ushauri

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    JamiiForums Tanzania Anaomba ushauri: Akubali kuwa mke wa pili au asubiri atapata mume wake?

    Nina rafiki yangu kwasasa ametimiza miaka 25 lakini wadogo zake wameolewa ambao ni watoto wa mjomba ake sasa yeye kwa sasa anafanya kazi hizi za kujitolea katika shirika X kwahiyo kuna muda anakua anatamani kuwa na mume au mchumba ambaye ana nia ya kumuoa sasa the bad thing ni kwamba hana...
  2. E

    JamiiForums Tanzania USHAURI: Gari gani ninunue kati ya haya...?

    What SUV would you advise me to buy between VW TIGUAN, BMW X3, AUDI Q3 and TOYOTA RAV4, please I'd appreciate reasoning for every choice starting with price, engine size, fuel type etc, or if possible provide comparison of the 4 please? "Majibu hata kww kiswahili tafadhari"
  3. E

    JamiiForums Tanzania Ushauri wangu kwa Serikali na CCM kuhusu ufafanuzi mkataba wa bandari

    Serikali ni aibu sana kuwatumia wanasiasa kujibu hoja za kisheria wasizoweza. Hii ni kwa sababu tokea mjadala wa Bandari ya DSM umeibuka, hoja za watanzania wote ni namna mkataba ulivyo. Kuna vifungo vya mkataba vinatatiza maslahi mapana ya Taifa letu Tanzania. Ni vyema mujibu hoja kitaalum...
  4. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Hospitali ya MOI kuanza kuwapigia simu wagonjwa wake ili kuwajulia hali, kupata maoni na kuwapa ushauri

    Mkurugenzi mtendaji wa MOI, Prof. Abel Makubi leo amefanya kikao na watoa huduma kwa wateja pamoja na walinzi ili kukumbushana misingi bora ya utoaji huduma kwa wateja na kupunguza mahangaiko na malalamiko kwa wateja. Kikao hiki ni mwendelezo wa vikao baina ya Prof. Makubi na Makundi mbalimbali...
  5. IBRAHIM EMMILIAN MBAWALA

    JamiiForums Tanzania Pata ushauri juu ya ufugaji viumbe hai majini ikiwemo samaki, mwani,kaa n.K kisasa (aquaculture)

    Pata ushauri jinsi yakufuga viumbe hai majini kisasa kama samaki aina ya sato, kambale n.k Elimu kidogo juu ya ufugaji samaki aina ya SATO Ufugaji Samaki Aina ya Sato Ufugaji samaki aina ya sato, au tilapia, ni shughuli nzuri na yenye faida. Hapa kuna baadhi ya ushauri muhimu kuhusu ufugaji wa...
  6. Mtu Alie Nyikani

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri kuhusu kozi nzuri ya kusoma

    Habari wakuu kwanza kabisa nawasalimu wakubwa kwa wadogo habari zenu? Mimi nahitaji msaada wa mawazo yenu na msaada wenu huu ni mhimu sana. Nina Mdogo wangu kasoma EGM Advance kahitimu mwaka huu ana One ya 9 means masomo yote kapata "C" Sasa shida inakuja kwenye Course ya kusoma maana dogo...
  7. Champion number one

    JamiiForums Tanzania Ushauri juu ya psrs

    Habari, poleni na majukumuu ya kazi Kuna rafiki angu kaomba ushauri juu ya hili swala nimeshindwa kumshauri naombeni mawazo yenu kama kawaida katika kupambana na utumishi akafanikiwa kufika oral na kupangiwa kituo cha kazi Shida imeanzia apa baada ya ku report kituo cha kazi wanamwambia...
  8. CAPO DELGADO

    JamiiForums Tanzania Ushauri wangu wa mwisho kwa Simba kuhusu usajili

    Habari wakuu, Moja kwa moja niende kwenye mada, lakini nitoe angalizo kuwa napenda mada yangu usomwe na watu wenye akili timamu na kujibiwa na watu wenye ufahamu. Binafsi ninahuzunishwa sana na baadhi ya sajili kwenye Klabu yangu pendwa ya Simba. 1. Usajili wa mawinga kumi na moja. Saido...
  9. R-K-O

    JamiiForums Tanzania Mwajiriwa nataka nifungue biashara ya ps, mchanganuo wangu huu hapa, naombani mnirekebishe na kunipa ushauri

    Habari zenu, Nimechoka kusubiri mshahara wa kila mwezi nimeona nijiongeze, nimeona nichote milioni 7 kwenye akiba nifungue biashara ya Ps nipo Mbeya. naombeni mnisahishe, kunishauri na mnipe mawazo mengine MCHANGANUO WANGU MTAJI WA KUANZIA PS4 nne zenye games 2,500,000 tv nne 1,500,000 pad...
  10. kindikinyer leborosier

    JamiiForums Tanzania Naombeni mnishauri kwenye hili la wadogo zangu kuhusu aina ya kozi za kusomea

