GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,464
- 108,619
Kauli ya mwaka 2018
"Natoa Wito kwa Wakuu wote wa Mikoa hadi wale wa Wilaya kuhakikisha kuwa kila Mfanyabiashara mdogo mdogo wa Kitanzania (Wamachinga) awe na Kitambulisho ndipo aweze Kufanya Biashara yake. Ole wake kwa Mkuu wa Mkoa na Mkuu wa Wilaya ambaye nitakuta Mkoa wake haujalitimiza hili kwani ni Jambo la lazima ili Serikali ipate Mapato yake"
Kauli ya mwaka 2020 tarehe 22 Septemba
"Sitaki Wamachinga wowote ambao watakutwa hawana Vitambulisho vya Kufanyia Biashara wafukuzwe au wabughudhiwe. Muwaache wafanye Biashara zao na ole wake kwa Kiongozi yoyote yule ambaye atawasumbua. Na siyo lazima sana Wafanyabiashara hawa (Wamachinga) wawe na hivyo Vitambulisho. Nadhani mmenisikia hivyo muwaache kabisa "
Kuna Watu wanadhani Tanzania ile ya miaka ya 1940's iliyokuwa na Chuo Kikuu kimoja tu, basi pia ndiyo hii ya leo ya 2020 yenye Wasomi wengi.
"Natoa Wito kwa Wakuu wote wa Mikoa hadi wale wa Wilaya kuhakikisha kuwa kila Mfanyabiashara mdogo mdogo wa Kitanzania (Wamachinga) awe na Kitambulisho ndipo aweze Kufanya Biashara yake. Ole wake kwa Mkuu wa Mkoa na Mkuu wa Wilaya ambaye nitakuta Mkoa wake haujalitimiza hili kwani ni Jambo la lazima ili Serikali ipate Mapato yake"
Kauli ya mwaka 2020 tarehe 22 Septemba
"Sitaki Wamachinga wowote ambao watakutwa hawana Vitambulisho vya Kufanyia Biashara wafukuzwe au wabughudhiwe. Muwaache wafanye Biashara zao na ole wake kwa Kiongozi yoyote yule ambaye atawasumbua. Na siyo lazima sana Wafanyabiashara hawa (Wamachinga) wawe na hivyo Vitambulisho. Nadhani mmenisikia hivyo muwaache kabisa "
Kuna Watu wanadhani Tanzania ile ya miaka ya 1940's iliyokuwa na Chuo Kikuu kimoja tu, basi pia ndiyo hii ya leo ya 2020 yenye Wasomi wengi.