Uchaguzi 2020 Je, Tundu Lissu ana uwezo wa kupambana na rushwa na ufisadi? Historia yake inatuhakikishia hilo?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,944
141,920
Jambo kubwa kabisa alilolifanya Rais Magufuli ni kuwashughulikia mafisadi wala rushwa na wapiga dili waliokuwa wanalihujumu taifa letu.

Wananchi zaidi ya 95% wanataka Kazi Iendelee kwamba sasa yakang'olewe mazalia na mabakibaki ya mafisadi popote yalikobakia na wanataka jukumu hilo likamilishwe na aliyelianzisha Rais Magufuli.

Ndipo nauliza yule mgombea wa chama kikuu cha upinzani Mh Tundu Lissu ana historia yoyote chanya ya mapambano dhidi ya ufisadi au ni ile inayofahamika na wengi ya kumtuhumu na baadae kumsagisha Mzee Lowassa?

Maendeleo hayana vyama!
 
Magufuli hajafikisha hata robo ya kupambana na ufisadi,bado saana aisee.

Mahakama yake ya mafisadi imedoda ikiwa imewahukumu na kuwakomalia Seth na ruge tuu kwa miaka mitano sasa,isitoshe kura za maoni za ccm zilitawaliwa na rushwa na ushahidi umeusikia vizuri tuu na mpaka sasa hamna alokamatwa wala kuhojiwa,zaidi takukuru wameamua kurudisha mpira kwa kipa maana ni mtego kwao. katika double standards kama hii kwenye udhibiti wa rushwa na ufisadi utasemaje kafanikiwa na tumuongezee 5 zingine??

Hizo tano si ndo zitakuwa shida zaidi maana watakuwa wanamalizia na kukomba zilizobaki wakijua watamweka atakaewakingia kifua 2025..
 
Fisadi yupi aliyeshughulikiwa na magufuli? Yeye mwenyewe ni fisadi wa ununuzi wa ndege ruhusu uchunguzi huru uone mauchafu yaliyoko kwenye usiri wa manunuzi ya kulazimisha ya ndege....

Ni TUNDU Lissu tu ndo anaweza kutengeneza nchi ya usawa na ameongesha kwa vitendo
 
Jambo kubwa kabisa alilolifanya Rais Magufuli ni kuwashughulikia mafisadi wala rushwa na wapiga dili waliokuwa wanalihujumu taifa letu.

Wananchi zaidi ya 95% wanataka Kazi Iendelee kwamba sasa yakang'olewe mazalia na mabakibaki ya mafisadi popote yalikobakia na wanataka jukumu hilo likamilishwe na aliyelianzisha Rais Magufuli.

Ndiposa nauliza yule mgombea wa chama kikuu cha upinzani Mh Tundu Lissu ana historia yoyote chanya ya mapambano dhidi ya ufisadi au ni ile inayofahamika na wengi ya kumtuhumu na baadae kumsagisha Mzee Lowassa?

Maendeleo hayana vyama!
Kandi na kamishina wa ziamoto.wamefumgwa?
 
Jambo kubwa kabisa alilolifanya Rais Magufuli ni kuwashughulikia mafisadi wala rushwa na wapiga dili waliokuwa wanalihujumu taifa letu.

Wananchi zaidi ya 95% wanataka Kazi Iendelee kwamba sasa yakang'olewe mazalia na mabakibaki ya mafisadi popote yalikobakia na wanataka jukumu hilo likamilishwe na aliyelianzisha Rais Magufuli.

Ndiposa nauliza yule mgombea wa chama kikuu cha upinzani Mh Tundu Lissu ana historia yoyote chanya ya mapambano dhidi ya ufisadi au ni ile inayofahamika na wengi ya kumtuhumu na baadae kumsagisha Mzee Lowassa?

Maendeleo hayana vyama!
Acha utani we mjukuu wa mzee mgaya: magufuli huyu si ndo amewahonga wapinzani vyeo ili waunge mkono juhudi?

Si ni magufuli huyu aliwazawadia vyeo,
kina myeti baada ya kupatikana ushahidi waliwahonga madiwani kule arushsa

Magufuli amemfuta kazi CAG mwaminifu na Mwadilifu, baada ya kuibua madudu kwenye matumizi ya umma na upotevu wa tril. 2.5

Report ya cAG 2017/2018 imesema zabuni za Tsh bili 600 zilitolewa bila kuzingatia Sheria ya manunuzi

Niishie hapo, ukweli Ni kuwa Magu hajawahi pambana na rushwa na ufisadi,
labda anapambana na wapinzani wake ndani ya chama na nje ya chama kwa kizingizio Cha rushwa
 
Jambo kubwa kabisa alilolifanya Rais Magufuli ni kuwashughulikia mafisadi wala rushwa na wapiga dili waliokuwa wanalihujumu taifa letu.

Wananchi zaidi ya 95% wanataka Kazi Iendelee kwamba sasa yakang'olewe mazalia na mabakibaki ya mafisadi popote yalikobakia na wanataka jukumu hilo likamilishwe na aliyelianzisha Rais Magufuli.

Ndiposa nauliza yule mgombea wa chama kikuu cha upinzani Mh Tundu Lissu ana historia yoyote chanya ya mapambano dhidi ya ufisadi au ni ile inayofahamika na wengi ya kumtuhumu na baadae kumsagisha Mzee Lowassa?

Maendeleo hayana vyama!
kwani awamu ya 5 imepiga vita gani ya ufisadi? walau JK anaweza kutamba kidogo maana kina Mramba na Yona walishikishwa adabu.

kwenye awamu ya 5 ni fisadi gani yupo convicted au yupo jela kwa ajili ya ufisadi?

tunasikia tu watu wanajenga maeapoti na ku install artificial parks huko vijijini kwao, mara 1.5tr zimepotea, mara CAG mwadilifu kaondolewa, mara Lissu kapigwa risasi kwa vile tu kaongelea nepotism na watu kukwapua mabilioni ya umma kuwalipa kimyakimya "mabeberu" waliokamata bombadier, mara wabunge wa upinzani kununuliwa kwa kupewa pesa au vyeo, mara mchakato wa kura za wabunge CCM kugubikwa na rushwa kila mahal, nk nk. huu kama siyo ufisadi ni nini??
 
Haya maccm ni ukoo wa panya na hii ni serikali ya kishetani
 

Attachments

  • FB_IMG_1597317888669.jpg
    FB_IMG_1597317888669.jpg
    45 KB · Views: 1
Back
Top Bottom