    Hello habarini wanajamv, poleni na majukumu ya kila siku. Miaka ya nyuma niliomba ushauri humu humu jukwaani kuhusu wadogo zangu wawili wa kike, ili kulipa fadhila ya msaada niliopewa kielimu mimi binafsi. Matokeo wiki hii yametoka: 1. Alisoma ECA amepata div 1 ya points 8 2. Alisoma PCM...
  11. Issaboy255

    JamiiForums Tanzania Ushauri ipi kozi nzuri

    habari zenu wa JF nina mdogo wangu kahitimu form six mwaka huu P.C.M amefaulu vizuri tu ana dvs2 ya point 12 sasa yuko dilemma mwanzoni alitamani kusomea water supply and sanitation bt now naona anataman kuchukua computer science au I.T ananiomba ushaur daily bt sina uelewa kiundan kuhusu hizo...
  12. Mdigokhan

    JamiiForums Tanzania Majunio Wanazingua

    Wazazi naomba tuongee kwa dakika 5 tu… Sisi Tumechoka sana Tukija kuwatembelea makwenu Iwe kipindi cha matatizo Au matembezi ya kawaida, ila Naomba Niongelee sisi ambao tunaofikia makwenu Kuja kutafuta maisha… Kuna hawa watoto wenu hasa wenye majina ya JUNIO aisee wanatuboa sanaa sanaa...
  13. stewie

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri juu ya biashara ya Pads za kike

    deleted thread
  14. Mtu Mweusi I

    JamiiForums Tanzania Ushauri wangu kwa vijana wa kidato cha 6 na wengine wote ambao bado hawajafikia elimu ya Chuo Kikuu

    Ushauri wangu kwa vijana wa form 6 na wengine wote ambao bado hawajafikia elimu ya chuo kikuu. Tanzania ya sasa haihitaji Degree, zimeshakuwa nyingi sana mtaani mpaka copy za vyeti zinafungiwa vitumbua. Yaani degree ni luxury sio hitaji muhimu. Tanzania ama dunia ya sasa inahitaji stadi na...
  15. benzemah

    JamiiForums Tanzania Baraza la ushauri la watumiaji wa huduma za mawasiliano Tanzania laipongeza Serikali kwa kuondoa tozo ya kutuma miamala ya fedha kidijitali

    Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Mawasiliano Tanzania (TCRA CCC) linaishukuru na kuipongeza Serikali ya Awamu ya Sita, chini ya ongozi wa Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa uamuzi na hatua za kundoa tozo kwenye huduma ya kutuma miamala ya fedha kidijitali. Kuondolewa kwa too hil...
  16. aka2030

    JamiiForums Tanzania Ushauri: JKCI na MOI zikajengwe nje ya Muhimbili

    Ili ziweze kutoa huduma kwa ubora na kuipa Muhimbili eneo kubwa mle kuwa na taasisi zaidi ya moja pamesababisha kuwa na msongamano ambao mpaka sasa umesababisha magari kuanza kulipia
  17. Masai wa Town

    JamiiForums Tanzania Naomba Ushauri: Nimepata Kesi baada ya kumpiga mvuta sigara

    wavuta sigara wanaamini kila mtu anapenda sigara. Huwa sipendi kabisaa hiyo harufu. Nimekaa kwenye benchi kijiweni nashangaa ghafla mtu kawasha kiberiti puuff. Naangalia pembeni pua yangu inanakutana na moshi mzito wa Sigara. Halafu mtu yupo comfortable kabisaa hana habari. Nikamuwasha kofi...
  18. S

    JamiiForums Tanzania Maoni Yangu Kwenye Tume ya Haki Jinai Juu ya Takukuru

    Maoni yangu kwenye tume ya haki jinai juu ya Takukuru Tumekuwa tukishuhudia ziara za Viongozi wakubwa, mawaziri au wakuu wa mikoa wakiibua madudu ktk miradi ya serikali na kuagiza Takukuru wafanye uchunguzi!! Swali langu : Hivi kwanini Takukuru hawafanyi kuchunguza jambo mpk wapewe maagizo ...
  19. HEARTZ

    JamiiForums Tanzania Ushauri kuhusu Bachelor of Pharmacy na Master of Chemistry

    Habarini wanajamii, Naomba kufahamishwa kwa mtu mwenye bachelor of pharmacy na master of chemistry specialized in environmental chemistry soko lake lipo vipi hapa nchin Tanzania.
  20. kambagasa

    JamiiForums Tanzania CCM Zanzibar yamfuta uanachama Balozi Ali Karume

    Halmshauri Kuu Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kusini Unguja imemfuta uanachama kada wake Balozi Ali Karume. Kikao cha kumfuta uanachama Balozi Karume kimefanyika saa saba usiku wa kuamkia leo Jumamosi Julai 8, 2023 chini ya Katibu wa Mkoa wa CCM, Amina Mnacho. Taarifa ya kumuondosha kwenye...
Back
Top Bottom