Ushauri wa maboresho kwa Tamasha lijalo la Wananchi, hata Simba mnaweza kuchukuwa ushauri huu

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Oct 18, 2010
56,593
93,306
Kwanza niweke wazi Mimi si mpenzi wa kuhudhuria mikusanyiko mikubwa ya aina yeyote ile, iwe ya vyama au kwenda uwanjani kuangalia mpira, huwa naenjoy kuangalia haya matukio Nyumbani au nikiwa Pub, tukio kubwa la mkusanyiko mkubwa wa watu nilihudhuria alipokuja Mandela tu.

Tukirejea katika mada, ni lazima tukubali maisha halisi ya Watanzania yanaeleweka hili wala sina haja ya kulieleza, na ukitaka kuwapata mashabiki halisi lialia wale wapiga kelele basi tutakubaliana ni wale wenye maisha ya chini wasio na uwezo, starehe yao ni mpira pesa za kula shangwe huko wavuvi camp hawana.

Sasa kitendo cha kuwawekea kiingilio kisichoendana na uwezo wao kundi hili lenye percent kubwa ya Watanzania si cha kiungwana wala cha kistaarabu.

Kuna watu mtanikosowa kwamba starehe gharama na club inahitaji mapato na kuna pesa za maandalizi nakubaliana na hilo lakini iko option rahisi ya kuondowa gharama za kipuuzi ili msinyonye hawa mashabiki.

Uzuri binafsi nilifuatilia hilo tamasha mwanzo mpaka mwisho, pesa zinazolipwa kwa wasanii ni matumizi Mabaya ya pesa otherwise labda mniambie wanafanya show bure kama alivyofanya Diamond pale Jangwani kwenye parade la Wananchi.

Ushauri wangu upande wa Burudani futa wasanii wote, weka Live band tatu Kali, weka Twanga pepeta, weka Ngwasuma weka bendi ya tatu ambayo iko kwenye peak, show zote ni live magita yanapigwa dram zinapigwa, pata Dj mkali wa kupiga disco la nguvu shughuri imeisha mnasubili muda wa mechi tu.

Lakini inauma sana pesa za watu kuwalipa wasanii ambao wanakuja kuweka Cd ndio zinaimba wao kazi yao kupiga kelele tu kama walevi, hili linaniuma sana huu ni upotevu wa pesa bure kabisa, shusheni viingilio badala ya kuwalipisha watu pesa kubwa ili kuwalipa hawa wapuuzi.

Najuwa waandishi wa habari za michezo mpo hapa, chukueni ili halafu mkajifanye ni wazo lenu ili muonekane magenious.
 

Attachments

  • FB_IMG_1689736258002.jpg
    FB_IMG_1689736258002.jpg
    63.8 KB · Views: 2
Kwanza niweke wazi Mimi si mpenzi wa kuhudhuria mikusanyiko mikubwa ya aina yeyote ile, iwe ya vyama au kwenda uwanjani kuangalia mpira, huwa naenjoy kuangalia haya matukio Nyumbani au nikiwa Pub, tukio kubwa la mkusanyiko mkubwa wa watu nilihudhuria alipokuja Mandela tu.


Najuwa waandishi wa habari za michezo mpo hapa, chukueni ili halafu mkajifanye ni wazo lenu ili muonekane magenious.
Una hoja ila umeshindwa kuijenga.

Kwanini nasema hivo??

Kwanza hela wanayolipia mashabiki haitumiki kwenye kuleta wasanii tu. Pia hela waliyolipwa haijawa disclosed. Hii fedha inaingia kwenye mambo mengi kulipia uwanja, kuwakaribisha wageni ( Timu iliyoalikwa), na mengine mengi.

Pili, muda uliotolewa haukuwa rafiki kwa watu kujipanga it was only ten days.

Tatu, kujaza uwanja sio key objective ni sifa tu za kitanzania coz nusu uwanja kwa 10K mapato yake ni sawa na aliyejaza uwanja kwa 5K.

Yanga imetumia nguvu nyingi kujijenga hivo mashabiki inabidi tufike hatua tukubali kwamba thamani ya Yanga imepanda pia.
 
