johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,957
- 141,948
Kiukweli nafuatilia kwa makini kampeni za chama tawala CCM mgombea urais na wagombea ubunge wameonyesha umahiri mkubwa.
Ni dhahiri mwezi November tunaweza kupata Baraza la Mawaziri jipya kabisa kwani hili ingizo jipya siyo mchezo.
Ngoja tuone.
Maendeleo hayana vyama!
Ni dhahiri mwezi November tunaweza kupata Baraza la Mawaziri jipya kabisa kwani hili ingizo jipya siyo mchezo.
Ngoja tuone.
Maendeleo hayana vyama!