Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,597
- 215,272
Wanawake kutokana na maswala ya uzazi tunapata bahati ya kupitia vipimo vingi sana. Mara nyingi hapa ndipo unagundua una magonjwa. Hapa tayari una ujauzito na unafahamu ulikua muaminfu kwa mwenza wako.
Kwa wanaume hali kadhalika, hujawahi kumfumania mke wako lakini unajikuta unapata maumivu wakati wa haja ndogo. Unaamua kwenda hospitali unafahamishwa kuwa una gonorrhoea.
Kuna aliyeniambia mchukulie mwenza wako kama kito cha thamani, huwezi kuitupa pete yako ya dhahabu na tanzanite kisa imeanguka kwenye kinyesi. Niliyatafakari maneno yake lakini nemeona niwaletee wananzengo hii mada tuijadili.
Kwa wanaume hali kadhalika, hujawahi kumfumania mke wako lakini unajikuta unapata maumivu wakati wa haja ndogo. Unaamua kwenda hospitali unafahamishwa kuwa una gonorrhoea.
Kuna aliyeniambia mchukulie mwenza wako kama kito cha thamani, huwezi kuitupa pete yako ya dhahabu na tanzanite kisa imeanguka kwenye kinyesi. Niliyatafakari maneno yake lakini nemeona niwaletee wananzengo hii mada tuijadili.