Umeongea pointi ya msingi

Kuna mambo yanaratibiwa na viongozi kwa sifa za kutaka u-special yani kujiweka daraja la kipekee tofauti na wapinzani.

Hilo ndilo lililotufikisha hapa, viongozi wanataka kutengeneza rekodi kwa minajili ya mashabiki wao wana uwezo mkubwa wa kifedha na ni die hard fans ambao wako tayari kulipia gharama zozote ili waione timu yao

Bahati mbaya wanafanya kwa mihemko bila kufanya tathmini ya kujua aina ya mashabiki wao na uwezo wao wa kifedha.

Nimemsikia hapa EFM kiongozi wa Yanga anaitwa Mgita (stand to be corrected)

Huyu jamaa amenisikitisha sana kwa kauli yake kuwa waliweka kiingilio kikubwa kwa ajili ya ku minimize watu wengi wasiingie.

Kiongozi huyu ana amini kuwa kutokana na population ya watu wa Dar kuzidi kuongezeka hivyo kama Club waliona wakiweka bei affordable basi watu wengi wangejaa.

Hivyo waliona namna ya kuweza ku overcome hiyo situation ni kupandisha bei ya kiingilio ili wengine wasifike.

Sasa mi najiuliza kama target ilikuwa hiyo kwanini walifungua geti ili watu wapite free?

Viongozi wanabidi waelewe kuwa hili ni tamasha sio mechi, mtu anatoka na familia yake kwenda kuinjoy burudani.

Sasa kwa gharama ya 10,000 mtu uko na familia yako hiyo ni pesa nyingi.

Viongozi wameliangalia hili jambo kwa jicho la mtu mmoja mmoja lakini wamesahau kuhusu mtoko wa familia, couples nk. Ambpo mtu mmoja analazimika kulipia watu zaidi ya mmoja.
 
Umeongea pointi ya msingi

Kuna mambo yanaratibiwa na viongozi kwa sifa za kutaka u-special yani kujiweka daraja la kipekee tofauti na wapinzani.

Hilo ndilo lililotufikisha hapa, viongozi wanataka kutengeneza rekodi kwa minajili ya mashabiki wao wana uwezo mkubwa wa kifedha na ni die hard fans ambao wako tayari kulipia gharama zozote ili waione timu yao

Bahati mbaya wanafanya kwa mihemko bila kufanya tathmini ya kujua aina ya mashabiki wao na uwezo wao wa kifedha.

Nimemsikia hapa EFM kiongozi wa Yanga anaitwa Mgita (correct me if I'm wrong)

Huyu jamaa amenisikitisha sana kwa kauli yake kuwa waliweka kiingilio kikubwa kwa ajili ya ku minimize watu wengi wasiingie.

Kiongozi huyu ana amini kuwa kutokana na population ya watu wa Dar kuzidi kuongezeka hivyo kama Club waliona wakiweka bei affordable basi watu wengi wangejaa.

Hivyo waliona namna ya kuweza ku overcome hiyo situation ni kupandisha bei ya kiingilio ili wengine wasifike.

Sasa mi najiuliza kama target ilikuwa hiyo kwanini walifungua geti ili watu wapite free?

Viongozi wanabidi waelewe kuwa hili ni tamasha sio mechi, mtu anatoka na familia yake kwenda kuinjoy burudani.

Sasa kwa gharama ya 10,000 mtu uko na familia yako hiyo ni pesa nyingi.

Viongozi wameliangalia hili jambo kwa jicho la mtu mmoja mmoja lakini wamesahau kuhusu mtoko wa familia, couples nk. Ambpo mtu mmoja analazimika kulipia watu zaidi ya mmoja.
Kwenye issues kama hizi everyone has his/her own point of view. Sidhani kama ni kweli walitaka kupunguza idadi ya watu.

Na pia Yanga day haihudhuliwi na wakazi wa dar pekee. Watu hutoka mikoa mbali mbali.

Pamoja na kuwa hali ya pesa ni ngumu lakini wale ambao wana mapenzi ya dhati na club yao waliweza kufika.

Naam, ni tamasha kama matamasha mengine lakini tambua ipo selective kwa Yanga fans only. Ingekuwa inachukua all citizens from Tanzania mbona uwanja ungejaa tu.

