ushauri

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Darucha

    Ameninunia baada ya dada yake kukubali ombi langu

    Huyu ni jamaa yangu ambaye tumejuana hata mwaka haujaisha. Kiufupi jamaa anajiona janja Sana wakati hela Hana nakumbuka siku moja alinikaribisha kwao basi nikatimba maskani mwao ile kuingia nikakutana na mtoto mmoja hatari kumuuliza ni Nani aniambia ni sister wangu Daaah mtoto mzuri mpaka...
  2. FWBTZ

    Waliopata mafanikio na Adsense, tunaomba ushuhuda na ushauri wenu

    Wakuu kwema? Poleni na mihangaiko ya maisha pamoja na Ups and Down za January. Mada ya uzi wangu ni kama kichwa kinavyojieleza juu. Kwa wafuatiliaji wazuri wa JF na mitandao mingine duniani kwenye habari za Technology kumekuwepo na wimbi kubwa la watu wakisema wanatengeneza pesa nzuri kwa Ads...
  3. J

    Nataka kwenda Tunduma, je kampuni gani ina mabasi ya Scania? Ushauri tafadhali

    Kwa kawaida ninavyoenda Moshi na Arusha huwa natumia mabasi ya Dar Express, kiukweli vile visu viko very comfortable. Je, Dar - Mbeya - Tunduma kuna mabasi ya Scania? Haya ya Mchina mtu unafika ukiwa umechoka. Bujibuji na Erythrocyte ushauri Tafadhali. Maendeleo hayana vyama!
  4. K

    Naombeni ushauri wenu kuhusu baba yangu

    Wazee Majuzi kati nimeenda hapa home kwa wazazi . Sasa nimesajiri line mpya juzi tu nikaona ngoja nimjaribu huyu mzee. Nikaandika text kwenda kwake. "Vipi ile hela naisubiri me Suzy" Nikaona tu mzee katabasamu baada ya text kuingia ..na akaondoka. Baada ya muda imeingia 50k cash. Sasa...
  5. L

    Gari lipi ni zuri kwa matumizi ya nyumbani

    Gari lenye umbo la SUV kwa matumizi ya nyumbani lipi lenye ubora na gharama nafuu?
  6. T

    Gari lipi linafaa zaidi? Naombeni ushauri wenu

    Habari. Nimeombwa ushauri, na mie nikaona busara kupata mawazo chanya zaidi kutoka hapa JF. Ninaye jirani yangu ambaye anataka kununua gari jingine (naweza sema ku-upgrade) na kuliuza hili alilonalo kwa sasa. Kwa sasa anamiliki IST ambayo anaiona ndogo kwa sababu familia imekua kubwa. Mara...
  7. AbuuMaryam

    Mchumba wangu ananishirikisha katika kila kitu cha maendeleo anachofanya

    Mshaurini huyu jamani... MCHUMBA WANGU ANANISHIRIKISHA KATIKA KILA KITU CHA MAENDELEO ANACHOFANYA! Mimi ni binti wa miaka 28, sijaolewa ila nina mchumba ambaye yeye ana miaka 30, nampenda sana na yeye anaonyesha kunipenda kwakuwa kashanitambulisha mpaka kwao na kwetu pia nimeshamtambulisha...
  8. chongoe

    Ushauri kwa Simba wapige stop habari zao kwa Clouds

    Nawaomba uongozi wa simba waipige stop kuzungumzia simba kwa njia yoyote ile sababu ukiona simba inazumziwa sana clouds basi tambua kuna jambo baya hapo kwenye mema wala watazungumza hata dakika moja haishi, kwa sababu hiyo nawaomba iwazuie clouds kuizungumzia kama ilivyokuwa radio one miaka...
  9. Mqqqqqm

    Naomba ushauri kuhusu matokeo haya ya Form Four

    Wapendwa! Naomben ushauri wenu Nina mdogo wangu amemaliza form four na amepata four ya 26 Kiswa B, English C, Lit Engl D Bios, Civics, Geog---- D Hist F and Math F Je, anaweza kwenda kusoma advance au njia gani nyingine ya ziada ifanye ili asonge mbele kielimu?
  10. Chizi Maarifa

    Nimeitwa Shetani baada ya kutoa ushauri ambao nimeombwa. Nikirudishia haya matusi najua tu itakuwa issue kwa ndugu

    Mijitu mingine sijui ikoje....hovyo sana. Mtu anakuomba ushauri halafu kumbe tayari ana maamuzi yake kichwani. Unataabika kufikiri unampa ushauri anaanza kuongea shit tena. Mijitu kama hii ngekuwa na uwezo ngekuwa naiponda tu na nyundo ya kupondea kokoto kichwani. Mjomba wangu ana kansa...
  11. Charles Sichilima

