2015
7,804
12,224
Jamani Gari huwa naicha sehemu wakati wa asubuhi jioni huwa naipitia ikiwa imeoshwa sasa Jana baada ya kufika nyumbani nimekuta kuna hivi vitu kwenye gari kinaweza kuwa nini??

CC657C8E-D53E-40DF-BDA0-2B82422D3693.jpeg
 
Hapo ni wanakukumbusha ukae kiume....si unakuwa mlainimlaini kama mademu wa insta.

Na ukitukana nawaambia kesho waweke nyoka alovaa shanga........mwanaume unakuaje na mikono ya hivyo?
ww ni mbeba zege or umekulima maisha ya shamba, ila kwa watoto wa kishua/maisha ya kati mikono ya hvyo ni ya kawaida
 
Back
Top Bottom