Uchaguzi 2020 Tume imemwita Tundu Lissu, lakini haina mamlaka wala uwezo wa kumuadhibu

MdogoWenu

JF-Expert Member
Dec 23, 2009
555
915
Tumetangaziwa kwamba Tundu Lissu ameitwa kujieleza kwa nini anasema wataingia barabarani. Suala hili linachiambuliwa kisheria namna hii.

Katiba yetu inasema katika ugombea urais Tume ikishamtangaza mtu mshindi basi haiwezi kuhojiwa na chombo chochote duniani.

Hata kama Tundu Lissu atapata kura 100% na Magufuli akapata 0%, ikimtangaza Magufuli kashinda haitahojiwa na chombo chochote. Hivi ndivyo ilivyo katiba yetu.

Kutafuta haki ni maumbile ya ubinadamu ambayo hakuna duniani anayeweza kuyaondoa. Binadamu ni kiumbe kinachoweza kutenda au kutotenda haki na haki. Binadamu asitemtendea haki mwenzake hiyo ni dhuluma na kama hakuna sheria ya kuondoa dhuluma hiyo basi aliyedhlumiwa ana mamlaka ya kufanya lolote kupata haki yake.

Narudia, ukishadhulumiwa unakuwa na sovereignty ya kurudisha haki yako na hakuna duniani wa kukuzuia.

Tume wanaweza kutenda haki na inapotenda haki inastahili kulinwa na kila mmoja. Lakini Tume isipotenda haki kuna mengi ya kusema lakini nitasema machache.

Ingawa wapenzi wa Tundu Lissu wame panic wanatakwa kufurahi Tundu Lissu kuitwa. Maana kesi hii tunatarajia Tume iulizwe kwamba isipotenda haki aliyeporwa haki afanyeje au afanyweje.

Tuliwauliza hivi ni kwamba hakuna Mtanzania mwenye jibu la swali hili. Uchaguzi haina uwezo wa kutuambia kuwa isipotenda haki aliyeporwa haki afanya nini. Hivyo kama haina majibu haiwezi kuwachaguliwa waporwa haki jinsi ya kuirudisha haki yao.

Maadam tume haitakuwa na majibu hata polisi hawatakuwa na majibu. Polisi hawawezi kuwakamata watakaoandamana kwa sababu ni kweli wameporwa haki.

Maadam Tume hawatakuwa na majibu basi kesi haina msingi na hakutatokea chochote.
 
Umeandika vizuri mno Mkuu manana hawa Mataga wanadhani bado tunasiliza radio mkulima huku kijijini. Kama tume na mamlaka zingine hazina uwezo wa kumzuia mtu atakaye tangazwa Kuwa rais wetu hata kama ameiba kura au ni mgonjwa wa Akili sisi wananchi tuta fanya jambo letu hatutanii. Uonevu sasa baathiiiii
 
Tumeccm NECCCM wao kama wao wanaujua ukweli na kama ni Amri yao kama wao wasingethubutu kumwita Tundu lisu, lakini sasa hawafanyi kazi kwa mjibu wa katiba na Sheria bali wanafanya kazi kwa mjibu wa zidumu fikra zisizo sahihi za mtukufu mwenyekiti wa CCM na hii ndiyo imewaondolea sifa ya kuwa chombo huru na kuonekana ni Tawi la CCM.
 
Hili balaa.naona mwaka tutapata vitu 3

1.Tume huru inakuja
2.katiba mpya hiyoo
3.mahakama ya kimataifa itachukua watu

Absolutely, YES...

Moyo na nafsi yangu vinanishudia hivyo pia...

Na kuongeza tu, ni kuwa, haya yataanza kwa mtu kukataa kukabidhi ofisi baada ya kushindwa...

Na hapo ndipo litakapoanza sekeseke zima...!!

Kuna kila dalili yanaweza kutokea kama ilivyotokea IVORY COAST miaka takribani 5 au 6 iliyopita; Laurent Gbagbo vs Allasane Wattarra....
 
Tumetangaziwa kwamba Tundu Lissu ameitwa kujieleza kwa nini anasema wataingia barabarani. Suala hili linachiambuliwa kisheria namna hii...
Mbona majibu yako wazi. Ngoja akawaaibishe huko huko kwenye Tume. Lissu sio Membe. He is Blessed. Brain yake iko intact.

Amesema wakivunja uchaguzi wa uhuru na haki tutaingia barabarani. Sasa hapo wanataka majibu gani tena.
 
Back
Top Bottom