Wewe kwanza ni mwanaume au mwanamke?Jamani Gari huwa naicha sehemu wakati wa asubuhi jioni huwa naipitia ikiwa imeoshwa sasa Jana baada ya kufika nyumbani nimekuta kuna hivi vitu kwenye gari kinaweza kuwa nini??
View attachment 1735797
Jamani Gari huwa naicha sehemu wakati wa asubuhi jioni huwa naipitia ikiwa imeoshwa sasa Jana baada ya kufika nyumbani nimekuta kuna hivi vitu kwenye gari kinaweza kuwa nini??
View attachment 1735797
Hapo ni wanakukumbusha ukae kiume....si unakuwa mlainimlaini kama mademu wa insta.Dume
Mbona naona ni kama vitu vimefungwa kwenye karatasi? Fungua ndani tuoneJamani Gari huwa naicha sehemu wakati wa asubuhi jioni huwa naipitia ikiwa imeoshwa sasa Jana baada ya kufika nyumbani nimekuta kuna hivi vitu kwenye gari kinaweza kuwa nini??
View attachment 1735797
ww ni mbeba zege or umekulima maisha ya shamba, ila kwa watoto wa kishua/maisha ya kati mikono ya hvyo ni ya kawaidaHapo ni wanakukumbusha ukae kiume....si unakuwa mlainimlaini kama mademu wa insta.
Na ukitukana nawaambia kesho waweke nyoka alovaa shanga........mwanaume unakuaje na mikono ya hivyo?
Hujaandika kama mtu aliye timamu.Hapo ni wanakukumbusha ukae kiume....si unakuwa mlainimlaini kama mademu wa insta.
Na ukitukana nawaambia kesho waweke nyoka alovaa shanga........mwanaume unakuaje na mikono ya hivyo?
Ujinga wangu ndo umenifikisha hapa.Hujaandika kama mtu aliye timamu.
Mbona mimi wa kishua ila sina mikono ya hivyo!?ww ni mbeba zege or umekulima maisha ya shamba, ila kwa watoto wa kishua/maisha ya kati mikono ya hvyo ni ya kawaida
me siyo wa kishua ila mikono yangu inafanana kidogo na hyo pamoja na kufanya kazi ngumu, sa vp kwa jamaa ikiwa kazi yake ngumu n kifinyanga tonge la ugali unazan atakuwa na mikono ya namna ganMbona mimi wa kishua ila sina mikono ya hivyo!?
Kumbe unaweza kuanzisha uzi usitaje chadema wala Magufuli.Jamani Gari huwa naicha sehemu wakati wa asubuhi jioni huwa naipitia ikiwa imeoshwa sasa Jana baada ya kufika nyumbani nimekuta kuna hivi vitu kwenye gari kinaweza kuwa nini??
View attachment 1735797