Graduate since 2017
Member
- Jun 15, 2020
- 24
- 90
Mimi ni Kijana wa miaka 26 nikiwa na shahada ya uhandisi wa mitandao na mawasiliano...baada ya kuhangaika sana bila majibu nimeambulia kufahamu fursa nyingi ambazo nimetumia na akili yangu kidogo kuweza kupata mawazo kadhaa ya kibiashara ambazo zenye kuleta matunda chanya kwa muda mfupi sana.
Changamoto kubwa niliyonayo ni pesa ya kuwekeza kwenye mawazo haya kiasi cha kuzidi kukaa na kuilaumu serial yetu na mfumo wake wa elimu ambayo imeishia kunipa cheti kisichokubalika hata kuwekwa kama dhamana ya mm kupata mkopo. Hivyo ukiwa kama mdau wa maendeleo na unauwezo wa kuwaamini vijana kama mm wa kitanzania katika kuwekeza kwenye mawazo yetu naomba tuwasiliane ili niweze kutoa blueprint zoote kuhusiana na Mimi na uhakika wa biashara hizi.
1. Ni Biashara ya Nafaka kutoka mikoani na kuleta Dar es salaam ambako tayari nimeshafanya survey ya masoko na order zake ukusanyaji wake vijijini gharama za usafiri ushuru na kila kitu mpaka faida! Na kugundua kuwa kiasi cha sh. 7M had 10M kinaweza tosha kuanza biashara hii.
2. Kuwekeza moja kwa moja kwenye ujuzi wangu kwa maana muwekezaji kufungua kampuni ya IT solutions and infrastructures akiwa kama CEO namimi pamoja na vijana wenzangu nnaowajua uwezo wao wakufanya kazi tukiwa kama watendaji wakuu kwa maana ya designers na installers tukiwa kama mafundi wa vitu vyoote vya IT kama networking, access control, and security systems installations, programmers kwa maana ya web developers and desingners, Pia tukiwa na baadhi ya mifumo tuliyoiunda wenywe kwa malengo ya kujiuza badae kwenye solo LA Technologia Duniani.
3. Uwekezaji kwenye vyombo vya usafiri kwa maana ya Fuso au tipa za michanga na kokoto au coaster za biashara katika maeneo tofauti niliyoyafanyia research ya kutosha na kuona maslah makubwa na yenye Tija.
NB: Najua kuna watu sana uwezo wa kuweka fixed account zaidi ya Millioni 100 nakusubiri gawio la karibu millioni 10 let's say wakat ndani ya mwaka kama utatumia pesa hiyo kuwekeza kwa vijana kama sisi unaweza tengeneza had 100M nyingne au zaidi. "Sisi ni mavumbi na mavumbini tutarud" ni maneno yanayotukumbusha hizi pesa zoote tutaziacha na watu watauana kwaajili ya hzo hvyo nawaomba wakuu mwenye uwezo tuwasiliane PM ikiwezekana tuonane tuzungumze.
Mimi Niko Dar es salaam eneo LA Mbezi mwisho kwa sasa.
Niwatakie mihangaiko miema.
Changamoto kubwa niliyonayo ni pesa ya kuwekeza kwenye mawazo haya kiasi cha kuzidi kukaa na kuilaumu serial yetu na mfumo wake wa elimu ambayo imeishia kunipa cheti kisichokubalika hata kuwekwa kama dhamana ya mm kupata mkopo. Hivyo ukiwa kama mdau wa maendeleo na unauwezo wa kuwaamini vijana kama mm wa kitanzania katika kuwekeza kwenye mawazo yetu naomba tuwasiliane ili niweze kutoa blueprint zoote kuhusiana na Mimi na uhakika wa biashara hizi.
1. Ni Biashara ya Nafaka kutoka mikoani na kuleta Dar es salaam ambako tayari nimeshafanya survey ya masoko na order zake ukusanyaji wake vijijini gharama za usafiri ushuru na kila kitu mpaka faida! Na kugundua kuwa kiasi cha sh. 7M had 10M kinaweza tosha kuanza biashara hii.
2. Kuwekeza moja kwa moja kwenye ujuzi wangu kwa maana muwekezaji kufungua kampuni ya IT solutions and infrastructures akiwa kama CEO namimi pamoja na vijana wenzangu nnaowajua uwezo wao wakufanya kazi tukiwa kama watendaji wakuu kwa maana ya designers na installers tukiwa kama mafundi wa vitu vyoote vya IT kama networking, access control, and security systems installations, programmers kwa maana ya web developers and desingners, Pia tukiwa na baadhi ya mifumo tuliyoiunda wenywe kwa malengo ya kujiuza badae kwenye solo LA Technologia Duniani.
3. Uwekezaji kwenye vyombo vya usafiri kwa maana ya Fuso au tipa za michanga na kokoto au coaster za biashara katika maeneo tofauti niliyoyafanyia research ya kutosha na kuona maslah makubwa na yenye Tija.
NB: Najua kuna watu sana uwezo wa kuweka fixed account zaidi ya Millioni 100 nakusubiri gawio la karibu millioni 10 let's say wakat ndani ya mwaka kama utatumia pesa hiyo kuwekeza kwa vijana kama sisi unaweza tengeneza had 100M nyingne au zaidi. "Sisi ni mavumbi na mavumbini tutarud" ni maneno yanayotukumbusha hizi pesa zoote tutaziacha na watu watauana kwaajili ya hzo hvyo nawaomba wakuu mwenye uwezo tuwasiliane PM ikiwezekana tuonane tuzungumze.
Mimi Niko Dar es salaam eneo LA Mbezi mwisho kwa sasa.
Niwatakie mihangaiko miema.