Munch wa annabelletz47
JF-Expert Member
- Aug 13, 2019
- 965
- 1,347
Kwakwel nataka kumuoa MAMA UMUT lakini sijui chochote yani kuhusiana na kupeleka barua na posa pia.
Kwahyo nikaona nina familia kubwa na ndugu wengi huko JamiiForums niwashirikishe ili nijua BARUA inahitaji nini na iweje NA POSA iahitaji nini na iweje.
ASANTENI SANA USHAURI WENU WANA JAMVI
Kwahyo nikaona nina familia kubwa na ndugu wengi huko JamiiForums niwashirikishe ili nijua BARUA inahitaji nini na iweje NA POSA iahitaji nini na iweje.
ASANTENI SANA USHAURI WENU WANA JAMVI