    Naomba Ushauri na ufafanuzi

    Naomba kufahamishwa mbinu na hatua ninazoweza kukata ili kuanzisha Kituo cha Ushauri wa Biashara,ujasiriamali na mauzo (Business,entrepreneurship& Sales consultant)
  12. YEHODAYA

    Wizara ya utalii sikilizeni ushauri wa huyu mtalii chukueni yale mnayoona yafaa yafanyieni kazi

    Huyu mtalii kuna kitu anakilalamikia sekta ya utalii Kenya lakini malalamiko yake na sisi kama wenye utalii yaweza tusaidia
  13. E

    Msaada wa ushauri kuhusu jeshi

    Wakuu, Ninaomba ushauri kidogo. Nimemaliza chuo ka degree cha computer science nimekaa kitaa kidogo kwenye kuhangaika na mishe mzee mmoja wa family ana title heavy huko TPDF kisa nna age ndogo 22 na hio degree amesuka mambo niende JKT then afanye connection niingie TPDF. Family iko kooni...
  14. Mgiriki MTz

    Ushauri nataka kununua PC, HP niko Dodoma

    Habari zenu wakuu, Naombeni ushauri nataka kununua PC mpya aina ya HP, Lakini sina utaalamu wowote juu ya PC ipi ni nzuri zaidi. Hivyo ningependa kujua yafuatayo:- ~PC ipi ya HP itanifaa kwa kusomea na kuchezea games ~Pia ipi ni nzuri kea kutunza charge ~Display iwe kuanzia 14inches Pia naomba...
  15. ommytk

    Wazo na Ushauri: Serikali ikisimamia na kutoa elimu vizuri vitambulisho vya wamachinga, inaenda kuvunja rekodi nyingine kukusanya mapato

    Naomba nitoe ushauri kuhusu vitambulisho vya wamachinga. Kwa kifupi Watanzania wengi atupendi kulipa kodi sasa inahitajika elimu na kueleweshwa na kupewa mazingira rafiki kulipa kodi. Niende kwenye main point yaani wafanyabiashara wadogo wameongezeka kwa kiasi kikubwa mno kila kona wamepata...
  16. maji ya gundu

    Ushauri: Mambo gani natakiwa kuzingatia?

    Habari za asubuhi wana jamii forums Kijana wenu niko hapa nahitaji ushauri wenu na experience yenu katika hili linisumbualo akili kwa sasa Kwa kifupi ni kua mimi ni aina ile ya watu ambao tunaweza kutengeneza marafiki wengi kwa muda mfupi na kibaya zaidi nimelia uswazi Hii tabia ya...
  17. Mack84

    Jifunze kuhusu kilimo bora cha mazao. Maswali na ushauri inaruhusiwa

    UTANGULIZI Mahindi ni zao muhimu la chakula, na ni aina ya nafaka inayotumiwa zaidi kama chakula,uhususani katika matifa ya Afrika, na yamekuwa yakitumika zaidi na nchi zilizopo kusini mwa jangwa la Sahara. Ni chakula cha matumizi ya nyumbani kwa idadi ya watu inayokadiriwa kuwa asilimia 50. Ni...
  18. Mr possibility

    Ushauri tafadhali

    Moja kwa moja kwenye mada Wakuu mimi kwa sasa niko singular so huwa nawaza kutafuta mamiloo wa kunipa kampani ila naghairi kwa kuanza kuwaza kuwa "acha nitafute kwanza hela" Mawazo hayo ni kwa kuhisi kuwa ikiwa sitakuwa na hela ya kutosha mahusiano yanaweza kuleta shida na vitu namna hiyo Nb...
  19. roselina john

    Naomba ushauri nimewakosea sana wanaoenda kuwa wakwe zangu kutokana na mkanganyiko wa familia yangu/Sikutokea siku ya Send off

    Jamani mambo zenu, Niko katika wakati mgumu Mimi ni binti wa miaka 29 kwa sasa, nimempata mwanaume ambaye tulipanga mengi sana hadi kupanga jinsi ya kufunga ndoa, Mwaka fulani niliingia kwenye mahusiano na kijana mmoja toka Mbeya, ila kwa sasa anaishi Afrika ya Kusini kwa shughuli zake ...
  20. Shobi

    Ni ushauri gani umewahi kumpa mtu ukaleta matokeo ya faida au matatizo makubwa?

    Wakuu mambo vipi Katika harakati za hapa na pale maisha unaweza kuchangia matokeo fulani kwa watu tunaoshirikiana nao. Rafiki yangu mmoja aliniomba ushauri kuhusu kuoa (ingawa mwenyewe sijaoa ila nikatoa kama kocha hachezi ila ni mwalimu) nikampa ushauri huyo mwanamke yupo poa kabisa wewe komaa...
Back
Top Bottom