Unapohoji pia jiulize Yanga ana fans wangapi and then chukua probability ya wote ku attend hilo tamasha other things remaining constant.
 
Umeongea pointi ya msingi

Kuna mambo yanaratibiwa na viongozi kwa sifa za kutaka u-special yani kujiweka daraja la kipekee tofauti na wapinzani.

Hilo ndilo lililotufikisha hapa, viongozi wanataka kutengeneza rekodi kwa minajili ya mashabiki wao wana uwezo mkubwa wa kifedha na ni die hard fans ambao wako tayari kulipia gharama zozote ili waione timu yao

Bahati mbaya wanafanya kwa mihemko bila kufanya tathmini ya kujua aina ya mashabiki wao na uwezo wao wa kifedha.

Nimemsikia hapa EFM kiongozi wa Yanga anaitwa Mgita (stand to be corrected)

Huyu jamaa amenisikitisha sana kwa kauli yake kuwa waliweka kiingilio kikubwa kwa ajili ya ku minimize watu wengi wasiingie.

Kiongozi huyu ana amini kuwa kutokana na population ya watu wa Dar kuzidi kuongezeka hivyo kama Club waliona wakiweka bei affordable basi watu wengi wangejaa.

Hivyo waliona namna ya kuweza ku overcome hiyo situation ni kupandisha bei ya kiingilio ili wengine wasifike.

Sasa mi najiuliza kama target ilikuwa hiyo kwanini walifungua geti ili watu wapite free?

Viongozi wanabidi waelewe kuwa hili ni tamasha sio mechi, mtu anatoka na familia yake kwenda kuinjoy burudani.

Sasa kwa gharama ya 10,000 mtu uko na familia yako hiyo ni pesa nyingi.

Viongozi wameliangalia hili jambo kwa jicho la mtu mmoja mmoja lakini wamesahau kuhusu mtoko wa familia, couples nk. Ambpo mtu mmoja analazimika kulipia watu zaidi ya mmoja.
Yani ukiachaga bangi zako huwa unashusha nondo sana.

Huu ni uchambuzi ulioshiba.
 
Kwanza niweke wazi Mimi si mpenzi wa kuhudhuria mikusanyiko mikubwa ya aina yeyote ile, iwe ya vyama au kwenda uwanjani kuangalia mpira, huwa naenjoy kuangalia haya matukio Nyumbani au nikiwa Pub, tukio kubwa la mkusanyiko mkubwa wa watu nilihudhuria alipokuja Mandela tu.

Tukirejea katika mada, ni lazima tukubali maisha halisi ya Watanzania yanaeleweka hili wala sina haja ya kulieleza, na ukitaka kuwapata mashabiki halisi lialia wale wapiga kelele basi tutakubaliana ni wale wenye maisha ya chini wasio na uwezo, starehe yao ni mpira pesa za kula shangwe huko wavuvi camp hawana.

Sasa kitendo cha kuwawekea kiingilio kisichoendana na uwezo wao kundi hili lenye percent kubwa ya Watanzania si cha kiungwana wala cha kistaarabu.

Kuna watu mtanikosowa kwamba starehe gharama na club inahitaji mapato na kuna pesa za maandalizi nakubaliana na hilo lakini iko option rahisi ya kuondowa gharama za kipuuzi ili msinyonye hawa mashabiki.

Uzuri binafsi nilifuatilia hilo tamasha mwanzo mpaka mwisho, pesa zinazolipwa kwa wasanii ni matumizi Mabaya ya pesa otherwise labda mniambie wanafanya show bure kama alivyofanya Diamond pale Jangwani kwenye parade la Wananchi.

Ushauri wangu upande wa Burudani futa wasanii wote, weka Live band tatu Kali, weka Twanga pepeta, weka Ngwasuma weka bendi ya tatu ambayo iko kwenye peak, show zote ni live magita yanapigwa dram zinapigwa, pata Dj mkali wa kupiga disco la nguvu shughuri imeisha mnasubili muda wa mechi tu.

