Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 13,226
- 26,048
Amani iwe nanyi!
Naomba niwashauri tu! Achaneni na wote waliokuwa wanapinga maovu ya Hayati Magufuli. Hawa ni pamoja na;
1. Fatma Karume
2. Jebra Kambole
3. Mdude Nyangali
Na wengineo wote. Napenda ku waambie wakati haupo upande wenu. Rudisheni uwakili wa Fatma karume haraka iwezekanavyo maana Ni kweli na hakika, wakati haupo upande wenu.
Ninavyoona Mhe. Samia Suluhu Hassan hataki ujinga na uonevu. Aliyekuwepo aliwabeba kikanda na kikabila na akawatumia kufanya uonevu Ila kwa Mama Samia hayupo hivyo. Sasa akili kumkichwa!
Naomba niwashauri tu! Achaneni na wote waliokuwa wanapinga maovu ya Hayati Magufuli. Hawa ni pamoja na;
1. Fatma Karume
2. Jebra Kambole
3. Mdude Nyangali
Na wengineo wote. Napenda ku waambie wakati haupo upande wenu. Rudisheni uwakili wa Fatma karume haraka iwezekanavyo maana Ni kweli na hakika, wakati haupo upande wenu.
Ninavyoona Mhe. Samia Suluhu Hassan hataki ujinga na uonevu. Aliyekuwepo aliwabeba kikanda na kikabila na akawatumia kufanya uonevu Ila kwa Mama Samia hayupo hivyo. Sasa akili kumkichwa!