ugonjwa

  1. M

    Shock: Hospitali ya Kairuki yakataa wagonjwa wa ugonjwa wa mifumo ya hewa kijanja, yaweka bei isiyowezekanika kwa Watanzania wengi

    Katika hali inayoonekana ni muendelezo wa maisha magumu kwa wananchi. Hospitali ya Kairuki nchini imekuja na utaratibu wa kushangaza wa kutoza malaki ya hela kwa siku kwa mtu atakayeenda katika hospitali hiyo kutibiwa ugonjwa wa mifumo ya hewa. Katika utaratibu huo mgonjwa yeyote atakayekwenda...
  2. D

    Nimepata vidonda kama picha inavyoonesha. Je, ni ugonjwa gani huo?

    Nimepata vidonda kama picha inavyoonyesha na bado sijaweza kwenda hospitali . Je, ni ugonjwa gn?
  3. B

    Corona: Ugonjwa unaoua, uliogeuzwa fursa ya kisiasa Tanzania

    Mabibi na mabwana tumwogope mola aliyetuumba sisi na wote wanaoitwa binadamu. Misahafu ya kikristo inatambua: "Kumpenda jirani yako kama nafsi yako." kuwa ndiyo amri iliyo kuu. Hivi tutajibu nini Akhera sisi kwa udhalimu tunaowatendea wengine? Leo tumefikia mahali pa kutumia nguvu...
  4. Q

    Waraka: Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) latoa tahadhari kuhusu ugonjwa wa Corona nchini

  5. Superbug

    Walimu wa Tanzania na kutokuwa na ufahamu wa ugonjwa wa Hysteria

    Mdau wa jf umeshawahi kuona wanafunzi wa shule ya msingi hasa wa kike wakidondoka hovyo na kupiga mayowe huku wakikimbia hovyo? Huwakuta hata wa secondary mostly wa kike. Basi ugonjwa huu huitwa Hysteria. Basi kwa taarifa yako Watanzania wengi mpaka walimu huamini hayo ni mapepo au majini...
  6. Polisi

    Ugonjwa wa Ngiri (Hernia), Dalili na tiba yake

    Wakuu, Habari ya kazi. Nilikuwa Bugando kwa ajili ya kufanyiwa kipimo kinachoitwa endoscopy. Matokeo yalikuwa kama ifuatavyo Esophagus – MILD DISTAL OESOPHAGISI 2”/HIATAL HERNIA Stomach - HIATAL HERNIA Duodenum – NORMAL Final Diagnosis - GERD 2” HIATAL HERNIA Sasa WIKI IJAYO...
  7. Analogia Malenga

    Ujue ugonjwa wa Hyperdontia

    Hyperdontia ni ugonjwa unaosababisha meno mengi yaote kinywani kwa mfumo usio wa kawaida. Kwa kawaida mwanadamu huwa na meno 32 ambayo huitwa ‘Permanent teeth’ Dalili za ugonjwa huu ni kuota meno pembezoni mwa meno ya kawaida ambayo huota mtu anapokuwa mkubwa. Aidha sababu ya ugonjwa huu bado...
  8. Infantry Soldier

    Kuna hatua ugonjwa ukifika ni lazima busara itumike. Mnauza mali zote kulipia matibabu, ndugu anakufa kisha familia inabaki na umasikini wa kutupwa

    Habari za wakati huu kaka na dada zangu wa humu JamiiForums. Ndugu zangu Watanzania; Kuna stage ugonjwa ukifika ni lazima busara itumike. Mnauza mali zote kulipia matibabu, ndugu anakufa kisha familia inabaki na umasikini wa kutupwa. Familia masikini/fukara kuuza nyumba yao ya pekee ni pigo...
  9. M

    Ugonjwa gani huu?

    Wakuu salamu za asubuhi Naomba mnitoe tongotongo, huu ni ugonjwa gani kwa kuku na dawa yake ni nini? Kuku anakuwa kama amepaniki, anaangalia juu na mara chini, anazungukazunguka, anarudi kinyumenyume, yaani fujo tupu. Hata kula anashindwa ni kama amepata kichaa. Mimi siuelewi huu...
  10. U

    Makamo wa Rais Mteule wa Marekani Kamala Harris apewa chanjo dhidi Coronavirus

    Vice President-elect Kamala Harris and her husband, Doug Emhoff, received their first doses of Moderna's coronavirus vaccine on Tuesday, with the incoming vice president getting her shot on camera as part of efforts to build public trust in the inoculations. Harris and Emhoff were administered...
  11. S

    Msaada ugonjwa wa kuku

    Huu ni ugonjwa gani..kuku anakua kazubaa na akisinzia kuna mda kichwa kinageuka kama hivo..hizo dalili amekaa nazo kwa siku 2-3 hivi Kinyesi chake ni cha njano chenye maji mengi picha ipo hapo. Ni kifaranga chotara.
  12. FRANCIS DA DON

    Wale wanaobisha kwamba imani sio ugonjwa wa akili watazame hii clip

    Ona mtu anavyofyonzwa akili na kuwa kama taahira bila hata yeye kujijua, video ina maelezo ya ziada
  13. nyahinga

    Naomba tiba ya tatizo la kinywa

    naomba tiba ya tatizo la kinywa yaani nina miaka mingi sasa nasumbuka na kuumwa koo linawaka na ulimi unakuwa na alama za michilizi. Mwenye dawa anisaidie
  14. Nafaka

    Ugonjwa wa kusakata rhumba (kudance) ulioua watu huko Germany

    Miaka zaidi ya 643 iliyopita, katika mji wa Aachen huko Ujerumani watu walianza kumiminika mitaani kutoka kwenye majumba yao na kuanza kusaka rhumba kwa kila aina ya staili. Wengine walicheza kiduku, wengine mapanga, wengine shaku shaku, wangine walishake, wengine wakacheza ngororo, ili mradi...
  15. Kurzweil

    Fahamu kuhusu Ugonjwa wa 'K Syndrome' uliozushwa ili kuwaokoa Waisraeli dhidi ya maafisa katili wa Utawala wa Nazi

    Safe haven: Fatebenefratelli Hospital, Tiber Island, Rome, 2019. Hospitali ya Fatebenefratelli Hospital, iliyopo katika Kisiwa cha Tiber huko Roma, nchini Italia ilikuwa na Wodi maalumu iliyojawa Wagonjwa ambao ilielezwa kuwa wanasumbuliwa na ugonjwa mbaya wa Koch Syndrome ambao ni sawa na...
  16. GENTAMYCINE

    Kwa 'Wabobezi' wa Siasa na Uongozi huu 'Ugonjwa' na kumshuhudia na kumfuatilia Mpinzani wako unaitwaje?

    Unajijua kabisa kuwa unamchukia 'Mtemi' mpya 'anayesimikwa' leo huko 'Omba Omba Land' na pengine tokea 'akuangushe' kwa Kiwango cha 84.4 katika Mpambano wake na Yeye umemtishia mno kumuharibia na mpaka kumshtakia kwa 'Wazungu' ambao nao leo hii 'wanaibiana' Kura huko Michigan, Georgia, Wisconsin...
  17. Analogia Malenga

    Ugonjwa uliomfanya Garry Turner kuvunja rekodi

    Garry Turner ni muingereza anayeshikilia rekodi ya dunia ya Guinness ya kuivuta ngozi ya mwili wake. Oktoba 29, 1999 alivunja rekodi kwa kuvuta ngozi yake kwa urefu wa inchi 6.25. Tangu avunje rekodi hiyo Garry Turner amekuwa akifanya maonyesho kwa kutumia ngozi yake na kujiingizia kipato...
  18. Kichwa Kichafu

    Ugonjwa wa Minamata Japan na athari zilizodumu zaidi ya nusu karne baada ya kugundulika

    MINAMATA DISEASE Ugonjwa uliogundulika kwa mara ya kwanza sehemu iliyoitwa Minamata kwenye mji wa Kumamoto huko Japan mwaka 1956. Nini chanzo za ugonjwa wa Minamata? Tarehe 21 april mwaka 1956, Mtoto wa kike wa umri wa miaka 5 alichunguzwa katika hospitali ya shirika moja la Chisso huko...
  19. Analogia Malenga

    Ugonjwa hatari usiofahamika kwa wengi watikisa Muhimbili

    *Husababisha maradhi mengine *Muhimbili watibu watano kila wiki *Madaktari bingwa wataja chanzo *Matibabu yahusisha kukata utumbo KUTOKWA haja kubwa bila kujijua ni ugonjwa unaosababishwa na kukosa seli kwenye utumbo mkubwa zinazosaidia kusukuma haja kubwa kuitoa ndani ya utumbo. Wataalamu wa...
  20. S

    Huu ni ugonjwa gani?

    Habarini za usiku ndugu na rafiki zangu? Bila kusita niende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu. Mimi ni kijana mwenye umri miaka 26 nina mchumba wangu anasumbuliwa na tatizo, maumivu ya mara kwa mara chini na pembeni ya kitovu na maumivu hayo huvuta mpaka shingoni na mwili mzima, maumivu...
Back
Top Bottom