YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,910
- 51,903
Viongozi wa umma nawapa ushauri wa bure kuepuka kutumbuliwa na Raisi Mpya Samia
1. Spidi mliyokuwa nayo kipindi cha Rais Magufuli msiache mkiacha wananchi watatungua kilio kumlilia kumkumbuka Magufuli kuwashtaki kwa Raisi mpya kuwa angekuwepo tungepata huduma kwa wakati na spidi nk hivyo Raisi atawachukulia kama mnamhujumu au kumdharau kwa kuwa ni mwanamke lazima atawatumbua.
2. Angalieni foleni zitakazo huduma kwenye taasisi zenu ukiona foleni ndefu au mafaili ya kero mengi tafuta ufumbuzi haraka kabla wananchi hawajampigia yowe Raisi akutumbue.
Kila moja awe Magufuli kwa spidi ileile kutatua kero bila kusubiri Raisi aje au apelekewekero na wananchi.Utatumbuliwa.Uwe na antenna zako mwenyewe kama mkuu wa taasisi au idara au wilaya au mko au wizara au shiriki au kitengo kujua kuna kero gani zipo za kukera wanamchi zinazotakiwa zitatuliwe na uzitafutie ufumbuzi haraka kama huna mamlaka andika shauri upesi mbele kwa waluo juu yako kwa maandishi ili likibuma usije kuwa mbuzi wa kagara kuwa ohh sijui sheria za bunge sijui taratibu ndivyo zinasema hivi nk wakati zinaumiza wananchi peleka ushauri mbele haraka.
3. Heshimu Rais Mpya hata uwe mjuaji vipi Mama Samia ndie Rais
4. Uwe mbunifu kutatua kero na kubana matumizi na kubuni njia za kuongeza mapato ya serikali kwenye eneo lako biña kuumiza wananchi wanyonge ambao ndio majority wapiga kura.Mfano halmashauri wawe wabunifu wa miradi miongeza ajira na mapato na kupunguza kodi korofi kwa wanyonge.
5. Kila mkuu awaze je mimi nitapunguzaje kero za wanyonge na kuongeza mapato ya serikali bila kuumiza mnyonge na kuwe na weekly report ya hilo.
6. Taasisi zote zifanye kazi kama timu moja ya serikali wasitupiane mpira kukiwa kuna mgongano watafute solution pamoja sio ohh mimi hili halinihusu ni la fulani kwangu nimemeliza.
Wengine ongezeni nimeitwa kuna kikao nitaandika mengine baadaye.
1. Spidi mliyokuwa nayo kipindi cha Rais Magufuli msiache mkiacha wananchi watatungua kilio kumlilia kumkumbuka Magufuli kuwashtaki kwa Raisi mpya kuwa angekuwepo tungepata huduma kwa wakati na spidi nk hivyo Raisi atawachukulia kama mnamhujumu au kumdharau kwa kuwa ni mwanamke lazima atawatumbua.
2. Angalieni foleni zitakazo huduma kwenye taasisi zenu ukiona foleni ndefu au mafaili ya kero mengi tafuta ufumbuzi haraka kabla wananchi hawajampigia yowe Raisi akutumbue.
Kila moja awe Magufuli kwa spidi ileile kutatua kero bila kusubiri Raisi aje au apelekewekero na wananchi.Utatumbuliwa.Uwe na antenna zako mwenyewe kama mkuu wa taasisi au idara au wilaya au mko au wizara au shiriki au kitengo kujua kuna kero gani zipo za kukera wanamchi zinazotakiwa zitatuliwe na uzitafutie ufumbuzi haraka kama huna mamlaka andika shauri upesi mbele kwa waluo juu yako kwa maandishi ili likibuma usije kuwa mbuzi wa kagara kuwa ohh sijui sheria za bunge sijui taratibu ndivyo zinasema hivi nk wakati zinaumiza wananchi peleka ushauri mbele haraka.
3. Heshimu Rais Mpya hata uwe mjuaji vipi Mama Samia ndie Rais
4. Uwe mbunifu kutatua kero na kubana matumizi na kubuni njia za kuongeza mapato ya serikali kwenye eneo lako biña kuumiza wananchi wanyonge ambao ndio majority wapiga kura.Mfano halmashauri wawe wabunifu wa miradi miongeza ajira na mapato na kupunguza kodi korofi kwa wanyonge.
5. Kila mkuu awaze je mimi nitapunguzaje kero za wanyonge na kuongeza mapato ya serikali bila kuumiza mnyonge na kuwe na weekly report ya hilo.
6. Taasisi zote zifanye kazi kama timu moja ya serikali wasitupiane mpira kukiwa kuna mgongano watafute solution pamoja sio ohh mimi hili halinihusu ni la fulani kwangu nimemeliza.
Wengine ongezeni nimeitwa kuna kikao nitaandika mengine baadaye.