usajili wa biashara

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. daydreamerTZ

    Njia bora za kupata jina sahihi la biashara yako

    Njia bora za kupata jina sahihi la biashara yako Kupata jina sahihi la biashara ni hatua muhimu katika kujenga kitambulisho chako cha biashara na kuwasiliana na wateja wako. Hapa kuna njia bora za kupata jina sahihi la biashara yako: 1. Jifunze kuhusu biashara yako: Anza kwa kuelewa vizuri...
  2. officialbryteskylinks

    Tunatoa huduma za kusajili Jina la biashara, Kampuni na Incorporated Trustees

    Tunatoa huduma zifwatazo 📍-> Web Designing. -> Logo, Banners, Posters (Graphic)Designs. -> Business name & Company Registration. (BRELA) -> Air Ticket 🎫Reservations and Bookings. -> Passport Applications. -> Visa Applications. -> Study Abroad Programs. (+ Scholarships included) -> Tin...
  3. daydreamerTZ

    Tujifunze! Kwanini usajili kampuni kisheria?

    Umuhimu wa kusajili kampuni hapa nchini kwetu Tanzania Kufuata Sheria na Kanuni: Kusajili kampuni Tanzania ni wajibu wa kisheria kulingana na Sheria za Kampuni na miongozo ya Mamlaka ya Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA). Kusajili kampuni kunakuhakikishia kuwa unafuata sheria na kanuni...
  4. daydreamerTZ

    Fahamu kuhusu hisa za kampuni binafsi (shares of private company)

    HISA ZA KAMPUNI BINAFSI Hisa za kampuni binafsi ni hisa zinazomilikiwa na watu wachache ambao wamealikwa na kampuni kushiriki katika umiliki wake. Kampuni binafsi mara nyingi hazina nia ya kuorodheshwa kwenye soko la hisa na kuuza hisa zao kwa umma. Kwa kawaida, hisa za kampuni binafsi...
  5. Sweet mangi

    Msaada nahitaji kupata usajili wa biashara yangu

    Habari za jioni Wana JF ,Mimi ni kijana mjasiriamali ,nina jishughulisha na biashara ya kutengeneza na kuuza Milk products kama Yogurt na Cultured milk(mtindi) ila changamoto ninayopata ni baadhi ya wateja kutoamini ubora na usalama wa bidhaa hizi ,hii imesababisha niache kutengeneza kwa muda...
  6. Miss Zomboko

    Muswada kuhusu usajili wa Biashara na Kampuni. Watu wenye miaka 70 kuruhusiwa kuwa Wakurugenzi

    Kuhusu Sheria ya Mawakili, alisema inalenga kuanzisha Kamati za Maadili za Mawakili kwa ngazi ya mkoa ili kurahisisha upatikanaji wa haki. “Pia, kumwezesha mwananchi anayemlalamikia wakili kwa ukiukaji wa maadili kushughulikia tatizo lake katika ngazi ya mkoa bila ya uhitaji wa kusafiri...
  7. Lawrance franci

    Jipatie mashine zote kwetu

    *DOT MACHINERY PRODUCTS* TUNAUZA MACHINE ZA UJENZI|VIWANDANI|MAJUMBANI|KILIMO|USAFI| CAR WASH MASHINE INAYOTUMIA DIESEL-2.5M BOTTLE JACK KUANZIA 100,000/= - 300,000/= MASHINE YA KUPUKUCHULIA MAHINDI-YA UMEME 1.2M YA DIESEL 1M JACK YA KUBEBEA MIZIGO KUANZIA 2.9M-3.7M GENERATOR YA 6.5KW,YA...
  8. VA Business Consultants

    Usajili wa kampuni / biashara BRELA - Tanzania

    Unahitaji kufungua kampuni au biashara nchini Tanzania? Karibu VA Business Consultants tunatoa huduma za kusajili kampuni, jina la biashara, nembo za biashara (trade marks) na kutoa ushauri wa biashara katika hatua za kukamilisha urasimishaji wa biashara yako BRELA na mamlaka zingine. Wasiliana...
Back
Top Bottom