Lakini inauma sana pesa za watu kuwalipa wasanii ambao wanakuja kuweka Cd ndio zinaimba wao kazi yao kupiga kelele tu kama walevi, hili linaniuma sana huu ni upotevu wa pesa bure kabisa, shusheni viingilio badala ya kuwalipisha watu pesa kubwa ili kuwalipa hawa wapuuzi.

Najuwa waandishi wa habari za michezo mpo hapa, chukueni ili halafu mkajifanye ni wazo lenu ili muonekane magenious.
Naunga mkono hoja 100%. Waswahili wanasema kuchamba kwingi kuondoka na mavi. Watu wameweka vibweka vingi visivyo na tija yoyote,kujaza hawa wanamuziki kasuku wanaojua kutukana tu imeondoa heshima ya event yote. Naamini Simba wamepata somo kwa tukio la juzi na watafanya Simba day iwe ya adabu.
 
Kwenye issues kama hizi everyone has his/her own point of view. Sidhani kama ni kweli walitaka kupunguza idadi ya watu.

Na pia Yanga day haihudhuliwi na wakazi wa dar pekee. Watu hutoka mikoa mbali mbali.

Pamoja na kuwa hali ya pesa ni ngumu lakini wale ambao wana mapenzi ya dhati na club yao waliweza kufika.

Naam, ni tamasha kama matamasha mengine lakini tambua ipo selective kwa Yanga fans only. Ingekuwa inachukua all citizens from Tanzania mbona uwanja ungejaa tu.

Unapohoji pia jiulize Yanga ana fans wangapi and then chukua probability ya wote ku attend hilo tamasha other things remaining constant.
Kuhusu kuweka kiingilio kikubwa kwa sababu ya population ya Dar sio kauli yangu.

Hiyo ni kauli ya kiongozi wa Yanga aliyehojiwa na EFM kupitia kipindi cha Sports HQ leo
 
Kuhusu kuweka kiingilio kikubwa kwa sababu ya population ya Dar sio kauli yangu.

Hiyo ni kauli ya kiongozi wa Yanga aliyehojiwa na EFM kupitia kipindi cha Sports HQ leo
Huyo kiongozi ni mpumbavu, tatizo kubwa lililopo akili kubwa nyingi hata sisi hapa wengi wetu ni wapenzi tu na mashabiki wa hizi timu lakini si wanachama.

Simba na Yanga na Ccm hazina tofauti yeyote ni taasisi ambazo kwa miaka yote zinaongozwa na wajinga wajinga tu kwa sababu watu makini hawana time na mizengwe ya kupata uongozi wa taasisi hizi.

Ukiweza kupata uongozi kwenye hizi timu basi hata Ccm unashinda uongozi na hata ubunge ukitaka unashinda maana mfumo wao ni mmoja, mfumo wa Ccm ndio mfumo wa Simba na Yanga, wajinga kuongoza wenye akili.
 
Kwanza niweke wazi Mimi si mpenzi wa kuhudhuria mikusanyiko mikubwa ya aina yeyote ile, iwe ya vyama au kwenda uwanjani kuangalia mpira, huwa naenjoy kuangalia haya matukio Nyumbani au nikiwa Pub, tukio kubwa la mkusanyiko mkubwa wa watu nilihudhuria alipokuja Mandela tu.

Tukirejea katika mada, ni lazima tukubali maisha halisi ya Watanzania yanaeleweka hili wala sina haja ya kulieleza, na ukitaka kuwapata mashabiki halisi lialia wale wapiga kelele basi tutakubaliana ni wale wenye maisha ya chini wasio na uwezo, starehe yao ni mpira pesa za kula shangwe huko wavuvi camp hawana.

Sasa kitendo cha kuwawekea kiingilio kisichoendana na uwezo wao kundi hili lenye percent kubwa ya Watanzania si cha kiungwana wala cha kistaarabu.

Kuna watu mtanikosowa kwamba starehe gharama na club inahitaji mapato na kuna pesa za maandalizi nakubaliana na hilo lakini iko option rahisi ya kuondowa gharama za kipuuzi ili msinyonye hawa mashabiki.

Uzuri binafsi nilifuatilia hilo tamasha mwanzo mpaka mwisho, pesa zinazolipwa kwa wasanii ni matumizi Mabaya ya pesa otherwise labda mniambie wanafanya show bure kama alivyofanya Diamond pale Jangwani kwenye parade la Wananchi.

