Je, ugonjwa wa changamoto ya kupumua (UCHAYAKU- 2021) ulioibuka Tanzania unasababishwa na nini, una tiba au chanjo, na kinga na dalili zake ni zipi?

Mwanamayu

JF-Expert Member
May 7, 2010
11,349
6,476
Sasa imefika wakati wataalam wa afya waueleze juu ya hili gonjwa jipya kabisa hapa Tanzania, na halipo kwengineko, liitwalo 'changamoto ya kupumua.'
Watuambie gonjwa ili linasababishwa na nini, dalili zake, kinga yake, chanjo, na tiba? Pia tofauti yake na COVID-19 au UVIDO-19 kwa kiswahili.
Kama hawawezi, beberu aje kutusaidia.
 
Sasa imefika wakati wataalam wa afya waueleze juu ya hili gonjwa jipya kabisa hapa Tanzania, na halipo kwengineko, liitwalo 'changamoto ya kupumua.'
Watuambie gonjwa ili linasababishwa na nini, dalili zake, kinga yake, chanjo, na tiba? Pia tofauti yake na COVID-19 au UVIDO-19 kwa kiswahili.
Kama hawawezi, beberu aje kutusaidia.

Tuna he woga na unafiki kilichopo kwasasa ni korona...hawa wana siasa wachumia tumbo watatufikisha pabaya sana
 
Sasa imefika wakati wataalam wa afya waueleze juu ya hili gonjwa jipya kabisa hapa Tanzania, na halipo kwengineko, liitwalo 'changamoto ya kupumua.'
Watuambie gonjwa ili linasababishwa na nini, dalili zake, kinga yake, chanjo, na tiba? Pia tofauti yake na COVID-19 au UVIDO-19 kwa kiswahili.
Kama hawawezi, beberu aje kutusaidia.

Mganga mkuu amesema ukiona nyoka ukasubiri kuambiwa atakushangaa sana... ndio mkakati wake.
 
Hatuna ugonjwa unaoitwa changamoto za kupumua.Ugonjwa tulionao ni Corona.Wanachofanya hii serekali iliyoingia madarakani kwa kuiba kura ni kutatua tatizo la Corona kwa kujidanganya kuwa halipo kitu ambacho ni kupalilia tatizo!
092707.jpg
2825585655.jpg
 
Back
Top Bottom