Ushauri wangu upande wa Burudani futa wasanii wote, weka Live band tatu Kali, weka Twanga pepeta, weka Ngwasuma weka bendi ya tatu ambayo iko kwenye peak, show zote ni live magita yanapigwa dram zinapigwa, pata Dj mkali wa kupiga disco la nguvu shughuri imeisha mnasubili muda wa mechi tu.

Lakini inauma sana pesa za watu kuwalipa wasanii ambao wanakuja kuweka Cd ndio zinaimba wao kazi yao kupiga kelele tu kama walevi, hili linaniuma sana huu ni upotevu wa pesa bure kabisa, shusheni viingilio badala ya kuwalipisha watu pesa kubwa ili kuwalipa hawa wapuuzi.

Najuwa waandishi wa habari za michezo mpo hapa, chukueni ili halafu mkajifanye ni wazo lenu ili muonekane magenious.
Umeongea pointi ya msingi

Kuna mambo yanaratibiwa na viongozi kwa sifa za kutaka u-special yani kujiweka daraja la kipekee tofauti na wapinzani.

Hilo ndilo lililotufikisha hapa, viongozi wanataka kutengeneza rekodi kwa minajili ya mashabiki wao wana uwezo mkubwa wa kifedha na ni die hard fans ambao wako tayari kulipia gharama zozote ili waione timu yao

Bahati mbaya wanafanya kwa mihemko bila kufanya tathmini ya kujua aina ya mashabiki wao na uwezo wao wa kifedha.

Nimemsikia hapa EFM kiongozi wa Yanga anaitwa Mgita (stand to be corrected)

Huyu jamaa amenisikitisha sana kwa kauli yake kuwa waliweka kiingilio kikubwa kwa ajili ya ku minimize watu wengi wasiingie.

Kiongozi huyu ana amini kuwa kutokana na population ya watu wa Dar kuzidi kuongezeka hivyo kama Club waliona wakiweka bei affordable basi watu wengi wangejaa.

Hivyo waliona namna ya kuweza ku overcome hiyo situation ni kupandisha bei ya kiingilio ili wengine wasifike.

Sasa mi najiuliza kama target ilikuwa hiyo kwanini walifungua geti ili watu wapite free?

Viongozi wanabidi waelewe kuwa hili ni tamasha sio mechi, mtu anatoka na familia yake kwenda kuinjoy burudani.

Sasa kwa gharama ya 10,000 mtu uko na familia yako hiyo ni pesa nyingi.

Viongozi wameliangalia hili jambo kwa jicho la mtu mmoja mmoja lakini wamesahau kuhusu mtoko wa familia, couples nk. Ambpo mtu mmoja analazimika kulipia watu zaidi ya mmoja.
For the first time uto and kolo come to the agreement!!
😃😃
 
upo sahihi kiukweli wasanii wanapokuja wao ndio walitakiwa wawakipe vilabu kwani wanakuwa wanawatangaza, isitoshe zaidi ya kuimba nyimbo za kutukana hawana kitu Cha ziada.
Burudani kubwa wanayofata watu ni mpira nafikiri dj anatosha.
Na hata DJ anatakiwa DJ wa kariba ya Bonny love au DJ Rankim Ramadhani kipindi tunaruka mayenu sealander club pink coconut.

DJ wa kupiga nyimbo 10 kwa dakika moja huyo aishie hukohuko kwenye vigodoro vyao.

Yani Dj anaweka nyimbo kabla mzuka haujapanda kashabadili nyimbo ndio nini sasa?
 
Na hata DJ anatakiwa DJ wa kariba ya Bonny love au DJ Rankim Ramadhani kipindi tunaruka mayenu Zealander club pink coconut.

DJ wa kupiga nyimbo 10 kwa dakika moja huyo aishie hukohuko kwenye vigodoro vyao.

Yani Dj anaweka nyimbo kabla mzuka haujapanda kashabadili nyimbo ndio nini sasa?
Hapana DJ mkali Sana ila walimpa dakika chache Sana ndo maana akawa analipua lipua mradi aguse kila mtu Kwa nyimbo nyingi Kwa haraka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom